tupo mammy......kweli Idd imepoa sana....hata mitaani sisikii shamrashamra.....sijui watu wanalia wapi leo....[/QOUTE]
Watu wote wapo mpwapwa. Wewe tu ndio umekosekana.
<br /><img src="http://shafprince.com/wp-content/uploads/2011/06/Food_Fasting_ramadan-2011-Kuwait.jpg" border="0" alt="" />Karibuni mkekani
Nyie hapo chini kaogeni niwape mtoko.
Watu pipoooooooo hamna hata laptop mkaingia kutoa matukio ya mitaani Idd inakwendaje najua ni mengi tu
Panaboa kama na kesho hali itakuwa hivi itabidi Mod . waifunge JF kidogo kwa mapumziko
Karibuni kwangu tusherekee Eid ...
Haya jaribu hii
<br />Nishavaa jamani.... inamaana hunioni?
<br />Jamani na mi nishaoga lakini nguo ya sikukuu fundi hajamaliza kushona. Naomba mningoje......lol
Watu pipoooooooo hamna hata laptop mkaingia kutoa matukio ya mitaani Idd inakwendaje najua ni mengi tu
Panaboa kama na kesho hali itakuwa hivi itabidi Mod . waifunge JF kidogo kwa mapumziko
Karibuni kwangu tusherekee Eid ...
FL1 unajua members wengi wa jf wanatumia pc za maofisiniWatu pipoooooooo hamna hata laptop mkaingia kutoa matukio ya mitaani Idd inakwendaje najua ni mengi tu Panaboa kama na kesho hali itakuwa hivi itabidi Mod . waifunge JF kidogo kwa mapumziko Karibuni kwangu tusherekee Eid ...
<br /><br /><br />
<br /><br />
nikuazime kipedo changu?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kitanitosha kweli? Niazime ile uliyochezea sikukuu ya mwaka jana bana!
Yani FL1 ckukuu imepowa kama sio eid huku mtaani kwetu huwa hapatoshi!
Watu pipoooooooo hamna hata laptop mkaingia kutoa matukio ya mitaani Idd inakwendaje najua ni mengi tu
Panaboa kama na kesho hali itakuwa hivi itabidi Mod . waifunge JF kidogo kwa mapumziko
Karibuni kwangu tusherekee Eid ...