Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Siku ya kwanza ulilia, vipi day 15 bado unalia au ushakuwa mzoefu?
 
Mtu anaekupenda ukimsaliti lazima ulie tena unamsaliti kwa mtu ambae hafanani nae hata robo.
sema mara nyingi wenye mapenzi hawana pesa... na sisi wanawake na tamaa zetu za pesa ndo hapo nafsi inapokusuta ...unajikuta umekua petro
 
Habari wanajamvi

Hiki kisa kimewahi kunikuta kwenye maisha yangu,siku ya kwanza nachepuka nililia machozi.

Ilikuwa hivi,kipindi hicho nilikuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja niliyekuwa nimempenda sana,lakin kuna kaka mwingine alinilaghai kwa maneno na vipesa nikajikuta nimemkubalia
Siku naenda na huyu mpenzi mpya faragha tukiwa sita kwa sita,baada ya round ya kwanza kumalizika,SMS ilingia kwenye sim yangu,kuangalia alikuwa mpenzi wangu "baby wangu uko wapi"

Ghafla nilishikwa na kitu Fulani kilichoniingia mwilini,nikahisi kutomtendea haki mpenzi wangu,nikaanza kububujikwa na machozi,jamaa akawa ananiuliza kulikoni,nikamwambia naumwa,ila hakuona wakati nasoma ile SMS alikuwa bafuni
Nililia nikaamka nikavaa nguo,nikachukua mkoba wangu na kuondoka,hela alizokuwa amenipa nikamrushia.Tangia siku hiyo sikurudiana na huyo mkaka,SMS zake sikumjibu,wala kupokea sim yake

Je wewe imewahi kukuta hali hiyo?
MUONGO
 
kuna clip niliona ya binti anazini na jamaa mwingine mpenzi wake akampigia akapokea dyudyu ikiwa imo tunduni...baada ya kumaliza akaanza kulia.
jamaa wala hakuwa ana habari akawa anakula mzigo hivyo hivyo..
 
Habari wanajamvi

Hiki kisa kimewahi kunikuta kwenye maisha yangu,siku ya kwanza nachepuka nililia machozi.

Ilikuwa hivi,kipindi hicho nilikuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja niliyekuwa nimempenda sana,lakin kuna kaka mwingine alinilaghai kwa maneno na vipesa nikajikuta nimemkubalia
Siku naenda na huyu mpenzi mpya faragha tukiwa sita kwa sita,baada ya round ya kwanza kumalizika,SMS ilingia kwenye sim yangu,kuangalia alikuwa mpenzi wangu "baby wangu uko wapi"

Ghafla nilishikwa na kitu Fulani kilichoniingia mwilini,nikahisi kutomtendea haki mpenzi wangu,nikaanza kububujikwa na machozi,jamaa akawa ananiuliza kulikoni,nikamwambia naumwa,ila hakuona wakati nasoma ile SMS alikuwa bafuni
Nililia nikaamka nikavaa nguo,nikachukua mkoba wangu na kuondoka,hela alizokuwa amenipa nikamrushia.Tangia siku hiyo sikurudiana na huyo mkaka,SMS zake sikumjibu,wala kupokea sim yake

Je wewe imewahi kukuta hali hiyo?
Kumkataa shetani ni ushindi mzuri.Hongera sana kwa kuamua jambo jema la kuacha umalaya
 
Siyo tabia yangu,nilikuwa nampenda boy wangu sana
Huwa nawaonea sana huruma akina dada
Wao wakiamua kupenda wanapenda sana na kwa moyo mmoja .Tatizo ni kwa wanaume kwakweli wanaume wanawatesa sana dada zetu kwa kuwatumia kama burudani.
Ni ngumu sana kukutana na mwanaume anayependa mmoja tu.
Unaachana na mwanaume huyu baada ya kuimizwa sana unatulia kwa muda wa mwaka au miaka unajikuta unaanza kupenda taratibu na unakutana na mwanaume mwingine unaanza kumpenda kidogokidogo unamsimulia mwanaume wako akiyepita alivyo kutenda huyu mpya anasikiliza na anasikitika sana kwa tabia za wanaume
Baada ya miezi mitatu ushampa moyo wako na unaanza kusahau machungu ya x wako huyu mpya anakufanyia kituko kibaya zaidi kuliko wa kwanza either anatembea na mama yako mzazi mdogo wako au shost wako
WANAUME HAKIKA TUNAWATESA SANA AKINA DADA .
POLENI DADA ZETU
 
Sasa hivi hata nikiguswa na jani nashtuka kabisa ,nikifikiria Maneno anayoniambia G sifikirii kabisa kuchepuka,ananipenda ananipa mapenzi yote,ananitunza,anataka niwe na furaha muda wote,hata sijaribu kabisa tumefanya zamani inatoshaaa
Ndo maneno yenu haya
 
Thread inasema siku ya kwanza kuchepuka ulilia inamaana hapo ulikua mgeni sasahivi umezoea kuchepuka hulii tena.
 
Watu wengine bhana ....eti umejiskia uchungu ukarudisha hela ulizopewa msiiiiieeew ....una jini mkataa hela wewe .....unasusaje hela .....una uhakika huyo bwanako hakucheat????
 
Ndivo ulivyo, ila jamaa alifaid pesa na wewe
 
Sasa hivi hata nikiguswa na jani nashtuka kabisa ,nikifikiria Maneno anayoniambia G sifikirii kabisa kuchepuka,ananipenda ananipa mapenzi yote,ananitunza,anataka niwe na furaha muda wote,hata sijaribu kabisa tumefanya zamani inatoshaaa
Ww bado hujapata jambajamba, mwanaume hasifiwi hivyoo.
Utanikumbuka
 
Back
Top Bottom