Mkuu nashawishika sana...wewe umeshaanza michakato?HABaRI,
"witnessj,
Miaka mitatu unaanza kuvuna muda unavyozidi kwenda na mavuno yanaongezeka ni miche ya kubebeshwa ya muda mfupi,Hiyo ni fursa kama uko vizuri wahi,Soko lake wamesema Kuna watu wanazifata shambani zinakwenda Ulaya na america kwani kipindi cha msimu huko sehemu nyingine Duniani zinazozalisha Avocador msimu unakuwa umukwisha au bado.
Mashamba eka moja kununua ni kuanzia laki 1-2,Nilimuliza mtaalamu mmoja toka SUA (chuo cha kilimo cha sokoine-morogoro)Akaniambia kwa heka moja unaweza kupanda mpaka miti 100.
LUMUMBA
Nchi ya asali na maziwa-NjombeNi sehemu gani hiyo mkuu?
Wewe umeshaanza michakato ya ulimaji wa avocados huko njombe mkuu?Nchi ya asali na maziwa-Njombe
Mkuu nashawishika sana...wewe umeshaanza michakato?
Lakini makete haijabarikiwa wilaya ya kikuda sana just take it from me
Nimekupm mkuuHABARI,
"witnessj,
Mimi nategemea kuanza mwaka huu Nimempa mtu kazi ya kutafuta shamba Kilolo,Mufindi,Makete na Njombe Nitaangalia wapi pa kupata shamba kubwa,Ninahitaji zaidi ya heka 50-100,Kwakuwa utaalamu wa kubebesha ninao kwenye miembe,mikorosho najua kwa Avocado ni sawa sawa.
Nasubiri majibu ya eneo kwanza.
Kwa ujumla soko ni kubwa sana kwa nchi za ulaya kama Denmark, Ufaransa, Uholanzi, Norway, Hispania na Uingereza,Kuna kampuni inaitwa Africado ndio ya kwanza tanzania kuanza kupeleka maparachichi ulaya.
LUMUMBA
Naam binafsi nimefika hadi kwa mzee Gadau,na mstaafuUlienda Madeke,na itakuwa zimepandwa Nanasi,vipi mlifika kwenye Mashamba ya Pinda Na Luhanjo?
inapendeza saana mkuu naomba muongozo wako wa kilimo cha mpunga na mboga mbogaKatika mizunguko yangu ya kazi nilitoka Morogoro nikaenda Mbeya kufanya shughuli zangu za kilimo hasa umwagiliaji, basi nikiwa Mbeya pale kwa kuwa mimi ni mdadisi nitampigia jamaa yangu mmoja ambae ni mwenyeji wa Mbeya pia ni Mkulima, duh jamaa mcheshi sana na ni mshikaji sana japokuwa ni msomi mkubwa na mfanyabiashara
Basi akanambia njoo huku Njombe,jioni ile nikapanda gari kuelekea huko, nilipofika nikakutana na jamaa ang mmoja niliesoma nae chuo akanipokea na akawa mwenyeji wangu.
Nilipompigia jamaa angu huyu Mkulima akanambia bado hajafika mjini ndio anatoka shamba, kumbuka hapo ni saa nne usiku.
Kesho yapo ikawa asubh , baridi ilikuwa kiasi japokuwa mwenyeji wangu alinambia ni wakati wa joto kwa sasa haaa haaaa Njombe kama ulaya vile
Kama saa moja hivi jamaa angu alikuja akanichukua , tukampitia na mshikaji wake mmoja , na safari ikaanza ya kuelekea nisikokujua kwenye nchi ya maziwa na Asali kama Mwendo wa 80km tukaanza kukwepana na milima ya Lupembe na baada ya muda mshikaji wangu akanambia hapa ndio tunaingia shamba, kwa kuwa lilikuwa shamba jipya lenye milima na milima , na lilikuwa Shamba kubwa kiasi , haaa haaa sio kubwa kama unavyofikiria ww ila ni zaidi ya hekari 400+ Virgin land , hapo hapo nikaanza udadisi wangu na kuanza kukumbuka nilivyokuwa nafundishwa na Maprofesa wangu enzi hizo nasoma pale SUA ,
Nilichoshangaa ni nn?
Katika udadisi wangu niligundua kuwa ile Ardhi haikuwahi kulimwa , mimea iliyoota maeneo Yale iliashiria rutuba ya ajabu iliyoko katika udongo ule , hali ya hewa na baadhi ya vitu vilionyesha kuwa eneo lile linapata mvua kubwa sana kwa mwaka tatribani 2300mm per yr
Organic matter layer ya Ardhi ile ni zaidi 40cm,
Nilichoshangaa zaidi ni pale nilipoenda ndani ya Shamba zaidi na kuona kuwa kuna chanzo kizuri cha maji , nilitamani niende kwetu Rombo niwachukue wale wazee niwalete pale kwa sababu kule sijawahi kuona kitu kama kile .
