Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

Hivyo ni vyako ndio maana umevitaja

Tuache kuwasingizia wageni kwamba walituletea mambo ya hovyo badala yake tukaacha ya kwetu. Kama tuliyaacha ni kwa sababu hayakuwa mazuri. Waafrika ni wakarimu na tunapenda umoja. Je,kwa kuja dini tumeondokewa na ukarimu? Hatuwezi kuacha kutupilia mbali mila za kuvizia viungo vya asili vya wanawake kwa imani kwamba vinaweza pamoja na nyungo kutusafirisha hadi Kigoma. Imani kama hiyo ni ushenzi na bora tulivyoachana nazo.
 
Sina tatzo na kalenda na ndo hyo natumia pia. Ila ukihesabu siku kwa kiswahili Jmosi katika wiki manake ni siku ya ngapi? Nini maana ya Mosi? Kwa nini unalazimisha moja kuwa saba?
Kwa hiyo KALENDA ya kiingereza na ya kiswahili zinatofautiana?
 
Kwa hiyo KALENDA ya kiingereza na ya kiswahili zinatofautiana?

Znatofautiana lugha tu mkuu mi natumia ya Kiswahili iliyoandikwa Jumamosi na sio iliyoandikwa Saturday neno ambalo kimsingi sielewi maanake.

NB: Sabato ndo inaingia ivo vip ushapika kande la kesho mana nyie Saturday huwa hamgusi kitu yoyote.
 
Znatofautiana lugha tu mkuu mi natumia ya Kiswahili iliyoandikwa Jumamosi na sio iliyoandikwa Saturday neno ambalo kimsingi sielewi maanake.

NB: Sabato ndo inaingia ivo vip ushapika kande la kesho mana nyie Saturday huwa hamgusi kitu yoyote.
Siyo lazima kande ndugu, hata hotelini waweza kula na hata vyakula vingine tofauti ya kande waweza kula siku ya Sabato
 
Siyo lazima kande ndugu, hata hotelini waweza kula na hata vyakula vingine tofauti ya kande waweza kula siku ya Sabato

Sawa mkuu
Turudi kwenye mada. Unaelewa nini kuhusu Saturday na Jumamosi. Nshakpa maana ya Jumamosi kulingana na uelewa wangu naomba na mimi unisaidie nielewe maana ya saturday.
 
Hebu angalia maelezo ya mtandao... Saturday - Wikipedia
Sawa mkuu
Turudi kwenye mada. Unaelewa nini kuhusu Saturday na Jumamosi. Nshakpa maana ya Jumamosi kulingana na uelewa wangu naomba na mimi unisaidie nielewe maana ya saturday.
Wikipedia inasema "Saturday is the SABBATH DAY of the Bible"..
Screenshot_2018-11-09-18-57-51.jpeg
 
Hebu angalia maelezo ya mtandao... Saturday - WikipediaWikipedia inasema "Saturday is the SABBATH DAY of the Bible".. View attachment 927855

Inasikitisha kuona bado unarefer Wikipedia mpaka leo.

But kulingana na reference yako Saturday means Saturn's day.
Je unaweza kuuliza tena huko Wikipedia maana ya Saturn.

Lakini hapo mwishoni nmeona kama hyo Saturns day ni siku ambayo watu hufanya leisure activities. Je unaweza nisaidia kuulza huko Wikipedia maana ya Neno leisure?
 
Kwahiyo tufanye nini kama sabato ni siku ya jumamosi?
Fanya maamuzi yoyote na utakuwa uchaguzi wako kwa kuwa sasa unajua kuwa "Sabato ya Biblia ni Jumamosi"......

(INFORMED DECISION MAKING)

Na mimi pia nitakuwa nimefanya wajibu wangu wa" kupaza sauti " kukuhubiria habari njema...
 
Ahahahaha kwaiyo mungu alianza kazi cku ya jumapili au siku ya kwanza mana nadhani binadamu ndo tumeweka cku ili tuweze kwenda pamoja kwa ibada ila tunaweza fanya hata jumatano iwe siku ya ibada na akuna shida yoyote safi tu
 
Inasikitisha kuona bado unarefer Wikipedia mpaka leo.

