miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
mapenzi sad songs!!!!!!!! i hate this thing
nitonye well said hahhaha ukute alikomaa n kukata miuno kama mnenguaj wa fm academia akasahau maoenz ufundi akabwagwaSasa mtu mpaka anaambiwa kuwa kitandani ni zero hashtuki, tatizo aliona anavyokatakata viuno ka vya mbuzi akadhani anamridhisha binti wa watu
Katika maisha ya mapenzi kuachwa ni jambo la kawaida japo lisilozoeleka, halina mzoefu, kuona umeachwa halafu mwanamke huyo akachukuliwa na mwanaume mwingine, ukipiga picha kinachoendelea wakiwa kitandani, inaumiza sana. Nimekuwa na bahati mbaya ya kuachwa kila wakati, katika kuachwa kote huyu dada sitamsahau kamwe:
...... nilidhani unajua mapenzi, kumbe kitandani hakuna unachokijua, hujanirdhisha kabisa. Nikadhani atanipatia nafasi nyingine niboreshe zaidi, kumbe ndo kaniacha.
Wewe uliachwa kwa maneno gani??????
Mie niliachwa kimya kimya.....
ili baadae urudiwe kimya kimya kuombwa game
mapenzi sad songs!!!!!!!! i hate this thing
Japo nini sasa?? Lile kweli jukwaa la stress aisehAHAHAHAAAA HAPA NDIO PA KUSHINDA HAPA HUKO KWENYE SIASA MMMHHHHH
mi sikumbuki kuachwa bhana na hao niliowaaacha tuliachana kwa amani sana japo .......
Hahaha ukiona tu mambp ndivyo sivyo unakata mawasiliano. Anabaki yeye kujishangaa umestuki nini.
Mjini mahesabu banaa
hAHAHAHAAAA HAPA NDIO PA KUSHINDA HAPA HUKO KWENYE SIASA MMMHHHHH
mi sikumbuki kuachwa bhana na hao niliowaaacha tuliachana kwa amani sana japo .......