Sikubali kabisa

Sikubali kabisa

maisha ni kupanda na kushuka i pray for better 2013
 
Smile happy New year.
Mungu hawezi kukuacha.
 
Last edited by a moderator:
hahaha salama mkuu na nimerudi na Roho yangu....unajua bado sijasomeka vizuri kabisa hii mitambo leo sijui izimiwe wapi ila nahisi nitakuwa chachi!

mkuu huo ndio mwanzo mzuri tuanze mwaka kwa kumkumbuka Mola atujalie mwaka huu nao uishe salama
 
Smile huo ni uamuzi mzuri sana... Mie mwenyewe nimeamua kuweka shida chini ,kutupa mikono juu na kubanjuka kwa kwenda mbele..

No more tears.....
 
Last edited by a moderator:
Leo mwaka unaisha... Ni jambo la kumshukuru Mungu sana maana hii ni kazi yake katika uumbaji wake!

Mwaka huu unaoisha tumekutana na mengi lakini yote ni mipango yake Mungu.

Personaly mwaka huu unaoisha nilikutana na mengi kwaasilimia 90 ni huzuni mtupu,from feb mamangu alizidiwa hooooi nadhani from there hakuna siku sijawai kutoa machozi so you can imagine lakini pamoja na hayo yote lazima maisha yaendelee nilikuwa najitahidi kujitafutia happiness 50-50 ilikuwepo ila naona tena hizi siku mbili za mwisho inataka kudesapear.

Ila, nimeamua sikubali kabisa kuingia na huzuni mwaka mpya silii tena kabisa neme-renew maisha yangu sasa hivi ni full ku-smile January to December.

Kila kitu nimefunga hata kama namdai mtu nimemsamehe ila cha moto watakiona wanaonidai nitawalipa sinaga dhuluma Mungu shahidi.

Naamini Mungu ni mwema atatubariki.

Nawatakieni heri ya mwaka mpya wadau! Tu-smile na 2013 maisha ni haya haya

Mungu atakusimamia katik hilo Smile, nasi tuko nyuma yako kukuombea.
BAK naomba dedication kwa ajili ya Smile kumtia nguvu.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Smile huo ni uamuzi mzuri sana... Mie mwenyewe nimeamua kuweka shida chini ,kutupa mikono juu na kubanjuka kwa kwenda mbele..

No more tears.....

Yaani marejesho km ulikuwa na mimi. No more tears no more pain. Full kujipa raha kila nafasi inapopatikana.

Mambo ya kuupa moyo wangu shida full stooop. Smile tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Heri ya mwaka mpya Smile.. Sahau yaliyopita hata kama yanaumiza sana.
 
Last edited by a moderator:
keep on smiling......mie kwa mwaka huu unaoishia MUNGU amenitendea mengi mazuri kwakweli, nilianza mwaka kwa machozi ila nashukuru naumaliza kwa Smile....nimepata mengi yale niliyomwomba....ingawa moja bado bt naamini 2013 atanipa....tushukuru kwa yote!!!

hilo moja nshalijua , endelea kuamni katika yule awezayo yote, sema amina
 
Funga huzuni, fungua furaha. Mathayo 16:19
Mungu akupe furaha yako mwaka huu kwa kuwa ni mwaka wa kicheko! Smile rejoice in 2013
 
Last edited by a moderator:
Ninakutakia Heri na Baraka za 2013 na mingine yote ijayo. Moyo wako ujae furaha, Smile s daima, Huzuni mwiko.
 
Last edited by a moderator:
Leo mwaka unaisha... Ni jambo la kumshukuru Mungu sana maana hii ni kazi yake katika uumbaji wake! Mwaka huu unaoisha tumekutana na mengi lakini yote ni mipango yake Mungu. Personaly mwaka huu unaoisha nilikutana na mengi kwaasilimia 90 ni huzuni mtupu,from feb mamangu alizidiwa hooooi nadhani from there hakuna siku sijawai kutoa machozi so you can imagine lakini pamoja na hayo yote lazima maisha yaendelee nilikuwa najitahidi kujitafutia happiness 50-50 ilikuwepo ila naona tena hizi siku mbili za mwisho inataka kudesapear. Ila, nimeamua sikubali kabisa kuingia na huzuni mwaka mpya silii tena kabisa neme-renew maisha yangu sasa hivi ni full ku-smile January to December. Kila kitu nimefunga hata kama namdai mtu nimemsamehe ila cha moto watakiona wanaonidai nitawalipa sinaga dhuluma Mungu shahidi. Naamini Mungu ni mwema atatubariki. Nawatakieni heri ya mwaka mpya wadau! Tu-smile na 2013 maisha ni haya haya
Thank u.. Good spirit...
 
Hii topic yako imenifanya nikatafakari kitu sana sasa hivi, haya maisha yana changamoto sana
Leo mwaka unaisha... Ni jambo la kumshukuru Mungu sana maana hii ni kazi yake katika uumbaji wake!

Mwaka huu unaoisha tumekutana na mengi lakini yote ni mipango yake Mungu.

Personaly mwaka huu unaoisha nilikutana na mengi kwaasilimia 90 ni huzuni mtupu,from feb mamangu alizidiwa hooooi nadhani from there hakuna siku sijawai kutoa machozi so you can imagine lakini pamoja na hayo yote lazima maisha yaendelee nilikuwa najitahidi kujitafutia happiness 50-50 ilikuwepo ila naona tena hizi siku mbili za mwisho inataka kudesapear.

Ila, nimeamua sikubali kabisa kuingia na huzuni mwaka mpya silii tena kabisa neme-renew maisha yangu sasa hivi ni full ku-smile January to December.

Kila kitu nimefunga hata kama namdai mtu nimemsamehe ila cha moto watakiona wanaonidai nitawalipa sinaga dhuluma Mungu shahidi.

Naamini Mungu ni mwema atatubariki.

Nawatakieni heri ya mwaka mpya wadau! Tu-smile na 2013 maisha ni haya haya
 
Back
Top Bottom