leo dada
JF-Expert Member
- Oct 26, 2023
- 3,004
- 15,079
Ni mawazo yako.Hakika umetumia AI
Hayo niliyo andika ni moja ya kumbukumbu zangu nzuri sana.
Kabla ya hilo kombe baba alikuwa na ukaribu sana na ubalozi wa ufaransa na alisoma hapo alliance de France kama sijakosea
Alipatta marafiki na tuliletewa tv na yeye kununua dish la DStv sasa kile kiwewe cha kujua kifaransa ilitulazimu tumfuate yeye
Hicho kikosi alikuwa shabiki na mpaka picha ya hao wachezaji mwaka 98 ipo na nimeitunza kama kumbukumbu.
Si ya kutoa mtandaoni Bali baba alipiga kupitia camera yake kwenye tv. Nikipata muda ntaweka.
Wengine tukikutana na jambo lenye kumbukumbu hisia zinapanda na kukumbuka mengi zaidi..