Siku ambayo sitaisahau maishani

Siku ambayo sitaisahau maishani

Ivi inakuaje kulea ndo kazi,,inauhusiano na gharama za kulea ama kumlea mtoto kimaadili.

Penelope sio gharama ya pesa ila hekaheka yani ni kujitoa mhanga kuna muda hata usiku we unaona mchana ashkwambie mtu mama ni kitu muhimu .
 
Asante sana Mama mwema upendae watoto.
Mungu akupe uzao wenye manufaa.
Wanaotoa mimba oneni wivu kidogo tu!

Amina Tetra, nashukuru kwa maombi yako kweli wanaotoa mimba wanafanya kosa kubwa sana hawajui tuu. Ni sawa na kuukataa uumbaji wa mungu.
 
Ivi inakuaje kulea ndo kazi,,inauhusiano na gharama za kulea ama kumlea mtoto kimaadili.

Penelope, uchungu wa kuzaa unaisha pale tu unapojifungua mtoto na huwa unasahau kabisa hata kama ulikuwa unaumwa uchungu mkali sana na ndo maana watu wanazaa tena na tena.
Kulea mtoto hadi akafanikiwa kuwa kijana anayestahili kuitwa baba au binti aje aitwe mama si kazi ndogo kwa maana ya kuwa sio gharama tuu hata kuhakiksha tabia za mwanao zinakuwa katika hali nzuri na si kuharibikiwa au kuwa na tabia mbaya. Aliyezaa watoto 5 na kati ya hao mmoja tu ndo akafanikiwa wanaelewa nini maana ya malezi .
Kwa kifupi ni jinsi unavohangaika na mtoto wako baada ya kumzaa apate zile huduma muhimu kama chakula mavazi na malazi bila mtoto kupata misukosuko ndo maana kunawazazi wengine huwa wanawaombea sana watoto wao na siku wakigraduate au kuoa huwa wanalia kwani ni kazi kubwa wamefanya. Unahitaji nguvu satmina na uvumilivu wa hali ya juu.
 
Uzazi wa Tanzania ni nusu ya kifo, wenzatu kwao walisha piga hatua, uzazi ni neema

Ni kweli Bujibuji unachosema uzazi kwetu ni nusu kifo kutoka leba salama mama na mtoto yapasa kumshukuru mola maana siku hizi watu wanapata visu kama wako machinjioni, hiko nacho ni kilema hawajui tuu wanaoomba operation bila kuwa na shida yoyote.
 
happy birthday rainer
HONGERA my wee kwa kukuza!
ila ile habari sio mchezo mwaya lol!

Asante Snowhite ntafikisha salamu kwa Rainer, nashukuru my wee mungu kanisaidia kukuza. Ni kweli habari ya leba isikie hvhv ukitoka salama unaweza kuapa mie sirudi tena huko waapi baada ya miaka 2 au 3 unajikuta umerudi tena daah!
 
huyo Nesi
Ana Roho Mbaya
Et "Haunipi Hela Ya Soda!"
 
Hongera sana Sakapal, kwani ni bahati iliyoje kupitia the whole process hadi ukaitwa mama. Niliwahi sema hapa jamvini kuwa adabu ya mtoto wa kike hata kama anamuheshimu mama yake katu haiwezi fikia kama pale akijaaliwa kuzaa na yeye pia. Hili huwafanya wale wenye mama zao kuongeza mapenzi maradufu na kumuonesha mama namna gani wamthamini hata kama ni kwa vizawadi... Na pia huwa wakati mgumu sana kwa yule ambae kisha mpoteza mamake; wengi huona kama vile bado hakuweza kumuonesha mamake ni namna gani alimpenda na namna gani alivyo mtu wa thamani....

Wewe ulipata bahati, ukawa na mamako... Hongera saana. Kila la kheri katika maisha yako na mwanao pamoja na familia yote. Hongera...

Asante sana Ashadii kuitwa mama si mchezo unachosema ni kweli kabisa umuhimu au thamani ya mama kwa mtoto wa kike inaongezeka pale binti anapozaa labda huyo binti awe fyatu. Nashukuru kweli my mom huwa namshukuru sana kwa kunizaa na kunilea hadi hapa nilipo.
Thanks again pamoja sana.
 
Huwa ndugu yangu au mtu ninaemfahamu akiugua huwa nakwepa sana kwenda nae hospital kwa kuwa najijua nilivyo na hasira
'
Siwezi kuvumilia unyanyasaji wa manesi!

manesi wa hospitali za serikali wanasumbua sana ila hata wa private nowdays wengine wanaomba rushwa live ili wakupe first class service. Unatakiwa kwenda nao sambamba maana unachohitaji kwa wakati huo ni uzima wa mgonjwa wako au ndugu yako, jikaze Eiyer na upunguze hasira.
 
Asante Snowhite ntafikisha salamu kwa Rainer, nashukuru my wee mungu kanisaidia kukuza. Ni kweli habari ya leba isikie hvhv ukitoka salama unaweza kuapa mie sirudi tena huko waapi baada ya miaka 2 au 3 unajikuta umerudi tena daah!
ahahahhahaha mi nategeaga mwenzio duh!aka 6 yule na huyu,dogo mpka sa hizi aka 8 hana mdpgp wake lol!natamanije sasa!kikitiki uniandalie baby shower my wee!
 
Hongera bibie! Mungu ampe rehema Rainer na awe na upendo kwa mama yake maisha yake yote!!NANI KAMA MAMA!!!
 
Asante sana Ashadii kuitwa mama si mchezo unachosema ni kweli kabisa umuhimu au thamani ya mama kwa mtoto wa kike inaongezeka pale binti anapozaa labda huyo binti awe fyatu. Nashukuru kweli my mom huwa namshukuru sana kwa kunizaa na kunilea hadi hapa nilipo.
Thanks again pamoja sana.

I am happy for you... Pamoja saana.
 
Mi sitosahau siku niliyokatwa govi na likachelewa kupona kisa eti mi mnene nina mafuta mengi ngoja nimalize majukumu nije kutiririka kama CHAI CHUNGU

pole sana Billie ila kwani ulichelewa kuta****wa? dooh! maumivu yake inaweza kukaribia maumivu ya uchungu wa uzazi. Mie Rainer wangu nilimtah*** mapema kabla hata hajafikisha miaka 2.
 
Sakapal ile kitu ni shughuli nzito yani siku ya kwanza kufika labour hapo ndipo niliona uanamke ulipo yani kuanzia hapo nikisikia mtu anataka kutoa mimba au katoa mimba natamani kumlarua@ Ashadii nilipotoka labour nilimpenda mama yangu maradufu.
 
happy birthday Rainer.
hongera sana dada sakapal
Rainer ana wadogo zake wangapi?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom