Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Siku ya kwanza kuchepuka nililia machozi

Wanaume huo ni ujumbe wetu kabisa.

Hawa viumbe kwenye kitanda wanalizwa na mengi.
 
.
Ukizoea ku-cheat unaona kitu cha kawaida kabisa, wala nafsi haikusuti, wala hujiulizi mara mbili. Ila siku za mwanzo kweli unajisikia vibaya ukimkumbuka mwenzako.
Kwani ushawahi kucheat mchumba?!
 
Ni sawa lakini sikurudia tena na huyo jamaa
Wanawake bwana,sijui hata mna akili gani!!!kwa sentence yako hii inaonekana baada ya kuchepuka na boya lako la mwanzo ukajiliza ulikuja/unachepuka tena na boya mwengine.

Yaani hii ni hasara kubwa na hatari sana ktk jamii.
 
Back
Top Bottom