Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

Sikia maajabu haya ya Mwalimu wa shule ya Kata

ukajuaje kamaliza udsm? Kaajiriwa hivi karibuni kivip na ajira bado hazijatoka? Kasome hata open upunguze chuki
 
isome hiyo sentensi yako mara mbilimbili..then jaribu kuuliza watu wawili watatu then naomba kesho uje unipe majibu kama hiyo sentensi iko sawa...
i can assure you..bora hata huyo mwalimu uliyemuanzishia thread ya kejeli humu..
TUNATOA BORITI KWA WENZETU...

sasa hapo kosa liko wapi? wewe niambie nimekosea wapi katika sentenso hiyo, mbona unakuwa muoga hadi unatafuta support ya watu wengine?
 
Wakifundisha kiswahili wanaonekana kama wanaongea kichina, kiingereza ndio kabisa, mi naona saivi tuanze kutumia kila sehemu na kilugha chake labda haya ya maajabu ya mleta mada yatakwisha. Kuna vitu vya kushangaa na kuwa maajabu sio hiki. mleta mada HUNA AKILI. Unaacha kushangaa kwanini Serikali ya SISIHEMU imeleta ugumu wa maisha we unashangaa yasiyokuhusu. SHENZI KABISA.

mkuu, kwani umesahau kwamba haya maajabu yamesababishwa na CCM kwa kuanzisha hizi shule za kipuuzi zinazoitwa SHULE ZA KATA?
 
Last edited by a moderator:
ulijuaje kamaliza udsm wakti ulikua unapita???

mkuu sikuwa napita ila niliendapo na sio mara yangu ya kwanza kuwepo shuleni hapo. Nawafahamu fika walimu wote wanaosomesha kwenye shule hii. Nawe umesoma ud ama?
 
Upuuzi mtupu, kwani yeye alikuwa anasoma kingereza UDSM? Hata hicho kiswahili chenyewe huwa tunakosea...! grammar ni tatizo dogo katika lugha, hasa kwa lugha ngeni. Acha porojo....! Wewe ukikutana na native english speaker utaonekana unaongea utoko pia. Just different level of fluency (usinikosoe na mimi, mwenzio nimejitahidi hapo).

hahahaha! kwa hiyo unamtetea kwamba hajakosea ama?

ninachotaka kusema ni kwamba kiingereza kama hicho alichoongea huyo mwenzako kikiongewa na mwalimu wa UPE, certificate au diploma itakuwa sio taabu sana. shida ni pale msomi wa levo ya digrii anaposhindwa kunyoosha kiingereza rahisi kama hicho!!

wala tatizo sio kukosea kwa kuwa kila mtu anakosea ila kwa kiingereza kibovu kama hiki, ni dhahiri kwamba kiwango cha uelewa wa mwalimu huyu ni kidogo sana.

kwa mfano, mwalimu wa chekechea akishindwa kutafuta thamani ya y katika mlinganyo huu sio tatizo:

2y + 5 = 15

ila mwalimu wa sekondari hata kama hakusoma hesabu akishindwa , ni SHIDA!!

umeona eeh?
 
Sijawahi ona uzi dhaifu kama huu tangu nijiunge JF zaidi ya miaka 6 iliyopita, hivi uwezo wa kutafakari mambo umekuwa chini kiasi hiki? yani mtu kukosea sentensi fupi kama hiyo inakuwa mada? How could you draw conclusion about UDSM graduates kwa hiyo small grammatical error? Hapo mtu kakosea lugha ngeni, je akikosea kiswahili si itakuwa breaking news? Hili nalo janga

mkuu, tatizo sio kukosea SMALL GRAMMATICAL ERROR bali ninachoangalia ni aina ya kosa na limefanywa na mtu mwenye kiwango gani cha elimu. tusifichane...mwongeaje huyu inaonekana kiingereza chake ni kidogo sana ukilinganisha na levo ya elimu aliyofikia. kosa hili lingefanywa na mwalimu wa shule ya msingi isingekuwa taabu ila linapofanywa na mhitimu wa chuo kikuu, inaashiria kwamba kuna tatizo.
 
Niliwahi kumsikia mwingine akifundisha F2 geography akasema hivi: the earth rotate in its own axis. It go, it go, it stops. Wakati anasema hivyo na yeye anajizungusha.

Hhahahahah watu mna vituko so funny
 
Huyo mwalim amekosea sana 'where it is located? ndo sahihi sisi tuliosoma HE hutudanganyi kwenye tenses. Kosa lake hapo hapo ni kuchomeka 'does.... afu akamalizia ...located'.
...is located..(right)
eg. Mbeya region is located in Southern Tanzania.
...does located...(wrong)
...does locate...(right)
eg. the compass does locate north.
 
nikisema ; ( I m comming tommorrow ) nitakuwa nimekosea ? ninyi ndo mlofundishwa kuwa kuna three types of tenses

Hahahah wewe utakua hiyo Safari umeshaanza na unatarajia kufika huko kesho...

