Lia tu, usha kuwa mtaalamUsinikumbushe....nikaanza kulia
wako mwenyew nae anachepuka ukoo ss..[emoji1] [emoji1] [emoji39] [emoji39]Naiona,lakini sio kuzuri,inapendeza ukiwa na wako mwenyewe
ndo mana na ww inabd ufany mpango tukaishambulie hii hal ya hewa..[emoji39] [emoji39] [emoji6] [emoji6]Achepukee tu....
Vipi siku ya pili..!Habari wanajamvi
Hiki kisa kimewahi kunikuta kwenye maisha yangu,siku ya kwanza nachepuka nililia machozi.
Ilikuwa hivi,kipindi hicho nilikuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja niliyekuwa nimempenda sana,lakin kuna kaka mwingine alinilaghai kwa maneno na vipesa nikajikuta nimemkubalia
Siku naenda na huyu mpenzi mpya faragha tukiwa sita kwa sita,baada ya round ya kwanza kumalizika,SMS ilingia kwenye sim yangu,kuangalia alikuwa mpenzi wangu "baby wangu uko wapi"
Ghafla nilishikwa na kitu Fulani kilichoniingia mwilini,nikahisi kutomtendea haki mpenzi wangu,nikaanza kububujikwa na machozi,jamaa akawa ananiuliza kulikoni,nikamwambia naumwa,ila hakuona wakati nasoma ile SMS alikuwa bafuni
Nililia nikaamka nikavaa nguo,nikachukua mkoba wangu na kuondoka,hela alizokuwa amenipa nikamrushia.Tangia siku hiyo sikurudiana na huyo mkaka,SMS zake sikumjibu,wala kupokea sim yake
Je wewe imewahi kukuta hali hiyo?
hahahaaMtoa mada bila shaka kwa ss umeshakuwa profesheno mchepukaji na hulii tena
Ukiwa huna mtu maalum?ha!kwahyo Kuna nyakati huwa unagongwa na yeyote tu na Kuna wakat unakuwa na mtu maalum?duh,ndio zile nightstand na daystand?Yan mchiz akikustua tu unaenda kuliwa then kila mtu anaendelea na issue zake?we kiboko inaonekana una roho nzuriNakataa kabisa,mim nikiwa sina mtu maalumu nafanya for fun tu lakin nikipata mtu anaeleweka na ananipenda sana wala sitoki tena
Na mi naomba ila safari hii zima simuSiyo tabia yangu,nilikuwa nampenda boy wangu sana
Hahahaaamwanangu acha we mapenzi mwenzio sitaki kuyasikia maaana subili nizame ukulaasa nikupeni story