Ahahahahahahhumetukana mkuu....kitenzi kikurupushi kimetumika
Mkuu akikujibu fanya kuntag.Hahaha vipi kama zoba wako asingetuma sms, bado ungelia machozi?
Mi umbali ulikuwa unanishinda mtu anakuacha mwaka mzima nusu,nyege zinajaa jamaniWengine huwa haiwasuti mkuu
Yaan halaf ikawa kama laana hivi kidogo nichizikeAise kama unaniita mimivile [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni sawa lakini sikurudia tena na huyo jamaaHapa sasa ndiyo nashindwa kuwaelewa wanawake!!
Alikulaghai vipi wakati wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu?
Ulipenda mwenyewe uchepuke kwa tamaa zako ,pia kulia na kuondoka haikusaidia kitu sababu ushatombw*******()
kama ungefikiria hayo usingethubutu kuvua chupi na kunyegeka kwa jamaa.
unaigiza tu wewe.
Kuchepuka ni kama kula nyama ya mtu,ukishaonja mara moja huwezi kuacha!!Habari wanajamvi
Hiki kisa kimewahi kunikuta kwenye maisha yangu,siku ya kwanza nachepuka nililia machozi.
Ilikuwa hivi,kipindi hicho nilikuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja niliyekuwa nimempenda sana,lakin kuna kaka mwingine alinilaghai kwa maneno na vipesa nikajikuta nimemkubalia
Siku naenda na huyu mpenzi mpya faragha tukiwa sita kwa sita,baada ya round ya kwanza kumalizika,SMS ilingia kwenye sim yangu,kuangalia alikuwa mpenzi wangu "baby wangu uko wapi"
Ghafla nilishikwa na kitu Fulani kilichoniingia mwilini,nikahisi kutomtendea haki mpenzi wangu,nikaanza kububujikwa na machozi,jamaa akawa ananiuliza kulikoni,nikamwambia naumwa,ila hakuona wakati nasoma ile SMS alikuwa bafuni
Nililia nikaamka nikavaa nguo,nikachukua mkoba wangu na kuondoka,hela alizokuwa amenipa nikamrushia.Tangia siku hiyo sikurudiana na huyo mkaka,SMS zake sikumjibu,wala kupokea sim yake
Je wewe imewahi kukuta hali hiyo?
[emoji3] [emoji3] hilo nalo jambo my!!Halaf unakua unaona kama anakuona au anakuchungulia dirishani,huwa inauma sana,
Niliwah kuachana na mtu nikapata mpenzi mpya heeheh lakin nikawa nawaringanisha naona yaan nimeshuka daraja,kutomba anajua ila nilikuwa nikifanya nae akili yote inamuwaza mpenzi mwingine huwezi amini nilikuwa namtaja jina yule bwana angu wa zamani ,nashukuru sasa ashanitoka na nikifanya wala simfikirii tena
Sasa hivi hata sithubutu kabisa ,zamani naachwa mwaka na nusu ye huko anato.... kama kawaida mapenzi ya mbali balaaa[emoji3] [emoji3] hilo nalo jambo my!!
Ina maana huna tafsida? mambo gani haya kunyegeshana asubuhi?.. sio powaHalaf unakua unaona kama anakuona au anakuchungulia dirishani,huwa inauma sana,
Niliwah kuachana na mtu nikapata mpenzi mpya heeheh lakin nikawa nawaringanisha naona yaan nimeshuka daraja,kutomba anajua ila nilikuwa nikifanya nae akili yote inamuwaza mpenzi mwingine huwezi amini nilikuwa namtaja jina yule bwana angu wa zamani ,nashukuru sasa ashanitoka na nikifanya wala simfikirii tena