Kizungu kizungu zungu
 
Huyo mwalim amekosea sana 'where it is located? ndo sahihi sisi tuliosoma HE hutudanganyi kwenye tenses. Kosa lake hapo hapo ni kuchomeka 'does.... afu akamalizia ...located'.
...is located..(right)
eg. Mbeya region is located in Southern Tanzania.
...does located...(wrong)
...does locate...(right)
eg. the compass does locate north.

asante sana mkuu. afadhali umekuja unisaidie maana kuna watu wanatetea makosa, matokeo yake watoto wetu wanaendelea kulishwa sumu kila siku kwenye hizi shule za kipuuzi za kata.
 
Kebehi kwenye lugha sidhani kama ni sahihi, uelewa wa mada husika ni jambo la msingi..... je alichofundisha aliwalisha watoto matango mwitu? Kama hapana ama ndio tuanzie hapo sasa kutafuta suluhisho.
Mara nyingi ktk ufundishaji inafika mahala unabadilika na kuwa kama wao ili wakuelewe...ni mfano mdogo, MTOTO MDOGO UKITAKA KUMPA MAJI YA KUNYWA UNAMUITA....KISHA UNAMBEMELEZA ANYWE "MMA" pale kinachoangaliwa si usahihi wa lugha bali uelewaji na urahisi wa kufikisha ujumbe kwa hadhira
 
Unamaanisha kuwa ndo UBUNIFU wenu ili watoto wetu waelewe??? YAANI! Mnafanya kusudi sio!!!??? HATAREEE.
 
Kebehi kwenye lugha sidhani kama ni sahihi, uelewa wa mada husika ni jambo la msingi..... je alichofundisha aliwalisha watoto matango mwitu? Kama hapana ama ndio tuanzie hapo sasa kutafuta suluhisho.
Mara nyingi ktk ufundishaji inafika mahala unabadilika na kuwa kama wao ili wakuelewe...ni mfano mdogo, MTOTO MDOGO UKITAKA KUMPA MAJI YA KUNYWA UNAMUITA....KISHA UNAMBEMELEZA ANYWE "MMA" pale kinachoangaliwa si usahihi wa lugha bali uelewaji na urahisi wa kufikisha ujumbe kwa hadhira

hahahaha! hii staili yako kali sana mkuu. ila unapowafundisha wanafunzi wa form one inabidi utamke maneno sahihi wasije wakakariri vibaya.

kwa mfano, kipindi nikisoma shule ya msingi mwalimu wetu wa english alituambia kwamba neno knife linatamkwa KINIFE badala ya NAIFU. nami nimekariri hivyohivyo hadi nilipokuja kusahihishwa nikiwa sekondari. unaona jinsi mwalimu anavyoweza kuwakaririsha wanafunzi makosa na wao kuyameza kama yalivyo?
 
Usihukumu watu kirahisi hivyo kwani wapo wanaojua kiingereza lakini hawajui geography wala mathematics, speaking good English doesn't mean you know everything, and speaking poor English doesn't mean that you know nothing
 
Usihukumu watu kirahisi hivyo kwani wapo wanaojua kiingereza lakini hawajui geography wala mathematics, speaking good English doesn't mean you know everything, and speaking poor English doesn't mean that you know nothing

kushindwa kuongea kiingereza kirahisi kama hiki kwa msomi wa chuo kikuu ni TATIZO. sasa wanafunzi wake wataiga nini kutoka kwake? wataiga makosa?
 
Shit, naweza sema hakuna kosa tu hapo, acha kukariri bana, hicho ni kitu kidogo sana ni sawa na wewe unavyokosea kiswahili kila siku, hata hao wazungu wenyewe kila siku wanaongea makosa tu, tena sentensi kama hiyo nilishawahi kukutana nayo ktk email ya client wangu fulani. Angalia hizi sentensi;

1. Am looking forward for your quick response
2. Am looking forward to your quick response

Hii kitu maofisi mengi hadi wazungu wenyewe wanaandika hovyohovyo tu, nashuhudia ktk emails za wageni wengi sana kutoka mataifa mbalimbali, unachukulia tu simple hivi ni vitu vidogo vidogo sana katika lugha ambavyo hata huwezi kuvitilia maanani na kujaji kihivyo. Full chachandu tu, ila yasiwe yale makubwa hadi kubadili maana, pia isizidi sana ndani ya mistari 2 uwe na michapio kwa 98% nop.
 
Huyu mtoa mada atakuwa na undungu na waziri fulani ambaye alikuwa anatumia milioni 10 kununua mchicha na matembele.
 
Back
Top Bottom