Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Kuwa mwalimu haimaanishi kuwa hutofanya mistake wakati wa kuelezea kitu, walimu wa Uganda wenyewe wameaibika kwa kufeli kwa kiasi kikubwa mtihani waliopewa na baraza la mitihani la nchi hiyo.