Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Yaani hapa hata sijielewi,wacha nikuume sikio basi,
mwenzio nikajua ndo nishapendwa hivyo...
Una nguvu weye au unabeep, mwenye mali hayupo mbali hapa jukwaani ngoja aje uone vurugu zake.
Kwa kuchochea tu, Erickb52 njoo uone St. Paka Mweusi anavyotaka kufanya. Hebu fikisha salamu kwa Asprin kabla mambo hayajawa mabaya, like tu anadhani kapendwa.
Last edited by a moderator: