Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,035
- 23,881
Kwa sasa anashughulikia zaidi afya yake kujua inakwendaje kisha atakuja kusema yote mbele ya safari yaliyomtokea
Hivi mnachotaka hasa akiseme ni kitu gani enyi watz tuache unafiki.. Kama kuzungumza alishazungumza kila kitu mara tu baada ya kuokotwa mabwepande.
Ukichalia maelezo yake.. Saed kubenea wa mwanahalisi alishamwaga kila kitu hadi jina hadi namba ya simu ya muhusika pamoja na nyendo zake. Sasa mnachokitaka kipya kwa dr ulimboka nini hasa