Siku ambayo sitaisahau maishani

Siku ambayo sitaisahau maishani

Birthday ya ngapi leo? wakati Mzee bado yupo nje au karudi? Ni zawadi gani unapenda mtoto apewe katika Birthday yake Ongeza story ingine kwani mm nakupa Big-Up
Ukwaju leo ni birthday ya 14 wakati najifungua mume wangu alikuwa nje na alirudi Rainer akiwa na miaka 4 sasa hivi yupo huwa namnunulia vitabu vya kusoma anapenda kusoma, so nimetafuta kitabu kizuri cha story asante Ukwaju story ingine hamna kwa leo ni hii tuu
 
Last edited by a moderator:
Hongera sakapal , hongera Rainer pamoja na baba Rainer.

Mie nna wawili, wa pili anafikisha miezi miwili in 3days. Siku nilipojifungua wa kwanza niliona ile ndio siku ya kipekee maishani mwangu na haiwezi jirudia, to my surprise wa pili nae hakuniangusha. Story zisingekuwa ndefu ningeshea.

Anyway hongereni wamama wote maana kuzaa ni shughuli kuliko shughuli nyingine.
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana sakapal n I wish ya son a lovely happy birthday.

Labour nimepita once na nikaishia theatre daaa ingekua ni uwezo wangu hicho kikombe ningekiupuka jamani.. Daa.

Acheni mama aitwe mama.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mbali...wit her mum...dat date, 16th!!!!

Jamani, is it mbali kiasi kwamba huwezi enda waona? sorry kama ntakuwa nimechokonoa mambo ya ndani ila umesafiri? au wao ndo wamesafiri? au hamuishi pamoja? au uko mbali kikazi? a family that stays together, prays together.

What's happens to this date 16th? pls if u dont mind.
 
Hongera sakapal , hongera Rainer pamoja na baba Rainer.

Mie nna wawili, wa pili anafikisha miezi miwili in 3days. Siku nilipojifungua wa kwanza niliona ile ndio siku ya kipekee maishani mwangu na haiwezi jirudia, to my surprise wa pili nae hakuniangusha. Story zisingekuwa ndefu ningeshea.

Anyway hongereni wamama wote maana kuzaa ni shughuli kuliko shughuli nyingine.

asante kwa pongezi hongera nawe kwa kuwa mama wawili.
 
Hongera sana sakapal n I wish ya son a lovely happy birthday.

Labour nimepita once na nikaishia theatre daaa ingekua ni uwezo wangu hicho kikombe ningekiupuka jamani.. Daa.

Acheni mama aitwe mama.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hongera mwaya salamu kwa baby wako, nashukuru pia kwa pongezi. Pamoja sana.
 
Jamani, is it mbali kiasi kwamba huwezi enda waona? sorry kama ntakuwa nimechokonoa mambo ya ndani ila umesafiri? au wao ndo wamesafiri? au hamuishi pamoja? au uko mbali kikazi? a family that stays together, prays together.

What happened on this date 16th? pls if u dont mind.

My baby girl was born April, 16th.

Vingine tuviache tu my dia..stay blessed!!!
 
My baby girl was born April, 16th.

Vingine tuviache tu my dia..stay blessed!!!

(heheheheheheeeee!!!) hiki kicheko kiache hivohivo usikulize maana nimekicheka hivohivo kwenye mabano.
thanks stay blessed too, hi to the lovely queen whose father is Mentor, and who share the same date of birth with my Rainer except month and year, as mine is 14 now.
take care and pamoko best.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom