Ndugu zangu, ngoja niwaambie hivi ; kusali Siku yoyote, kati ya jumapili hadi jumamosi hakutakupeleka katika uzima wa milele.
Kitakachokupeleka katika uzima wa milele, ni kumpokea Yesu, na kumkiri mbele za watu kuwa ni Bwana na mwokozi wako , na kisha kukaa ndani ya Yesu .
Mkristo ameagizwa kukesha akiomba, sasa mambo ya kugombea Siku ya kupumzika kunatoka wapi kama umeambiwa kesha ukiomba, maana yake kila iitwayo Siku wewe Uko katika maombi.
Yesu ndiye njia na kweli, na uzima, sio Siku. Kwanza majina ya Siku kuanzia jumapila hadi jumamosi ni majina ya miungu ya kipagani , kwa nini mnagombea majina ya miungu ya kipagani?.
Wakati MUNGU anafanya uumbaji, Siku aliyopumzika ilikuwa ni Siku ya saba, ambayo haikuwa na jina la jumamosi au Saturday . ni Siku ya saba.
Kesheni mkiomba ndugu zangu. Jumamosi, jumapili, ijumaaa, zitawapeleka motoni. Mtazame Yesu ili uurithi uzima wa milele.
Sent using
Jamii Forums mobile app