Sikieni hoja za wazanzibar

Sikieni hoja za wazanzibar

Mkuu wewe lazima utakuwa muhariri wa gazeti la nipashe au umemaliza chuo juzi bado thinking capacity yako is too low kujua mambo ambayo yalokuwepo ndani ya muungano wote na kilicho tokea kwenye hiyo issue ya meli lakini very soon kila kitu kitakuwa sawa na kila mtu atapata anacho kihitaji katika maslahi ya nchi yake
Jamani bangi ya zanzibar imekamatwa katika meli, imeandikwa na the Sun ya UK, Daily Telegraph, Le monde, Le FIgaro, Washngton post, New york times, Al Aharam, India Times, kwanini udogo wa akili yangu uonekane pekee na si dunia nzima?

Hivi waziri kuwakemea waandishi na kukaa kimya kuhusu bangi ni jambo jema? Hata udogo wa akili yangu unagoma kuamini kama ni sahihi. Capacity yangu ipo too low lakini katika hiyo low kuna jambo, chukua hilo jambo acha ile low.

Mbona bandiko hamjibu mumejikita katika hoja taka?
ZMA ni mamlaka kamili ya usafiri baharini. Ni ukweli
ZMA ni taasisi ya SMZ. Ni kweli na ilianzishwa 2006
ZMA inalipiwa ada na JMT wakiwemo wahaya, wamakuwa ,wabondei, wanyakyusa n.k.
ZMA ina wakala Philatec. Ni ukweli
ZMA uinasajili meli za zanzibar. Ni kweli
ZMA ilisajili meli 400 ikiwemo ilikamatwa na tani 30 za bangi. Ni kweli

Waziri wa Miundo mbinu znz amewatukana na kuwananga waandishi wa Tanzania bara na si dunia. Ni kweli
Ameshindwa kulaani zigo la bangi. Ni kweli
Amekiri znz kumiliki meli na kutojua kuhusu bangi. Hatuna uhakika na kauli
Hataki habari za bangi ya znz ziandikwe. NI kweli

Mwakyembe hapaswi kuingilia biashara za Zanzibar. Ni kweli
Hapaswi kutumia kodi zetu kwa chombo kisichotuhusu.Kweli
Amebeba dhamana kubwa kuliko SMZ. Ni kweli
Atoe mamlaka kamili kwa ZMA kushugulikia bangi bila kuingilia shughuli za SMZ. Maoni yetu
Azuie kodi za JMT zisitumike kusajili ZMA inayosajili meli za bangi. Ni kweli

Wenzangu wznz mnanitukana tuu, hamjibu hoja. Mimi sikufunga marobota ya bangi, wala sikusajili meli znz, kwanini niwe na makosa pengine kuliko waziri aliyesimama kidete kulaani uandishi na si bangi?
 
Ukienda Zanzibar utaikuta ikulu kama utakayoiona Bara. utamkuta rais na makamu wake na mawaziri kama ilivyo bara. utaikuta bendera na wimbo wa taifa kama ilivvyo bara!
lakini ikulu, rais, bendera, makamu n.k. wa kule ni wa kwao peke yao wale wa huku ni wa bara na Zanzibar. Muungano gani huu wa magumash? changu chetu chako ni chako peke yako? watu wanaounga mkono haya ni kama wanasinzia na huku wakiweweseka kwa maneno wasiyoyatambua!
 
Kama imekuuma na uha yakini na hicho ulichoandika kuhusu ukupe wa Znz kwa Tanganyika. Kwanini mnazidi kuwang'ang'aniza katika huo Muungano?

Je kuna Siri gani hapo.

Lakin msingi mkubwa ni kupatikana kwa JAMHURU YA NCHI ZA TANZANIA. au kila mtu achukue mbao zake na kulianzisha.

Jukumu leni kusuka au kunyoa.
 
Mkuu Nguruvi3,

Mtoto akifanya kosa la uharibifu wa mali, au trespass yoyote, anayewajibika kushitakiwa na kulipa fidia ni mzazi!.
Vivyo hivyo mke, ambaye ni mama wa nyumbani, akifanya kosa, anayewajibika kulipa faini ni mumewe!.

