kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,904
- 6,204
Kwa mfano wanachofanya. Wanakupa hela unaenda kununua mfano mahindi ukija kuuza mnagawana faida. Ni riba imebatizwa jina lingine tu.Tueleze riba yaizo benki za kiisilamu ni asilimia ngapi?
Kwa mfano wanachofanya. Wanakupa hela unaenda kununua mfano mahindi ukija kuuza mnagawana faida. Ni riba imebatizwa jina lingine tu.Tueleze riba yaizo benki za kiisilamu ni asilimia ngapi?
Kwa hiyo huyo Baghareesa aliye muongelea si baba wa watu?Maswala ya baba yake yanaingiaje ni jinsi gani ulivyo mjinga
Sasa inakuuma nini we mwenye msimamo mkali. Nawewe si ukakopeUkiona mwanaume umeanza kumchunguza mwanaume wenzako kavaa nguo gani fahamu wewe sio mwanaume yani sio riziki
Bakhresa sio Uislam ni Muislam.Nilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
Mkuu vyote ubepari na ujamaa ni unyonyaji ila katika namna tofauti, ubepari ni unyonyaji katika sekta ya uchumi na ujamaa ni unyonyaji katika sekta ya jamii, ujamaa ni unyonyaji kwa sababu kuna watu ambao hawafanyi kazi sababu wanajua watasaidiwa na ndugu, jamaa, wazazi au watotoFafanua
Wewe ndio upeo wako wa kufikiri ulipoishia watu wanaongelea uislam unachosema kuhusu mikopo kwa riba wewe unaongelea habari za utajiri, mara mbona watu wanakopa mikopo kwa riba na bado ni masikini, aliyekuambia kwamba kukopa tu mikopo kwa riba ndio kuwa tajiri naniSio uelewa wangu bali huo ndio ufahamu wako na wenzio
Kwani hiyo inaitwa mikopo ya kiislaam unafikiri hakuna riba? Ni namna tu ya kuilipa wanabadili halafu wanaita eti mikopo ya kiislaam. Hebu fikiri benki gani itaweza kufanya kazi bila ya faida. Faida ndio msingi wa uwepo biashara yoyote. Na hakuna mantiki eti benki za kiislaam zipewe ruzuku. ..zipewe na na nani.. Labda na mungu🤣🤣. Tumeona serikali huweza kutoa ruzuku kwa biashara za shirika fulani nia ikiwa ni kutoza bei ndogo ili huduma iwafikie wananchi lakini kampuni binafsi isiporejesha gharama zake itaishia kufa.Nilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
Hivi hata umesoma nilichoandika. Comprehension ni janga la Taifa.Kitabu chenu quran kinasema nini kuhusu riba
Wewe hujaelewa kuwa benki wana facility au banking instruments nyingi kuwezesha biashara ambazo hazihusiani na mikopo ya riba.Nilidhani ustadhi ni wale watu wa dini wasiojihusisha na riba kumbe ni mdau mzuri wa benki za biashara.
Ninapenda Bakhresa afanye kuwaelimisha wale wenye misimamo mikali tuwe na taifa endelevu.
Bila shaka wewe ndio hujaelewa kilichoandikwa usisingizie comprehension, wewe ndio umeshindwa kucomprehend umeamua kutunga hoja yako nyingine, kinachoongelewa hapo ni uislam na riba sasa niambie quran inasemaje kuhusu ribaHivi hata umesoma nilichoandika. Comprehension ni janga la Taifa.
Mtu mweusi ana dini kuliko uchawi?Dini ni Kwa mtu mweusi.. Hawa weupe hawana dini. Dini zao ni Mali na mafanikio
Wewe umesema huwezi kukwepa riba za mabeberu, mimi nimekujibu bank za kiisilamu zipo very successful dunia nzima, hata ukienda nchi za Magharibi zipo, hebu niambie hio comment yangu na ulichonijibu vinahusiana nini. Nasubiria.Bila shaka wewe ndio hujaelewa kilichoandikwa usisingizie comprehension, wewe ndio umeshindwa kucomprehend umeamua kutunga hoja yako nyingine, kinachoongelewa hapo ni uislam na riba sasa niambie quran inasemaje kuhusu riba
Uliweza vp kujua kuwa waislamu ndio wengi? Na hiyo ina maana Mwamposa anapoteza waumini wa imani yake katika kanisa lake na matokeo yake wasio waumini wa imani yake ndio waliyobakia?Juzi nilienda kwa mwamposa waislamu ndo walikua wengi wakipata uponyaji
ubepari ni mafunzo ya kishetaniUbepari ni ubinafsi. Na ubinafsi ndiyo tabia asili ya mwanadamu.
Kutaka kufanya ujamaa ni ujinga na kwenda kinyume na tabia asili ya binadamu ambayo ni ubinafsi aka ubepari
Hapa imekosolewa dini kwa vp? Mie nimeona wamesemwa Masheikh mara Bakhresa.Watu wanakosoa dini kama wanavyokosoa ujinga mwingine uliopo kwenye jamii, kwani watu wa dini ni kina nani hadi wasikosolewe wewe ndio uache kusikiliza wakosoaji, komaa kushikilia dini yako kwa sababu watu hawataacha kukosoa hadi mwisho wa dahari
Usikute hujasoma hata mada.Nilichogundua bakhressa anawakosesha raha sana baadhi ya watu , dunia hii ya ajabu unaacha kufikiria mustakabali wako na familia yako unamuwaza bilionea ambae sasahivi level yake he feels sorry about the poor mtu analisha africa nzima wewe upo ileje huko unaleta umbea
Hivi kabla ya Qur'an hao wazee wetu walikuwa wanatumia nini kwenye uganga hadi leo hii waganga wengi wawe wanatumia Qur'an?Waganga wengi wanatumia quran na majini wazuri kufanya shughuli zao za kiganga nenda pemba ujionee
Uchawi uko wa aina nyingi na unatofautianaHivi kabla ya Qur'an hao wazee wetu walikuwa wanatumia nini kwenye uganga hadi leo hii waganga wengi wawe wanatumia Qur'an?
Una ushahidi gani zaidi ya umbea tu , tuletee ushahidi hapaUsikute hujasoma hata mada.
Kwa muhtasari: Mfia dini Said Bakresa analipa riba kwenye business. Ila mashekhee wanatuambia kukopa ni dhambi.