Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello Great Thinkers....
Moja ya vitu vilivyojirudia kutoka kwa wachangiaji kwenye hii topic niliyoiandika siku chache zilizopita ni jinsi Tanzania kulivyo na Maigizo kwenye uchaguzi... unaweza kupitia Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais
Kwamba kila Uchaguzi ni Maigizo tu, kwamba Kiongozi/Rais tayari anakua ameshawekwa, kinachoendelea ndani ya Uchaguzi ni Maigizo tuonekane na sisi tuna exercise demokrasia.
Wengine wakasema, Mafisadi yana Influence kubwa ndani ya nchi, wameiteka TISS, Mahakama, na vyombo vingine..ambavyo badala ya kuserve wananchi vinaserve Mafisadi.
Majina Mafisadi, wengine wanaita 'deep state' n.k siyo Mageni, LOL.
Huu ukiritimba ambao uko deep rooted kwenye Nchi yetu unatakiwa Uondolewe.
It makes me sick kuona bibi yangu kule Mazimbu,lol anajikongoja kwenda kupiga Kura ( sijui anamchagua nani, 😀 😀 😀 ), kumbe kuna lifisadi limoja limetulia kwake, linamsanifu tuu....
Mbaya zaidi Maendeleo kwa bibi huyu na wanaomzunguka ni hafifu!
Siku tutakapopata Uchaguzi huru, tukamchagua kiongozi mzalendo, Maendeleo Tanzania yataenda kwa speed ya Rocket!
Nakuja kwenu Great thinkers.
Tunaondoaje hizi tawala za kifisadi ambazo ziko deep rooted kwenye Jamii yetu.
Mimi sidhani watanzania wote hatujui kabisa jinsi ya ku deal na hawa Culprits!
Somewhere Mtanzania mmoja ana idea jinsi ya kutoka kwenye hii trap,
Come Foward please...lol
Any information is useful...lol
Karibuni, lol
Moja ya vitu vilivyojirudia kutoka kwa wachangiaji kwenye hii topic niliyoiandika siku chache zilizopita ni jinsi Tanzania kulivyo na Maigizo kwenye uchaguzi... unaweza kupitia Uchaguzi ujao, Kanda ya Ziwa isiwe ndio Kanda inayotuchagulia Rais
Kwamba kila Uchaguzi ni Maigizo tu, kwamba Kiongozi/Rais tayari anakua ameshawekwa, kinachoendelea ndani ya Uchaguzi ni Maigizo tuonekane na sisi tuna exercise demokrasia.
Wengine wakasema, Mafisadi yana Influence kubwa ndani ya nchi, wameiteka TISS, Mahakama, na vyombo vingine..ambavyo badala ya kuserve wananchi vinaserve Mafisadi.
Majina Mafisadi, wengine wanaita 'deep state' n.k siyo Mageni, LOL.
Huu ukiritimba ambao uko deep rooted kwenye Nchi yetu unatakiwa Uondolewe.
It makes me sick kuona bibi yangu kule Mazimbu,lol anajikongoja kwenda kupiga Kura ( sijui anamchagua nani, 😀 😀 😀 ), kumbe kuna lifisadi limoja limetulia kwake, linamsanifu tuu....
Mbaya zaidi Maendeleo kwa bibi huyu na wanaomzunguka ni hafifu!
Siku tutakapopata Uchaguzi huru, tukamchagua kiongozi mzalendo, Maendeleo Tanzania yataenda kwa speed ya Rocket!
Nakuja kwenu Great thinkers.
Tunaondoaje hizi tawala za kifisadi ambazo ziko deep rooted kwenye Jamii yetu.
Mimi sidhani watanzania wote hatujui kabisa jinsi ya ku deal na hawa Culprits!
Somewhere Mtanzania mmoja ana idea jinsi ya kutoka kwenye hii trap,
Come Foward please...lol
Any information is useful...lol
Karibuni, lol