Zanzibar ni sehemu ya JMT, tumeungana kama mke na mume, yaani Tanganyika na Zanzibar zimeona na kuzaa Tanzania.
Zanzibar ni "mke", mbele ya jicho la kimataifa, na Tanzania ndie "mume", hivyo kosa lolote la kimataifa "mke" huyu atakalotenda, anayewajibika ni "mume".

Kwani OIC ilikuwaje?, acheni tuendelee kuwajibika, Zanzibar ni "mke" wetu, tumempenda wenyewe, lazima tumvumile na kwa vile tunampenda kwa dhati, talaka hatutoi ng'o!.

Mpenda maendeleo yoyote, humsupport mkewe afanye biashara ndogo ndogo za "ubuyu", kuuza "asikirimu" juisi, visheti etc, na fedha zinazotokana na biashara hiyo, hujinunulia kanga, mitandio, wanja, udi, chetezo na nguo za kujisitiri, hivyo kujikuta anakupunguzia wewe matumizi ya kukidhi mahitaji ya nyumbani, na siku nyingine, fedha hizo hutumika hata kununulia vitafunio, mboga au hadi chakula!.

Kwa biashara ndogo ndogo anayoifanya mkeo, hakukuondolei wewe mume, jukumu la kumlisha na kumvisha eti tuu kwa sababu anaingiza kipato!. Mwachieni mke wetu ile faini ni yake, mumu ataendelea kumlipia umeme, kugharimia gharama za safari zake za nje, kugharimia gharama za kuendesha muungano, kuendelea kuwahudumia ndugu wa mke wanaishi nyumbani kwako, kuendelea kuwatafutia kazi mashemeji kama kila kibarua cha wizara ya ulinzi, Afya, mambo ya nje, muungano, mabalozi etc. Hizi ndizo gharama za ndoa, ndizo gharama za kupenda na tunazilipa zote kwa roho kwatu "nyeupe" kwa sababu tumependa!.

Sisi Watanzania tuko wengi wa aina tofauti na dini tofauti, kuna dini za wenzetu wanasema "mke kama hakutaki, mwache aende zake!". Au Mke kama umemchoka, mpe talaka yake!" hivyo wao wanataka "mke huyu" apewe talaka ende zake, kama ataolewa tena ni juu yake!.

Mimi ni Mkristu Mkatoliki, ndo ni mpaka kifo kitutenganishe, hakuna talaka, hakuna kuachana wala kutengana!. Mke hata umchoke vipi, au akuchoke vipi, ndio itaendelea tuu kwa lazima!. Hata kama mapenzi ndani ya nyumba yamekwisha, utavumilia tuu, utaendelea kuubeba msalaba wako hadi mwisho wa safari!.

Muungano wetu ni ndoa ya Kikristo!, hauna talaka!.
Pasco.

Maneno yako yamejaa kejeli!
 
Kama imekuuma na uha yakini na hicho ulichoandika kuhusu ukupe wa Znz kwa Tanganyika. Kwanini mnazidi kuwang'ang'aniza katika huo Muungano?

Je kuna Siri gani hapo.

Lakin msingi mkubwa ni kupatikana kwa JAMHURU YA NCHI ZA TANZANIA. au kila mtu achukue mbao zake na kulianzisha. Jukumu leni kusuka au kunyoa.
Leo umesema jambo, tuvunje jahazi. Sijui kama kuna mbao za kugawana! sina uhakika.

Mbao ndio hizi za ada za siri, sijui kwakweli.

Halafu umekubaliana na hoja zote na kuja na conclusion nzuri sana, hii ni maturity nzuri na pongezi.
Nadhani hata wewe itakuwa imekuuma pengine tofauti na mimi kwa njia fulani.

