msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,880
hahahahah inaelekea hukuwa umejipanga!mwanaume huwa haachwi ila anaachwa!
hAHAHAHAAAA HAPA NDIO PA KUSHINDA HAPA HUKO KWENYE SIASA MMMHHHHH
mi sikumbuki kuachwa bhana na hao niliowaaacha tuliachana kwa amani sana japo .......
Katika maisha ya mapenzi kuachwa ni jambo la kawaida japo lisilozoeleka, halina mzoefu, kuona umeachwa halafu mwanamke huyo akachukuliwa na mwanaume mwingine, ukipiga picha kinachoendelea wakiwa kitandani, inaumiza sana. Nimekuwa na bahati mbaya ya kuachwa kila wakati, katika kuachwa kote huyu dada sitamsahau kamwe:
...... nilidhani unajua mapenzi, kumbe kitandani hakuna unachokijua, hujanirdhisha kabisa. Nikadhani atanipatia nafasi nyingine niboreshe zaidi, kumbe ndo kaniacha.
Wewe uliachwa kwa maneno gani??????
hahahahah inaelekea hukuwa umejipanga!mwanaume huwa haachwi ila anaachwa!
miss wa kinyaru, umenimaliza, sisemi umenimaliza katika nini, unajua.Sasa kama umeshaachwa mara nyingi, huoni kama kuna tatizo na afadhali huyo amekuambia ukweli inabidi ujirekebishe mapungufu uliyonayo tena mshukru sana huyo ndo atakufanya upunguze kuachwa.
Asa ndo umeandika nini? Ebooo!
Mi niliachwa kimy kimya,,, nasubiri siku afufuke nimemtunzia magunia mawili ya matusi..
yani siku hizi kwenye siasa kunaboa kweli, halafu kunatia hasira sana, huku rahaaa sana, full suruali kwenda wima. unabonyeza juu na chini.
Mimi aliniambia " ..... My dear xxxx, we can't go on like this kwasababu wewe ni Mpinga Cristo, sorry for westing u' re time" hapo tushakata miaka mitatu, ndio mipango ya kutambulishana kwa wazazi ipo hot
habari ndo hiyoE! Mambo hayo..
mapenzi songs so sad!!!!!!!!!1 i hate this thing!!!