Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

Siku ya saba (Sabato) ni Jumamosi

Kalenda yenyewe haiko uniform, waliyoianzisha hata sio wasabato. Ni uzwazwa wa kiwango cha lami kushadadia issue za dini zilizokuja kwa meli.

Tenda wema, mpende Mungu na jirani. Mambo mengine ni mbwembwe tupu!
 
Acheni kudaganyana. Sabato maana yake ni pumziko haikumaanisha siku hapa. Maana yake waweza Sena imesalia raha ya pumziko kwa watu wa Mungu. Usimaanishe kuwa mbinguni kutakuwa na siku maalumu ya kuabudu kwa jina la sabato.
Naona unailisha maneno biblia kwa tafsiri yako potofu lakini uongo wa pili unasema huko mbinguni haitakuwepo Isaya

ISA. :66:22
Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema BWANA, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa.

ISA. :66:23
Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.

Mungu anasema itakuwepo sabato na tutamuabudu katika siku hiyo
 
Acheni kudaganyana. Sabato maana yake ni pumziko haikumaanisha siku hapa. Maana yake waweza Sena imesalia raha ya pumziko kwa watu wa Mungu. Usimaanishe kuwa mbinguni kutakuwa na siku maalumu ya kuabudu kwa jina la sabato.

Yaani kwa kulishana matangopori hawajambo. Sabato kwa kiebrania Shabbat ina maana ya pumziko. Wao wamedandia na kutoka na tafsiri ya siku.
 
Fanya maamuzi yoyote na utakuwa uchaguzi wako kwa kuwa sasa unajua kuwa "Sabato ya Biblia ni Jumamosi"......

(INFORMED DECISION MAKING)

Na mimi pia nitakuwa nimefanya wajibu wangu wa" kupaza sauti " kukuhubiria habari njema...




Haya.
 
Wewe ndiyo unajidanganya mwenyewe
Acheni kudaganyana. Sabato maana yake ni pumziko haikumaanisha siku hapa. Maana yake waweza Sena imesalia raha ya pumziko kwa watu wa Mungu. Usimaanishe kuwa mbinguni kutakuwa na siku maalumu ya kuabudu kwa jina la sabato.
Amri ya nne (kutoka 20:8-11) imataja neno "siku" mara nyingi
Screenshot_2018-11-09-20-27-46.jpeg
 
yaani muumba atanihukumu kwa kutoitunza sabato huyo Mungu atakuwa waajabu.sabato ambayo hata bwana yesu aliivunja ndiyo iwe mimi?
 
Naona unailisha maneno biblia kwa tafsiri yako potofu lakini uongo wa pili unasema huko mbinguni haitakuwepo Isaya

ISA. :66:22
Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema BWANA, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa.

ISA. :66:23
Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema BWANA.

Mungu anasema itakuwepo sabato na tutamuabudu katika siku hiyo

Elimu Elimu Elimu. Kwa hiyo,utabiri Wa Nabii Isaya haujatimia bado? Kwa akili zenu mnafikiria ufunuo Wa Agano la kale haujatimia hadi leo isipokuwa mambo hayo tuyatarajie siku zijazo? Ama watu wangu wanaangamia kwa maarifa ya kumlika na kibatari.
 
Mkisoma Isaya 66:23 inasema wazi kuwa sabato ipo na itaendelea kuwepo

Anaesema kuwa Sabato ni ya Wayahudi
Jibu ni kwamba Yesu mwenyewe alisema sabato haikufanyika kwa ajili ya wanadamu bali wanadamu kwa ajili ya sabato hapa hawatajwi Wayahudi bali wanatajwa wanadamu wote

Happy Sabbath
 
Wewe ndiyo unajidanganya mwenyewe Amri ya nne (kutoka 20:8-11) imataja neno "siku" mara nyingi View attachment 927898

Katika wiki hatuna siku inaitwa "siku ya sabato" labda kwa kama ninyi mnaoishi sayari ya Mars. Tunazo siku Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi,Ijumaa,Jumamosi na Jumapili. Hiyo yako iko wapi hapo?
 
Katika wiki hatuna siku inaitwa "siku ya sabato" labda kwa kama ninyi mnaishi sayari ya Mars. Tunazo siku Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi,Ijumaa,Jumamosi na Jumapili. Hiyo yako iko wapi hapo?
Endelea kufata na kuukumbatia upagani wa ROMA

USIACHE NA KUABUDU YALE MASANAMU
FB_IMG_1541730133107.jpeg
 
Elimu Elimu Elimu. Kwa hiyo,utabiri Wa Nabii Isaya haujatimia bado? Kwa akili zenu mnafikiria ufunuo Wa Agano la kale haujatimia hadi leo isipokuwa mambo hayo tuyatarajie siku zijazo? Ama watu wangu wanaangamia kwa maarifa ya kumlika na kibatari.
Endelea kusubir dominica ni Jehanum

Sabato ni mbinguni ,
FB_IMG_1541730344326.jpeg
 
Wasabato bana! Sijui yule mama aliwaroga kwa uchawi gani! Ellen white big up huko uliko maana duniani umetuachia matatzo makubwa sana
Aliyeleta sabato ni Mungu

Aliyeleta matatizo ni SHETAN KUPITIA UPAPA

NDIYE ALIYEWAPA IBADA YA JUMAPILI

NA IBADA ZENU ZA MASANAMU

SASA SIJUI NAN KALETA MATATIZO
FB_IMG_1541730234505.jpeg
FB_IMG_1541687381656.jpeg
 
Back
Top Bottom