But kulingana na reference yako Saturday means Saturn's day.
Je unaweza kuuliza tena huko Wikipedia maana ya Saturn.

Lakini hapo mwishoni nmeona kama hyo Saturns day ni siku ambayo watu hufanya leisure activities. Je unaweza nisaidia kuulza huko Wikipedia maana ya Neno leisure?
Fact hapa ni..... "siku ipi katika ulimwengu wa leo ni siku ya saba ya juma na ni Sabato ya Biblia"?... Hapo Wikipedia wameweka pia reference za maandiko je umeyasoma?

Hata hilo jina" SATURDAY " likibadilishwa likawa" sinide".. so long as hiyo ndiyo siku "ya saba ya juma".. Bado itaendelea kuwa" Sabato "...

Tafadhali ktk post hii zingatia neno.." siku ya Saba ya juma "....

Jina la siku hiyo linakuja" pale tunapoanza kuitafuta siku hiyo ktk wiki "
 
Ahahahaha kwaiyo mungu alianza kazi cku ya jumapili au siku ya kwanza mana nadhani binadamu ndo tumeweka cku ili tuweze kwenda pamoja kwa ibada ila tunaweza fanya hata jumatano iwe siku ya ibada na akuna shida yoyote safi tu
Binadamu siku alizikuta, yeye amezipa majina
 
Inasikitisha kuona bado unarefer Wikipedia mpaka leo.

But kulingana na reference yako Saturday means Saturn's day.
Je unaweza kuuliza tena huko Wikipedia maana ya Saturn.

Lakini hapo mwishoni nmeona kama hyo Saturns day ni siku ambayo watu hufanya leisure activities. Je unaweza nisaidia kuulza huko Wikipedia maana ya Neno leisure?
Kwani kama una tatizo na kimombo si ungeniuliza too... "Saturn" ni jina la SAYARI au wewe ulidhani kuwa nini?
 
EBR. :4:9
Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu.

Ukiikataa sabato ni kukataa kuwa miongoni mwa wale walio watu wa Mungu maana wale walio wa Mungu wanaiheshimu na kuitunza siku ya sabato takatifu kwa Bwana
 
EBR. :4:9
Basi, imesalia raha ya sabato kwa watu wa Mungu.

Ukiikataa sabato ni kukataa kuwa miongoni mwa wale walio watu wa Mungu maana wale walio wa Mungu wanaiheshimu na kuitunza siku ya sabato takatifu kwa Bwana
Acheni kudaganyana. Sabato maana yake ni pumziko haikumaanisha siku hapa. Maana yake waweza Sena imesalia raha ya pumziko kwa watu wa Mungu. Usimaanishe kuwa mbinguni kutakuwa na siku maalumu ya kuabudu kwa jina la sabato.
 
Hakuna hata sehemu moja ndani ya Biblia Mungu aliposema aabudiwe siku ya Sabato, hiyo ni siku ya Mapumziko na wala sio siku ya Kumwabudu Mungu, Mnapoenda kusali siku ya jumamosi mnafata Maagizo ya Kibinadamu ya Bibi EG White na wala si Mungu, Jumamosi Wayahudi walikuwa wanakutana kwenye Masinagogi kupiga Soga na kushindana habari za Maandiko, Ibada ilikuwa inafanywa kwenye Nyumba ya Bwana Hekaluni, Pale Yesu alipowatoa wafanya biashara, Pale Yesu alipoanza kufundisha angali mtoto, pale Mzee Zakaria Alipopigwa Ububu, pale kunakonyunyuziwa uvumba kwa Chetezo, pale kwenye kuweka mikate ya wonyesho

Soma Isaya 66:23 Biblia inasema hata kule juu mbinguni wanadamu wote sabato hata sabato wataenda kuabudu mbele za Mungu
 
sawa!!! Utaenda mbinguni kwa kusali jumamosi tu bila kufanya mambo mengine ya kiimani. Siku zingine usisali kabisa maana kwako ni haramu....subiri mpaka jumamosi ee!!!
 
Back
Top Bottom