Walipomwagiwa tindikali waingereza nchi zote duniani ziliandika Zanzibar. Huo ni ukweli kwasababu katika katiba ya znz hakuna kitu kilichotajwa zaidi ya znz.Mzee mwanakijiji.hapo nakukosa kidoogo wazanzibati na watanganyika sio watanzania.la pili wazanzibari washazoea kupakwa matope na serekali ya tanganyika.nakupa mfano: kulitokea uhalifu wa makanisa znz.waziri wa ulinzi alikuja moja kwa moja znz na akatangaza kwamba kuna ugaidi znz mbele ya waandishi wa habari ila sasa palipotokea kuripuliwa arusha kule hatujamsikia kusema kuna ugaidi tanganyika.swali langu kwann. Yupo tayari kuwapaka matope wazanzibar ila watanganyika yanayotokea anabana mdomo.jeee haki hii kwelii kwa kuwaharibia jina la wazanzibar ili watali wasije ndio maana yake.mana znz kikubwa wanategemea kipato cha watalii.so amesema vile ili kuwaharibia.inasikitisha sanaa😕
Ndugu yangu Nguruvi3, hawa ndugu zetu kuliko kubishana nao heri ubishane na meza! "Mtuache tupumue", ndicho kilio chao huku wametukumbatia kama kupe anavyomganda ng'ombe! Kupe anao uhuru kabisa wa kujiondokea wakati wowote lakini je, huo mlo wa siku utoke wapi? Wakati kamganda ng'ombe kupe hana wasiwasi wa kula, hana wasiwasi wa kuhangaika juani na hana wasi wasi na usalama wake!
Katiba wanayo, Raisi wanaye, bunge wanalo, bendera wanayo na wimbo wa taifa wanao halafu bado wana jeuri ya kudai eti waachiwe wapumue. Ni kama mtu kudai katekwa na kufungiwa huku yuko huru na milango na geti zote ziko wazi...ni kiasi tu cha kuaga lakini wapi! Waache vinono vya bara, thubutu! Hakuna hukumu mbaya kwa kupe kama ile inayotia kufuli milango ya ghala walikozoea kupata lishe bora bila bughdha.
Mr nguruvi.ni kweli maneno yako tuachieni tupumuweeeeeeeee jamaniii.mshatutaguna sanaaaaa.fedha zetu mshakula sanaaaaa.lkn nashangaaaa bado mnataka muungano.mnalazimisha muungano kwasabau mtakosa mnachokipata kwetu. Hatutakiii jamaniiii tuacheni tupumuweeeeee
Hakika mimi nipo katika rekodi ya kuunga mkono harakati za znz kujikomboa. Nimewahi kuwahsuri mara nyingi sana. Tatizo ni wzn kuwa waoga na sijui wanaogopa nini. Znz inaweza kuwa kama Luxembourg, Mauritius, Dubai n.k. Znz inaweza kuwa na neema kama ile ya nyakati za sultan na utumwa.
Znz inawekana nje ya muungano, hakuna anayeweza kuifuta historia yake na znz itasimama yenyewe.
Huu upuuzi wa muungano wa mkataba au serikali 3 haupaswi kupigiwa upatu na mzanzibar mwenye akili.
Kinachotakiwa n kufanya haya
1. Kususia tume ya Warioba na kuzuia wajumbe wake au kujitoa
2. Kususia bunge la katiba
3. Kumrudisha makamu wa rais aliyepatikana kwa uzanzibar wake
4. Kuzuia wabunge wasije Dodoma
5. Kujadili kujitoa ndani ya BLW kama ilivyokuwa kwa mafuta na gesi, baraza la mitihani na ZMA n.k
6. Kuwarudisha wafanyakazi wote wa SMZ kutoka bara
7. Kuzuia wanafunzi kuchukua mikopo ya bara na kuja kusoma huku bara
8. Kuwashawishi wafanyabiashara kuondoka na kurudi kuwekeza znz
9. Kunzisha balozi zao kama walivyoanzisha wakala wa Philatex
Hadi hapo muungano utakuwa umekufa na harakati za kuiokomboa znz zitakuwa zimetimia.
Kama hawaweza kutumia fursa hiyo wakabaki na upuuzi wa mkataba ambao mzee amekwama nao chumbe, wakaleta hoja za kugawana vyeo bila gharama na kudai kisicho chao basi wajiandae kuwa chini ya kivuli mwanana cha Tanganyika kama mkoa. Hakuna njia ya mkato ni ima kunyoa au kusuka, ukombozi utabaki kuwa ndoto na simuliz mwanana. period.
