snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,325
Hv wakina mama mnajua sisi wanaume tunaposubiri ninyi kutoka leba huwa tunaumia inawezekana hata zaidi ya ninyi, hongereni sana but sitasahau mke wangu alipoingia huko kila kitu kilisimama mwilini mwangu, nampongeza na baba wa mtoto pia!
usinichekeshe !
kuna siku nilimpeleka mke mwenzangu hospitali alishikwa na uchungu(mtoto wake wa pili) akiwa home kwangu!
sas tupo hospitali mumewe na mume wangu wakaja!
yeye akawa ameshaingia labor ward!
huku nje mwanaume anahangaika!mpka anatia huruma !tukamuuliza vipi?akasema we acha tu shem UCHUNGU UNAUMA BWANA!
kwa kweli pale nilishindwa kucheka tulicheka sana baada ya mkewe kujifungua!