nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
mmmmh!!!!
mbona umeguna baba mkwe
mmmmh!!!!
Mapenzi yanavua watu nguo mbele ya kadamnasi hadi wengine wanajinyonga kisa ile kitu ya katikati
Katika maisha ya mapenzi kuachwa ni jambo la kawaida japo lisilozoeleka, halina mzoefu, kuona umeachwa halafu mwanamke huyo akachukuliwa na mwanaume mwingine, ukipiga picha kinachoendelea wakiwa kitandani, inaumiza sana. Nimekuwa na bahati mbaya ya kuachwa kila wakati, katika kuachwa kote huyu dada sitamsahau kamwe:
...... nilidhani unajua mapenzi, kumbe kitandani hakuna unachokijua, hujanirdhisha kabisa. Nikadhani atanipatia nafasi nyingine niboreshe zaidi, kumbe ndo kaniacha.
Wewe uliachwa kwa maneno gani??????
mbona umeguna baba mkwe
ili baadae urudiwe kimya kimya kuombwa game
Mi aliniambia kuwa hatumatch kisa kwao mambo safi na sisi kwetu hali ni kawaida tu....ila sasa hv baada ya kuniona na kitumbo na hatimae mtoto kaanza kuleta mizengwe mara eti ooh nilidanganywa....na mm ndio sina time tena kwsbb nsharidhika na wa hali ya kawaida mwenzangu.
Mi niliambiwa niwe MSABATO!!!! Hii ilkuwa ngumu kwangu!! ila had sasa bado niko mguu mmoja nje mwingine mlangon!! Si unajua MAHANDSOME Hatuachi hivihivi!
yani siku hizi kwenye siasa kunaboa kweli, halafu kunatia hasira sana, huku rahaaa sana, full suruali kwenda wima. unabonyeza juu na chini.hAHAHAHAAAA HAPA NDIO PA KUSHINDA HAPA HUKO KWENYE SIASA MMMHHHHH
mi sikumbuki kuachwa bhana na hao niliowaaacha tuliachana kwa amani sana japo .......
Huwezi achwa nowdays kama Wallet,ATM,Tigo Pesa,M-Pesa Airtelmoney vinatimiza wajibu.