Walipomwagiwa tindikali waingereza nchi zote duniani ziliandika Zanzibar. Huo ni ukweli kwasababu katika katiba ya znz hakuna kitu kilichotajwa zaidi ya znz.
Padre alipouawa hiyo ikawa issue Dunia nzima bila waziri kusema lolote. Sijui kwanini usilaumu BBC na CNN
Juzi kamwagiwa tindikali padre mwingine, sijui ulitaka nani aseme au watu waseme kanyeshewa na mvua.
Sikiliza sifa ya znz inajengwa na kuharibiwa na wazanzibar wenyewe. Mzigo wa bangi umekutwa katika meli iliyosajiliwa znz na ZMA na SMZ. Yameandika mazeti yote duniani, je huoni kama doa kubwa kuliko kauli ya waziri mmoja.
Mwisho, lazima utambue kuwa kosa halifutwi na kosa. Kama waziri angesema Arusha kuna ugaidi hilo halizuii mtalii kubaini kuwa kuna kumwagiwa tindikali, kuchomwa moto(niulize) n.k.
Kama unadhani Tanganyika ndio tatizo basi endeleeni kumwagia watu tindikali ili muweze kuwa sawa na Tanganyika.
Ni kweli kabisa unayoyasema mkuu Nguruvi anajitoa ufahamu amesahau bangi iliyokamatwaBangi, madawa ya kulevya (nyunga), tindikali na mabalaa yote hayo chanzo chake ni Tanganyika...mzigo wa bangi ulitokea Tanaganyika. Au ilaumiwe meli bila ya kuwataja waliouza na kununua na kupakia kwenye hiyo meli. Sasa kama bangi inasafirishwa katika magari ya polisi huko Tanganyika ,leo hii tuone ajabu meli kupakia tani 30 za bangi kutoka Tanganyika?
mr nguruvi.ni kweli maneno yako tuachieni tupumuweeeeeeeee jamaniii.mshatutaguna sanaaaaa.fedha zetu mshakula sanaaaaa.lkn nashangaaaa bado mnataka muungano.mnalazimisha muungano kwasabau mtakosa mnachokipata kwetu. Hatutakiii jamaniiii tuacheni tupumuweeeeee
Nikuulize suala dogo tu. JE KWANINI UMEAMUA KUUKANA UTAIFA WAKO WA TANGANYIKA NA JINA LA NCHI YAKO TANGANYIKA NA KUJIVIKA UTANZANIA? KWANINI NA NYIE MSIWE TAIFA NDANI YA TANZANIA ILI KUNDA JAMHURU YA MUUNGANO WA TANZANIA? Kuliko ilivyo sasa JAMHURU YA MUUNGANO YA TANZANIA
nIMEKUULIZA HUKO AWALI KUWA JE KWANINI MISAADA MNAYOPEWA HAMGAWANI PASU KWA PASU NA ZNZ?
Hawa wezi labda wailete huku JFSi muilete hiyo tanganyika ndipo muropokwe.
...Mr Nguruvi nadhani itakua bora zenj wakawa full members wa IMO hata ikibidi JMT iwape msaada wapate status hiyo. Itaepusha matatizo mengi.
Mkuu BARUBARU, haiwezi kugawanywa kwa usawa kwn hugawanywa kutokana na uwiano sawa wa watu lakini pia hata kwny actle kumeeleza hvyo nadhani hoja ya msingi hapa hebu tujitengenezee tanganyika yetu na tuwaachie zbr yao kwn ht haya mambo ya bangi yangekuwa ya kwao. na cyo hayo tu kwn wanapewa misaada toka falme za kiarabu ila cyo kupitia bank na ndo maana inakuwa cyo rahisi BOT kujua.
Mkuu, hata ndoa ya kikatoliki kifo cha kiroho(dhambi) talaka ruksa!!Mkuu Nguruvi3, Mtoto akifanya kosa la uharibifu wa mali, au trespass yoyote, anayewajibika kushitakiwa na kulipa fidia ni mzazi!.Vivyo hivyo mke, ambaye ni mama wa nyumbani, akifanya kosa, anayewajibika kulipa faini ni mumewe!.Zanzibar ni sehemu ya JMT, tumeungana kama mke na mume, yaani Tanganyika na Zanzibar zimeona na kuzaa Tanzania. Zanzibar ni "mke", mbele ya jicho la kimataifa, na Tanzania ndie "mume", hivyo kosa lolote la kimataifa "mke" huyu atakalotenda, anayewajibika ni "mume".Kwani OIC ilikuwaje?, acheni tuendelee kuwajibika, Zanzibar ni "mke" wetu, tumempenda wenyewe, lazima tumvumile na kwa vile tunampenda kwa dhati, talaka hatutoi ng'o!.Mpenda maendeleo yoyote, humsupport mkewe afanye biashara ndogo ndogo za "ubuyu", kuuza "asikirimu" juisi, visheti etc, na fedha zinazotokana na biashara hiyo, hujinunulia kanga, mitandio, wanja, udi, chetezo na nguo za kujisitiri, hivyo kujikuta anakupunguzia wewe matumizi ya kukidhi mahitaji ya nyumbani, na siku nyingine, fedha hizo hutumika hata kununulia vitafunio, mboga au hadi chakula!.Kwa biashara ndogo ndogo anayoifanya mkeo, hakukuondolei wewe mume, jukumu la kumlisha na kumvisha eti tuu kwa sababu anaingiza kipato!. Mwachieni mke wetu ile faini ni yake, mumu ataendelea kumlipia umeme, kugharimia gharama za safari zake za nje, kugharimia gharama za kuendesha muungano, kuendelea kuwahudumia ndugu wa mke wanaishi nyumbani kwako, kuendelea kuwatafutia kazi mashemeji kama kila kibarua cha wizara ya ulinzi, Afya, mambo ya nje, muungano, mabalozi etc. Hizi ndizo gharama za ndoa, ndizo gharama za kupenda na tunazilipa zote kwa roho kwatu "nyeupe" kwa sababu tumependa!.Sisi Watanzania tuko wengi wa aina tofauti na dini tofauti, kuna dini za wenzetu wanasema "mke kama hakutaki, mwache aende zake!". Au Mke kama umemchoka, mpe talaka yake!" hivyo wao wanataka "mke huyu" apewe talaka ende zake, kama ataolewa tena ni juu yake!.Mimi ni Mkristu Mkatoliki, ndo ni mpaka kifo kitutenganishe, hakuna talaka, hakuna kuachana wala kutengana!. Mke hata umchoke vipi, au akuchoke vipi, ndio itaendelea tuu kwa lazima!. Hata kama mapenzi ndani ya nyumba yamekwisha, utavumilia tuu, utaendelea kuubeba msalaba wako hadi mwisho wa safari!.Muungano wetu ni ndoa ya Kikristo!, hauna talaka!.Pasco.
Hii haiondoi ukweli kuhusu bangi iliyosafirishwa na SMZ kupitia ZMA na Philatex.Ni kweli kabisa unayoyasema mkuu Nguruvi anajitoa ufahamu amesahau bangi iliyokamatwa
kwenye gari la polisi amesahau mfanyabiashara maarufu mwenye Home shopping center alivyo
mwagiwa tindikali au na hiyo ilikuwa ni Zanzibar Nguruvi fanya fear kwa wazanzibar.
Hii haiondoi ukweli kuhusu bangi iliyosafirishwa na SMZ kupitia ZMA na Philatex.
Tanganyika haisajili meli za ZNZ na wala haikujua kuna meli 400.
Tanganyika imekuwa inakamuliwa tu kulipia IMO kwa mzigo wa biashara wa bangi kutoka znz
Wewe na Takashi pamoja na waziri wenu hamna tofauti katika hoja zenu. Mnadhani bangi ikikantwa Dar basi linaiondoa znz katika kashfa hii!! hii ni kashfa ya kimataifa si ya mtaa.
Kitu cha muhimu sana ni ninyi kukumbuka kuwa znz inataka kushiriki OIC ambayo ni shirika la kiislam.
Je usafirishaji wa bangi unaipa nafasi gani katika hilo.
Pili, je hakuna unafiki kwa kusema asilimia 98 ya wananchi ni waislam huku kukiwa na biashara ya bangi? Hapo mnaitendea dini haki kweli. Niambieni taifa la kiislam linalojishughulisha na usambazaji wa bangi duniani, nitajieni taifa moja tu!
cc takashi GHIBUU Nonda
Mgao wa madeni ukoje?Ukijibu hili nitaendelea. Kama huongelei madeni ka kimya.Nilikwambia wewe unataka mgawo sawa kwa sawa kuchangia muungano je na misaada na mikopo mnagawa sawasawa?