Wewe unapofikiri taifa lenye asilimia 98 kubainika linashiriki biashara haram ni dhwalili sana. I can see your frustration. Pili, kugundua kuwa mamlaka kamili hayapo pale Mwakyembe anapokuwa na madaraka kuliko SMZ yote inauma, maana nzima ya ZMA inaonekana vurugu tu zisizo na mkakati. Huwezi kukana kisheria uwepo wako ndani ya JMT huku ukiwa umejificha ukilipiwa ada kisiri siri, ukiwa na bendera ya watu kwa kujificha. Inauma nakuelewa kwa hilo.
 
Leo umesema jambo, tuvunje jahazi. Sijui kama kuna mbao za kugawana! sina uhakika.

Mbao ndio hizi za ada za siri, sijui kwakweli.

Halafu umekubaliana na hoja zote na kuja na conclusion nzuri sana, hii ni maturity nzuri na pongezi.
Nadhani hata wewe itakuwa imekuuma pengine tofauti na mimi kwa njia fulani.

Wewe unapofikiri taifa lenye asilimia 98 kubainika linashiriki biashara haram ni dhwalili sana. I can see your frustration. Pili, kugundua kuwa mamlaka kamili hayapo pale Mwakyembe anapokuwa na madaraka kuliko SMZ yote inauma, maana nzima ya ZMA inaonekana vurugu tu zisizo na mkakati. Huwezi kukana kisheria uwepo wako ndani ya JMT huku ukiwa umejificha ukilipiwa ada kisiri siri, ukiwa na bendera ya watu kwa kujificha. Inauma nakuelewa kwa hilo.

Nikuulize suala dogo tu. JE KWANINI UMEAMUA KUUKANA UTAIFA WAKO WA TANGANYIKA NA JINA LA NCHI YAKO TANGANYIKA NA KUJIVIKA UTANZANIA? KWANINI NA NYIE MSIWE TAIFA NDANI YA TANZANIA ILI KUNDA JAMHURU YA MUUNGANO WA TANZANIA? Kuliko ilivyo sasa JAMHURU YA MUUNGANO YA TANZANIA

nIMEKUULIZA HUKO AWALI KUWA JE KWANINI MISAADA MNAYOPEWA HAMGAWANI PASU KWA PASU NA ZNZ?
 
Jamani bangi ya zanzibar imekamatwa katika meli, imeandikwa na the Sun ya UK, Daily Telegraph, Le monde, Le FIgaro, Washngton post, New york times, Al Aharam, India Times, kwanini udogo wa akili yangu uonekane pekee na si dunia nzima?

Hivi waziri kuwakemea waandishi na kukaa kimya kuhusu bangi ni jambo jema? Hata udogo wa akili yangu unagoma kuamini kama ni sahihi. Capacity yangu ipo too low lakini katika hiyo low kuna jambo, chukua hilo jambo acha ile low.

Mbona bandiko hamjibu mumejikita katika hoja taka?
ZMA ni mamlaka kamili ya usafiri baharini. Ni ukweli
ZMA ni taasisi ya SMZ. Ni kweli na ilianzishwa 2006
ZMA inalipiwa ada na JMT wakiwemo wahaya, wamakuwa ,wabondei, wanyakyusa n.k.
ZMA ina wakala Philatec. Ni ukweli
ZMA uinasajili meli za zanzibar. Ni kweli
ZMA ilisajili meli 400 ikiwemo ilikamatwa na tani 30 za bangi. Ni kweli

Waziri wa Miundo mbinu znz amewatukana na kuwananga waandishi wa Tanzania bara na si dunia. Ni kweli
Ameshindwa kulaani zigo la bangi. Ni kweli
Amekiri znz kumiliki meli na kutojua kuhusu bangi. Hatuna uhakika na kauli
Hataki habari za bangi ya znz ziandikwe. NI kweli

Mwakyembe hapaswi kuingilia biashara za Zanzibar. Ni kweli
Hapaswi kutumia kodi zetu kwa chombo kisichotuhusu.Kweli
Amebeba dhamana kubwa kuliko SMZ. Ni kweli
Atoe mamlaka kamili kwa ZMA kushugulikia bangi bila kuingilia shughuli za SMZ. Maoni yetu
Azuie kodi za JMT zisitumike kusajili ZMA inayosajili meli za bangi. Ni kweli

Wenzangu wznz mnanitukana tuu, hamjibu hoja. Mimi sikufunga marobota ya bangi, wala sikusajili meli znz, kwanini niwe na makosa pengine kuliko waziri aliyesimama kidete kulaani uandishi na si bangi?

MELI KUBWA YA TANZANIA ILOKAMATWA IKIWA NA MADAWA YA KULEVYA

Meli iitwayo Gold Star imekamatwa karibu na pwani ya Italy ikiwa na zaidi ya tani 30 za dawa za kulevya ambapo Polisi wa Italy wamesema documents zinaonyesha ilisajiliwa Tanzania.
Taarifa nyingine ya polisi imesema mzigo huo una thamani ya pound millioni 50 ambayo kwa pesa za kitanzania ni kama 126,582,278,481 na meli yenyewe ilikua na timu ya watu tisa ambao wanatoka Egypt na Syria na mzigo wote wameupakia kutoka Uturuki.
Unaambiwa baada ya kuona mchezo wao umefahamika, watu waliokuwemo kwenye meli waliamua kuanza kuichoma moto meli hiyo na wote tisa walijirusha baharini kwa nia ya kutaka kukimbia lakini wakakamatwa mapema tu na kukutwa na hizo dawa za kulevya aina ya hashish ambazo thamani yake inagonga kwenye £50m.
Bandari husika ya Italia walipewa taarifa kwa siri mapema siku kadhaa kwamba meli hii ilikua imebeba tani nyingi za dawa za kulevya hivyo wakawa wanaifatilia kwa siku kadhaa kabla ya kuikamata.
Msemaji wa bandari amesema hawakutegemea kama meli hiyo ingekua imebeba kiasi hicho cha dawa za kulevya na pia hawakutegemea kama watu waliokuwemo ndani yake wangeichoma moto ili kupoteza ushahidi japo zoezi hilo halikufanikiwa na dawa zikaonekana.
Meli hiyo imesogezwa kabisa mpaka kwenye bandari na moto umezimwa huku msako zaidi ukiendelea kwenye sehemu nyingine za meli hiyo ili kuona kama kuna dawa nyingine za kulevya huku watu wote tisa wakiwa wanaendelea kuhojiwa.kuna mzanzibar hapo ?
 
Wake zenu hamuwajui!!!!
We ngojea tu, kitaeleweka tu!
Si tumegundua tindi kali dawa ya ukurutu!!!!!

Mkuu Nguruvi3,

Mtoto akifanya kosa la uharibifu wa mali, au trespass yoyote, anayewajibika kushitakiwa na kulipa fidia ni mzazi!.
Vivyo hivyo mke, ambaye ni mama wa nyumbani, akifanya kosa, anayewajibika kulipa faini ni mumewe!.

Zanzibar ni sehemu ya JMT, tumeungana kama mke na mume, yaani Tanganyika na Zanzibar zimeona na kuzaa Tanzania.
Zanzibar ni "mke", mbele ya jicho la kimataifa, na Tanzania ndie "mume", hivyo kosa lolote la kimataifa "mke" huyu atakalotenda, anayewajibika ni "mume".

Kwani OIC ilikuwaje?, acheni tuendelee kuwajibika, Zanzibar ni "mke" wetu, tumempenda wenyewe, lazima tumvumile na kwa vile tunampenda kwa dhati, talaka hatutoi ng'o!.

Mpenda maendeleo yoyote, humsupport mkewe afanye biashara ndogo ndogo za "ubuyu", kuuza "asikirimu" juisi, visheti etc, na fedha zinazotokana na biashara hiyo, hujinunulia kanga, mitandio, wanja, udi, chetezo na nguo za kujisitiri, hivyo kujikuta anakupunguzia wewe matumizi ya kukidhi mahitaji ya nyumbani, na siku nyingine, fedha hizo hutumika hata kununulia vitafunio, mboga au hadi chakula!.

Kwa biashara ndogo ndogo anayoifanya mkeo, hakukuondolei wewe mume, jukumu la kumlisha na kumvisha eti tuu kwa sababu anaingiza kipato!. Mwachieni mke wetu ile faini ni yake, mumu ataendelea kumlipia umeme, kugharimia gharama za safari zake za nje, kugharimia gharama za kuendesha muungano, kuendelea kuwahudumia ndugu wa mke wanaishi nyumbani kwako, kuendelea kuwatafutia kazi mashemeji kama kila kibarua cha wizara ya ulinzi, Afya, mambo ya nje, muungano, mabalozi etc. Hizi ndizo gharama za ndoa, ndizo gharama za kupenda na tunazilipa zote kwa roho kwatu "nyeupe" kwa sababu tumependa!.

Sisi Watanzania tuko wengi wa aina tofauti na dini tofauti, kuna dini za wenzetu wanasema "mke kama hakutaki, mwache aende zake!". Au Mke kama umemchoka, mpe talaka yake!" hivyo wao wanataka "mke huyu" apewe talaka ende zake, kama ataolewa tena ni juu yake!.

Mimi ni Mkristu Mkatoliki, ndo ni mpaka kifo kitutenganishe, hakuna talaka, hakuna kuachana wala kutengana!. Mke hata umchoke vipi, au akuchoke vipi, ndio itaendelea tuu kwa lazima!. Hata kama mapenzi ndani ya nyumba yamekwisha, utavumilia tuu, utaendelea kuubeba msalaba wako hadi mwisho wa safari!.

Muungano wetu ni ndoa ya Kikristo!, hauna talaka!.
Pasco.
 
MELI KUBWA YA TANZANIA ILOKAMATWA IKIWA NA MADAWA YA KULEVYA

Meli iitwayo Gold Star imekamatwa karibu na pwani ya Italy ikiwa na zaidi ya tani 30 za dawa za kulevya ambapo Polisi wa Italy wamesema documents zinaonyesha ilisajiliwa Tanzania.
Taarifa nyingine ya polisi imesema mzigo huo una thamani ya pound millioni 50 ambayo kwa pesa za kitanzania ni kama 126,582,278,481 na meli yenyewe ilikua na timu ya watu tisa ambao wanatoka Egypt na Syria na mzigo wote wameupakia kutoka Uturuki.
Unaambiwa baada ya kuona mchezo wao umefahamika, watu waliokuwemo kwenye meli waliamua kuanza kuichoma moto meli hiyo na wote tisa walijirusha baharini kwa nia ya kutaka kukimbia lakini wakakamatwa mapema tu na kukutwa na hizo dawa za kulevya aina ya hashish ambazo thamani yake inagonga kwenye £50m.
Bandari husika ya Italia walipewa taarifa kwa siri mapema siku kadhaa kwamba meli hii ilikua imebeba tani nyingi za dawa za kulevya hivyo wakawa wanaifatilia kwa siku kadhaa kabla ya kuikamata.
Msemaji wa bandari amesema hawakutegemea kama meli hiyo ingekua imebeba kiasi hicho cha dawa za kulevya na pia hawakutegemea kama watu waliokuwemo ndani yake wangeichoma moto ili kupoteza ushahidi japo zoezi hilo halikufanikiwa na dawa zikaonekana.
Meli hiyo imesogezwa kabisa mpaka kwenye bandari na moto umezimwa huku msako zaidi ukiendelea kwenye sehemu nyingine za meli hiyo ili kuona kama kuna dawa nyingine za kulevya huku watu wote tisa wakiwa wanaendelea kuhojiwa.kuna mzanzibar hapo ?
Hee ndugu yangu hawa ni wafanyakazi.
Mmiliki wa meli ni zanzibar.

Ukiwa rubani wa Qatar au Emirate wewe humiliki ndege, ni mfanyakazi tu.
Wenye meli ndio watoke watuambie nini kilitokea.

Habari za Polisi kutafuta mzigo zaidi ndani ya meli ya Zanzibar zimeandikwa kumbe!! sasa waziri alipowashukia waandishi wa Habari wa Tanzania bara alikuwa na maana gani. Kuwa mbara basi ni kosa kuandika habari za bangi la Zanzibar!!

Yeye alitakiwa atoke aeleze meli hiyo iliyokuwa na bendera ya znz na iliyosajiliwa na ZMA kwa ushirikiano na Philatex ambayo JMT haijui kimetokea nini.

Hao mabaharia hawakubeba bendera kwa hiari yao, ilikuwa ni lazima waweke bendera. Nani alitoa bendera ni Philatex, kwa kibali cha nani -ZMA, inayowakilisha serikali gani SMZ.

Kuna uhusiano kati ya SMZ na JMT jibu ni ndio, lakini kwa hili la shughuli za majini jibu ni hapana.

Sasa kama unadhani hakuna mznz mbona waziri Mwakyembe ameingilia kati, mbona waziri wa miundo mbinu wa zanzibar amelizungumzia kwa kigugumizi bila kulaani.

Si lazima wawepo wznz kinachoangaliwa ni usajili na mmiliki ambaye ni SMZ. Hili zigo la biashara msilikatae, mtakuja kukataa waziri wenu siku mkijiunga na Oganization of Islamic conference(OIC) kama hali ikitengemaa
 
Jamani bangi ya zanzibar imekamatwa katika meli, imeandikwa na the Sun ya UK, Daily Telegraph, Le monde, Le FIgaro, Washngton post, New york times, Al Aharam, India Times, kwanini udogo wa akili yangu uonekane pekee na si dunia nzima?

Hivi waziri kuwakemea waandishi na kukaa kimya kuhusu bangi ni jambo jema? Hata udogo wa akili yangu unagoma kuamini kama ni sahihi. Capacity yangu ipo too low lakini katika hiyo low kuna jambo, chukua hilo jambo acha ile low.

Mbona bandiko hamjibu mumejikita katika hoja taka?
ZMA ni mamlaka kamili ya usafiri baharini. Ni ukweli
ZMA ni taasisi ya SMZ. Ni kweli na ilianzishwa 2006
ZMA inalipiwa ada na JMT wakiwemo wahaya, wamakuwa ,wabondei, wanyakyusa n.k.
ZMA ina wakala Philatec. Ni ukweli
ZMA uinasajili meli za zanzibar. Ni kweli
ZMA ilisajili meli 400 ikiwemo ilikamatwa na tani 30 za bangi. Ni kweli

Waziri wa Miundo mbinu znz amewatukana na kuwananga waandishi wa Tanzania bara na si dunia. Ni kweli
Ameshindwa kulaani zigo la bangi. Ni kweli
Amekiri znz kumiliki meli na kutojua kuhusu bangi. Hatuna uhakika na kauli
Hataki habari za bangi ya znz ziandikwe. NI kweli

Mwakyembe hapaswi kuingilia biashara za Zanzibar. Ni kweli
Hapaswi kutumia kodi zetu kwa chombo kisichotuhusu.Kweli
Amebeba dhamana kubwa kuliko SMZ. Ni kweli
Atoe mamlaka kamili kwa ZMA kushugulikia bangi bila kuingilia shughuli za SMZ. Maoni yetu
Azuie kodi za JMT zisitumike kusajili ZMA inayosajili meli za bangi. Ni kweli

Wenzangu wznz mnanitukana tuu, hamjibu hoja. Mimi sikufunga marobota ya bangi, wala sikusajili meli znz, kwanini niwe na makosa pengine kuliko waziri aliyesimama kidete kulaani uandishi na si bangi?


Hebu jibu hoja kwenye bandiko langu huko juu au umeridhika na jawabu niliyokupa juu ya maswali yako? Kama uliridhika basi tafadhali anzisha thread nyengine dhidi ya Zanzibar na hii tuiache.
 
Hebu jibu hoja kwenye bandiko langu huko juu au umeridhika na jawabu niliyokupa juu ya maswali yako? Kama uliridhika basi tafadhali anzisha thread nyengine dhidi ya Zanzibar na hii tuiache.
Sikuona mahali pa kujibu kwasababu hoja zako hazina mantiki kwa uchache. Si kila hoja inajibiwa kwasababu nitajibu vipi matusi? Umesema mimi ni mpuuzi sasa hapo nijibu nini. Hata hivyo nakushukuru japo kwa kuandika.

Unaweza kuanzisha thread yako na si lazima nianzishe.
Najua hii nyuzi inawaudhi sana wzn lakini ndiyo habari ya mjini. Ukishaona matusi basi ujue hoja zimegota au kisu kimekula mfupa.

Waziri wa miundo mbinu wa Znz amejitokeza na kusema atalitolea ufafanunuzi suala hili.
Ameona wapi alipokosea, aheri basi kuliko wavurumisha matusi.
Kitu kimoja uelewe, nipo hapa kusimamia ninachokiamini kuwa ni sahihi kwa mtazamo wangu, nitakuambia ninachokusudia si kile unachotaka kusikia.
 
Nikuulize suala dogo tu. JE KWANINI UMEAMUA KUUKANA UTAIFA WAKO WA TANGANYIKA NA JINA LA NCHI YAKO TANGANYIKA NA KUJIVIKA UTANZANIA? KWANINI NA NYIE MSIWE TAIFA NDANI YA TANZANIA ILI KUNDA JAMHURU YA MUUNGANO WA TANZANIA? Kuliko ilivyo sasa JAMHURU YA MUUNGANO YA TANZANIA
nIMEKUULIZA HUKO AWALI KUWA JE KWANINI MISAADA MNAYOPEWA HAMGAWANI PASU KWA PASU NA ZNZ?
Kwanza kabisa napenda kukueleza kuwa wewe hujui unasema nini. Nina sababu za kusema hivyo.

Katika nyuzi yako uliyoifuta(editing) ulisema kuwa haiwezekani watu milioni 1.5 kuchangia ulinzi na usalama sawa.(Kuna rekodi) nikakuuliza maswali haya ambayo hukuweza kujibu hata moja.

Nguruvi3" Unaposema watu milioni 1.5 hawawezi kuchangia sawa na watu milioni 41, nakubalina nawe. Lakini basi si wazanzibar wanataka usawa kama nchi mbili huru zilizoungana?

1. Wamepewa wajumbe wa tume sawa na Taganyika, vipi watu 1.5 wapewe uwakilishi sawa na watu milioni 41
2. Wanadai bunge la katiba liwa na wajumbe sawa kwasababu ni nchi mbili huru.
Vipi watu 1.5 wawe sawa na 41 Milioni katika bunge la katiba

3. Wanataka kugawana sawa misaa, vipi watu 1.5 wapewe usawa na watu milioni 41. Je si unyonyaji huo?
4. Wanataka mgawanyo wa madaraka sawa, vipi watu 1.5 wapewe nafasi sawa na milioni 41?

Jambo la kushangaza unauliza swali lile lile ulilolitetea kuwa znz haiwezi kuchangia sawa ulinzi na usalama kutokana na idadi ya watu baada ya kukupa data za uhaki.
Kwa manufaa ya wanajamvi naomba kurejea baadhi ya hoja.

Bajeti ya znz ya 2013 ni bilioni 700. Bajeti ya ulinzi na usalama ni 1.5Trilioni takribani.
Kama tutachangia sawa znz haitabaki hata na senti tano ya kununua urojo.

Tangu mwaka 1964 znz haijui gharama za ulinzi na usalama, nje ya muungano hilo linawatisha sana kwasababu katika bilioni 700 theluthi moja itakuwa ulinzi na usalama. Mapato tu halali haywezi kukidhi shughuli za ulinzi na usalama. Hizi si zama za utumwa au karafuu, uchumi wa znz tunajua upo katika hali gani

Kwa kuzingatia kuwa mapato ya znz kwa mwezi ni bilioni 20, kwa mwaka ni bilioni 240. Pengo la bilioni 400 linazibwa na pesa za JMT.

