Siku ambayo sitaisahau maishani

Siku ambayo sitaisahau maishani

Hv wakina mama mnajua sisi wanaume tunaposubiri ninyi kutoka leba huwa tunaumia inawezekana hata zaidi ya ninyi, hongereni sana but sitasahau mke wangu alipoingia huko kila kitu kilisimama mwilini mwangu, nampongeza na baba wa mtoto pia!
 
Happy birthday to Rainer na hongera mama Rainer; kwanza kwa kujifungua salama leo saa hizi na pili kwa kuwa na kumbux2 ya jambo lililotokea miaka 14 iliyopita
 
Hongera sana mama Rainer, nahisi naye atakuwa wadogo zake

Asante MESTOD ni kweli Rainer anamdogo wake wa kike vp unataka kumposea kijana wako au una binti nimpose kwa Rainer?.......(kidding)
 
Happy birthday Rainer, kwa sisi wakulima rain is sign of blessings!
Ubarkie Rainer na ukawe baraka kwa mama yako kwa kuwa raia mwema!

Asante NATA ashukuru kwa maombi yako, amin. Ntafikisha salamu kwa Rainer.
 
Asante MESTOD ni kweli Rainer anamdogo wake wa kike vp unataka kumposea kijana wako au una binti nimpose kwa Rainer?.......(kidding)


Hahaaa, wangu atakuwa padre wa kikatoliki (hawaoi hao) sakapal. Mwambie rainer aende njia hiyo pia!
 
Last edited by a moderator:
Kimbweka niaje? salama? kuna notes zimekustua kitu? karibu pm mie ntakujibu, sorry kuchelewa kukujibu hapa nilitoka kidogo. Nidokeze basi huko pm ni jambo gani hilo la muhimu tafadhali.

Kuna ka-zawadi nataka nika-foward bhana
Mie salama salmini kabisa" hofu na mashaka ni wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu" :becky:
 
Penelope sio gharama ya pesa ila hekaheka yani ni kujitoa mhanga kuna muda hata usiku we unaona mchana ashkwambie mtu mama ni kitu muhimu .

The secretary ni kweli tupu usemalo na malezi ya watoto kwa asilimia kubwa yamelemea kwa mama kuliko kwa baba, maranyingi baba yeye anasupport kifedha au kushiriki furaha ya mtoto au kukosoa na kulaumu mtoto anapokosa ila malezi ya mtoto kwa ujumla wa kike na wa kiume ni mama.
 
huyo Nesi
Ana Roho Mbaya
Et "Haunipi Hela Ya Soda!"

Yaani we acha tuu wanaomba sana na ukionesha kumnyima unaweza ukaachwa na mtoto wako hapo bila msaada ni kuwa mpole tuu ili utoke mle ndani salama, shida inakuja kama huna fedha watu wananyanyasika sana.
 
pole sana Billie ila kwani ulichelewa kuta****wa? dooh! maumivu yake inaweza kukaribia maumivu ya uchungu wa uzazi. Mie Rainer wangu nilimtah*** mapema kabla hata hajafikisha miaka 2.

Nilikatwa nikiwa na age ya miaka 7 jumrisha na ubonge niliokuwa nao pamoja na utundu basi ilikuwa balaa kupona ila na wewe pole kwa kumthamini mwanao umenifanya nizidi kumheshimu na kumpenda mama watoto wangu aliyenizalia my son.
 
ahahahhahaha mi nategeaga mwenzio duh!aka 6 yule na huyu,dogo mpka sa hizi aka 8 hana mdpgp wake lol!natamanije sasa!kikitiki uniandalie baby shower my wee!

Usijali wifi yangu nitakuandalia baby shower na tutakuwa na wadad wote wa humu jamvini nakuombea itiki kwa muda muafaka ukiwa umejiandaa kila eneo.
 
Hongera bibie! Mungu ampe rehema Rainer na awe na upendo kwa mama yake maisha yake yote!!NANI KAMA MAMA!!!

Asante Yegoo nashukuru kwa maombi yako, na iwe hivyo.
Kweli hakuna kama mama.
 
Hongera sana mama Rainer kwa kukuza, fikisha pia Hongera zangu kwa Rainer mwenyewe na babaake. Happy birthday.
 
happy birthday Rainer.
hongera sana dada sakapal
Rainer ana wadogo zake wangapi?

Asante Jeji ntafikisha salamu kwa Rainer, nashukuru kwa pongezi Rainer ana mdogo wake mmoja wa kike.
 
Nilikatwa nikiwa na age ya miaka 7 jumrisha na ubonge niliokuwa nao pamoja na utundu basi ilikuwa balaa kupona ila na wewe pole kwa kumthamini mwanao umenifanya nizidi kumheshimu na kumpenda mama watoto wangu aliyenizalia my son.

Na wa kwangu nilimkata akiwa 7 ingawa baba yake hakupenda, alitaka katwe baada ya balehe; sijui kwanini!
Mine was brave, hakulia nafikiri ni ganzi ilisaidia.
 
Hv wakina mama mnajua sisi wanaume tunaposubiri ninyi kutoka leba huwa tunaumia inawezekana hata zaidi ya ninyi, hongereni sana but sitasahau mke wangu alipoingia huko kila kitu kilisimama mwilini mwangu, nampongeza na baba wa mtoto pia!

Kweli Henge tension hiyo niliiona kwa mume wangu nilipojifungua mtoto wa pili nusura machozi yamtoke kwani nilipata shida kidogo. Asante kwa pongezi.
 
Happy birthday to Rainer na hongera mama Rainer; kwanza kwa kujifungua salama leo saa hizi na pili kwa kuwa na kumbux2 ya jambo lililotokea miaka 14 iliyopita

Asante sana Tamatheo ntafikisha salamu kwa Rainer, nashukuru kwa pongezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom