SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,336
- 4,693
Hapa msingi ni "fundisho la tarehe ya kurudi Yesu" unalodai Wasabato wanalo.. Nimekuomba utoe ushahidi... Badala yake unaleta hadhi... toa ushahidi hapa... "Sema kitabu au kijizuu ambacho kina mafundisho hayo"
Nimefurahi kwamba unajua kuwa kanisa la waadventista Wasabato lilisajiliwa miaka zaidi ya 30 baada ya mafundisho ya unabii wa Daniel yaliyofanywa na Miller. Kwa hiyo Miller hakuwa msabato kipindi hicho.
Unataka nikupe ushahidi Wa andiko kwamba Ellen White aliwahi kupiga ramli ya kurudi kwa Yesu mwaka 1885? Au unataka nionyeshe ni fundisho gani kati ya 28 munayoiamini? Swali hili linaonyesha kwamba huijui historia yako na huelewi maana ya historia. Kwa hiyo, kama kuna mambo ya hovyo waanzilishi wenu waliwahi kuyafanya na baadaye mumeamua kuachana nayo hilo nalo unataka uthibitisho kama jambo hilo ni miongoni mwa mambo 28 munayoyaamini? Mambo mfanye nyie na kisha muyakimbie halafu unataka mimi nikupatie ushahidi. Kwani Ellen White alikuwa anafanyia usabato kisiwani ambako hakukuwa na watu wakiona au kusikia akilaghai watu kwamba YESU angalirudi Mwaka 1885?