Znz inaata 7% ya pato la taifa kwa sasa na 4.5% ya misaada. Kwa maneno mengine tayari wanafungu la misaada.
Lakini pia wanapata fungu la elimu ya juu ambalo halina kurudishwa.
Wanapata huduma nyingine za kijamii kama ajira ambazo hazina thamani kifedha.
Wanapata umeme wa bure kwa kodi za watu wa Mkuranga
Wanapata pesa zisizo na auditing kama bilioni 32 zilizotengwa mwaka huu
Wanalipiwa wabunge na Wawakilishi kutoka BLW
Hawana gharama yoyote ya muungano ikiwa ni pamoja na ving'ora vya mzee wa mkataba.
Wanapat ulinzi na usalama ambao hawana mchango hata senti tano.
Mishahara ya SMZ inatoka hazina, muulizeni Amour na Karume kwa uhakika

Sasa mtu anapodai usawa wa misaada, nadhani mnaweza kuona uwezo wa kufikiri au kupambanua mambo.
Wakati mtu huyo akitaka msaada pasu, anasahau kuwa mchango wake ni sifuri katika kuendesha JMT.

Lakini akili ya mchumi Barubaru si kutumia rasilimali kujiendeleza ipo katika misaada. Please! elimu yako hairuhusu kiwango hicho. Wewe ni mchumi usitutie hofu zaidi ya tulio nayo juu yako.
 
Hoja iliyopo ni jinsi waziri wa SMZ anvayoweza kuita waandishi na kuwalaani huku akishindwa kulaani tatizo la bangi iliyochafua JMT ambayo haihusiki na bangi hiyo ya Zanzibar.
Haya ndiyo tunajadili kwasababu unafiki wa waznz sasa upo wazi. Wizi kwa kutumia mamlaka kamili upo wazi.

Hoja ni bangi ya zanzibar si misaada au rasimu ya katiba. Hatuwezi kuficha uvundo huu kama alivyofanya mheshimiwa waziri wa miundo mbinu wa znz. Bangi ni sehehmu ya mihadarati na haiwezi kuetetewa kwa lugha yoyote.

Bangi ni tatizo na lazima tushirikiane kukabiliana nalo na lisiwe sehemu ya biashara. Tunaweza kufanya biashara za utalii na bidhaa halali na nchi ikaendelea. Bangi ya zna imedhalilisha taifa
 
Wake zenu hamuwajui!!!!
We ngojea tu, kitaeleweka tu!
Si tumegundua tindi kali dawa ya ukurutu!!!!!
Hi la tindikali! duh!. Pia najua wale waalimu wa Ali Kaeda waliisha watreni vijana!, mnasubiri tuu muda ili ikishindikana kupata mnachokitaka, mlianzishe!, endeleeni na upuuzi wenu, tumeisha wavumilia sana!, ila uvumilivu nao una mwisho!, tunaweza kuamua sio tuu kuwapatia mnachokitaka, bali hata "kuvizamisha jumla" hivyo visiwa, na kumbukumbu tuihifadhi kwenye kinibu!.
Nyie haya...endeleeni!, tusijelaumiana mbele ya safari!.
Pasco.
 
Hi la tindikali! duh!. Pia najua wale waalimu wa Ali Kaeda waliisha watreni vijana!, mnasubiri tuu muda ili ikishindikana kupata mnachokitaka, mlianzishe!, endeleeni na upuuzi wenu, tumeisha wavumilia sana!, ila uvumilivu nao una mwisho!, tunaweza kuamua sio tuu kuwapatia mnachokitaka, bali hata "kuvizamisha jumla" hivyo visiwa, na kumbukumbu tuihifadhi kwenye kinibu!.
Nyie haya...endeleeni!, tusijelaumiana mbele ya safari!.
Pasco.

Unajui mkuu yule niliyem-quote anadharau sana!
Embu rudia ile post!
Sasa watu kama wale tindi kali si zinawafaa!!!?
 
Back
Top Bottom