Bhasi nikaendelea na utafiti wangu nikagundua vitu vingi zaidi katika Ardhi ile na baada ya kukaa na kuangalia milima ikishangaa ujio wetu na muda ulikuwa umeenda , tukafanya baadhi ya kazi pale na kuanza kurudi
Ninachotaka kusema ni kwamba
Don't limit your mind to think
Seed and not diamond will make Africa great
Wekeza vzr kwenye kilimo
Uzi utakao fuata nitawaeleza katika hyo Ardhi ni nini kimepandwa na kinawezaje kumlipa Mkulima tena bila stress , najua utafikiri ni miti ya mbao lakini sio kweli ....stay tuned
Jumapili njema wana jamvi
Umeishia kujipiga picha wewe badala ya fursa za hapo NJOMBE. Mibongo sisi tumirogwa na nani?
Ni yapi hayo, yanachukua muda gani?Maparachichi ya muda mfupi yana soko zuri ulaya na marekani.
Katika mizunguko yangu ya kazi nilitoka Morogoro nikaenda Mbeya kufanya shughuli zangu za kilimo hasa umwagiliaji, basi nikiwa Mbeya pale kwa kuwa mimi ni mdadisi nitampigia jamaa yangu mmoja ambae ni mwenyeji wa Mbeya pia ni Mkulima, duh jamaa mcheshi sana na ni mshikaji sana japokuwa ni msomi mkubwa na mfanyabiashara
Basi akanambia njoo huku Njombe,jioni ile nikapanda gari kuelekea huko, nilipofika nikakutana na jamaa ang mmoja niliesoma nae chuo akanipokea na akawa mwenyeji wangu.
Nilipompigia jamaa angu huyu Mkulima akanambia bado hajafika mjini ndio anatoka shamba, kumbuka hapo ni saa nne usiku.
Kesho yapo ikawa asubh , baridi ilikuwa kiasi japokuwa mwenyeji wangu alinambia ni wakati wa joto kwa sasa haaa haaaa Njombe kama ulaya vile
Kama saa moja hivi jamaa angu alikuja akanichukua , tukampitia na mshikaji wake mmoja , na safari ikaanza ya kuelekea nisikokujua kwenye nchi ya maziwa na Asali kama Mwendo wa 80km tukaanza kukwepana na milima ya Lupembe na baada ya muda mshikaji wangu akanambia hapa ndio tunaingia shamba, kwa kuwa lilikuwa shamba jipya lenye milima na milima , na lilikuwa Shamba kubwa kiasi , haaa haaa sio kubwa kama unavyofikiria ww ila ni zaidi ya hekari 400+ Virgin land , hapo hapo nikaanza udadisi wangu na kuanza kukumbuka nilivyokuwa nafundishwa na Maprofesa wangu enzi hizo nasoma pale SUA ,
Nilichoshangaa ni nn?
Katika udadisi wangu niligundua kuwa ile Ardhi haikuwahi kulimwa , mimea iliyoota maeneo Yale iliashiria rutuba ya ajabu iliyoko katika udongo ule , hali ya hewa na baadhi ya vitu vilionyesha kuwa eneo lile linapata mvua kubwa sana kwa mwaka tatribani 2300mm per yr
Organic matter layer ya Ardhi ile ni zaidi 40cm,
Nilichoshangaa zaidi ni pale nilipoenda ndani ya Shamba zaidi na kuona kuwa kuna chanzo kizuri cha maji , nilitamani niende kwetu Rombo niwachukue wale wazee niwalete pale kwa sababu kule sijawahi kuona kitu kama kile .
Bhasi nikaendelea na utafiti wangu nikagundua vitu vingi zaidi katika Ardhi ile na baada ya kukaa na kuangalia milima ikishangaa ujio wetu na muda ulikuwa umeenda , tukafanya baadhi ya kazi pale na kuanza kurudi
Ninachotaka kusema ni kwamba
Don't limit your mind to think
Seed and not diamond will make Africa great
Wekeza vzr kwenye kilimo
Uzi utakao fuata nitawaeleza katika hyo Ardhi ni nini kimepandwa na kinawezaje kumlipa Mkulima tena bila stress , najua utafikiri ni miti ya mbao lakini sio kweli ....stay tuned
Jumapili njema wana jamvi
Jamaa story zako kama za jamaa mmoja humu JF anaitwa ONTARIO a.k.a MZEE WA FOREX.
Hujashtuka bado mkuu?
Una akili sana lazima ulifaulu darasa la saba (joke)Jamaa story zako kama za jamaa mmoja humu JF anaitwa ONTARIO a.k.a MZEE WA FOREX.
Hahah ngoja nijifagilie kidogo,enzi hizo tulifaulu wawili tu kijijini kwetu mkuu hahahUna akili sana lazima ulifaulu darasa la saba (joke)