Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,727
Embu jaribu kujitolea wewe, halafu usituangushe. Hehehe!tunachohitaj kusikia kutoka kwake anakifaham ila hatakisema yaleyale ya mwakyembe, hawa wajomba zangu wananiangusha sana
Embu jaribu kujitolea wewe, halafu usituangushe. Hehehe!tunachohitaj kusikia kutoka kwake anakifaham ila hatakisema yaleyale ya mwakyembe, hawa wajomba zangu wananiangusha sana
Huku hakuna umeme kyanzia saa 8:00 am mpaka sasa hivi..
tunachohitaj kusikia kutoka kwake anakifaham ila hatakisema yaleyale ya mwakyembe, hawa wajomba zangu wananiangusha sana
tunachohitaj kusikia kutoka kwake anakifaham ila hatakisema yaleyale ya mwakyembe, hawa wajomba zangu wananiangusha sana
jaribuni kama mtaweza!unajua waliomteka ulimboka wako wapi kwa sasa?Na atulie hivyo hivyo asije katwa na midomo na ulimi sasa akashindwa hata kudai alichokuwa anafanya
jaribuni kama mtaweza!unajua waliomteka ulimboka wako wapi kwa sasa?
Unadhani watu wakisoma watacheka, kumbe wanakuona zuzuUsifanye mchezo na koleo wewe! Naskia jamaa sasa hivi akiona koleo tu anakimbia! Hata nyumbani anako ishi koleo ameipiga marufuku kuonekana! Ikitokea ameiona bahati mbaya halali nyumbani..
hiyo ndio story kwa mwananchi wa kawaida kama wewe.Wametulia pale Ada Estate kwenye jumba lao la 'shughuli' karibu na Bakurutu Bar wala hawana wasiwasi
jaribuni kama mtaweza!unajua waliomteka ulimboka wako wapi kwa sasa?
ukisoma haya maoni yanayotolewa na watanzania ... ndo utajua kweli wa tanzania wengi bado sana kujikwamua kiakili... akili zao hazina tofauti na za mbuzi.... tunasafari ndefu......... mind civilization almost zero..... nchi ya laana hii sijuiwapo kula bata, hamna lolote lililofanyika juu yao.!
Watu kusema rahisi oh! Aseme ww acha unafiki wetu ungekuwa wewe ungesemaa? Mtu kapona mwacheni amalizie miaka yake iliyobakia Tanzania ataiweza nani bwana. Nyerere kaishindwa nani ataiweza wewe?
hiyo ndio story kwa mwananchi wa kawaida kama wewe.
Kwa sisi great thinkers tuna taarifa zaidi ya hiyo.
Usifanye mchezo na koleo wewe! Naskia jamaa sasa hivi akiona koleo tu anakimbia! Hata nyumbani anako ishi koleo ameipiga marufuku kuonekana! Ikitokea ameiona bahati mbaya halali nyumbani..
amekuwa ndaza kwa sasa
Usifanye mchezo na koleo wewe! Naskia jamaa sasa hivi akiona koleo tu anakimbia! Hata nyumbani anako ishi koleo ameipiga marufuku kuonekana! Ikitokea ameiona bahati mbaya halali nyumbani..