Sijazibwa Mdomo - Dr Ulimboka

Sijazibwa Mdomo - Dr Ulimboka

Mimi ninaomba 2 nimulize swali huyu jamaa ulimboka,anavyokaa kimya kwenye jambo alilofanyiwa kiukweli anafikilia watanzania 2muelewe vipi huyu mtu jamani,ulimboka kaka yangu funguka kwa kweli 2talea ujinga wa hii nchi mpaka lini yani mi uwa naumia sana about ujinga wa hii nchi.

akishafunguka then what? Mpate stori mpya za vijiwen, mbna kubenea alishafunguka mlifanya nn? Watz unafiki unatusumbua na ccm watatuchezea akili hadi mwisho wa dunia
 
mkuu ntamaholo, he was working in private sector(ngo) at salary of 2500usd..aliacha public/g'ment hospitals kitambo, lakini haikuwa na maana kwamva alkuwa hajui yaliyoko huko.

around 3,000,000 kwa mwezi swa na 36,000,000 kwa mwaka. Si anaendelea hapo bado au nako amequit?
 
Usifanye mchezo na koleo wewe! Naskia jamaa sasa hivi akiona koleo tu anakimbia! Hata nyumbani anako ishi koleo ameipiga marufuku kuonekana! Ikitokea ameiona bahati mbaya halali nyumbani..

Eti nimesikia kile kibano alichopata kimefanya hata kule chini hakufanyi kazi
 
akishafunguka then what? Mpate stori mpya za vijiwen, mbna kubenea alishafunguka mlifanya nn? Watz unafiki unatusumbua na ccm watatuchezea akili hadi mwisho wa dunia

You missed the point mkuu, mfuatilie vizuri huyo uliyem-quote alikuwa na maana gani
 
Kaka you have made my day...kwi kwi kwi

mkipata multiple head injuries mkakimbizwa muhi2 kuokoa maisha yenu afu mkakosa huduma ya CT scan ndo mtajua dr. Ulimboka anapigania nini! Nyie chekeni tu kana kwamba mmempa Mungu takrima!
 
Aweke angalizo mapema, maana adui akijua kuwa unamuelewa anaweza akakufanyia hujuma zaidi, so the early the better, na katika hili mbona policcm nao wapo kimya?maana toka nisikie sinema ya chizi wa Kenya kumekuwa na pause.
 
Exactly bro even me don trust dr.ulimboka anymore kanywea si mateso yamempa funzo coz naona nae amegeuka kuwa kama wanasiasa eti atasema mbona hasemi?????

nashangaa waTz mnaomshu2mu dr. Ulimboka, alichowakosea ni nini?, mbona watz 2nashindwa kutambua jitihada zake ktk sekta ya afya?, imagine anafanya kazi ktk private institution n he z paid a lot of money, kama angekua selfish asingejihusisha na maswala ya mgomo. Lakini the m2 huyohuyo ndo amekua mstari wa mbele ktk kudai haki za madaktari na wagonjwa pia, amepigwa, ameteswa, ame2pwa huko pande bila kosa lolote, Mungu amekuwa upande wake amepona!, leo amepona watz bila hata ya kumpa pole 2namshambulia kwa maneno ya kukatisha tamaa? Eti afunguke, akishafunguka mtafanyeje?, au mtafurah eti mmeujua ukweli? Sishangai kwanini tz 2naendelea kua vilaza, kumbe sababu ni wa2 kama nyie mcotambua na support jitihada za m2!
 
Asilimia karibu 70 ya watanzania wanayo akili timamu. Chamsingi huyu mzee atuambie alikua amelewa sana, hivyo kumbukumbu 'metii'[neno la kimasai yani -hakuna/hamna]. Asituchezee hapa!
 
sio wanafki mkuu, wana kila sababu ya kuomba msamaha.

Moja.
Maisha ya kitaa ni magumu na wale bado hawakuwa madaktari kamili hivyo hawana vigezo vya kuajiriwa hata kwenye kituo cha afya.

Pili
walitukosea sana watz kwa kugoma na kusababisha mateso makubwa pamoja na vifo.

Sasa mkuu kama ni ivyo ina maana hata doctor ulimboka alitukosea watanzania kwa kuchochea mgomo wa madaktari na kusababisha vifo vya ndugu zetu masikini maana nakumbuka nilienda Aga khan hospital kumtizama mgonjwa nikamuona mama mmoja anakuja pale mtoto wake anaumwa sana na pesa hana wakashindwa kumpokea kwa kuwa hana hela ya kudeposit ili mtoto aanze kutibiwa akaambiwa aende muhimbili akasema ametoka huko madaktari wamegoma akaanza kulia.., wakamshauri aende al-jumaa hospital kkoo gharama zao nafuu..kwakweli ilinisikitisha sana.,lakini utesaji aliofanyiwa bwana ulimboka ni mbaya sana.. Moyo unauma kweli japo wakati anagoma sidhani kama aliwafikiria watanzania masikini au aliweka personal interest mbele..!! Its abit complicated.. Namuombea Dr. Ulimboka apone aendelee na majukumu yake..
 
nadhani asilimia 70 hawana akili nawewe ukiwemo. Ackuchezee we nani?
 
Dr.Ulimboka ni vema ungeendele kukaa kimya ili siku ya kusema useme kila kitu kama unacho. Watu wameongea sana kuanzia magazetini, bungeni,mitandaoni hata uraiani hivyo unachofanya wewe kama marudio tu.!
 
watz kwani wakijua ukweli hua wanafanya ki2?, mbona habari za epa kila m2 anazijua?, habari za richmond, kagoda kuna m2 acyezjua?, hakua acejua kua andrew chenge ni fisadi na cha ajabu ameshinda ushindi wa kishindo!, ha? Na mabilioni ya fedha yalichwa ughaibuni? Kuna m2 acyejua? Y cant u guyz shut up n give the man a break?
 
Dr.Ulimboka ni vema ungeendele kukaa kimya ili siku ya kusema useme kila kitu kama unacho. Watu wameongea sana kuanzia magazetini, bungeni,mitandaoni hata uraiani hivyo unachofanya wewe kama marudio tu.!

Hiyo siku itafika kweli?

Sasa hapa ndio ameongea au ndio amezidi kutuchanganya?

Muda ukifika nitazungumza ukweli! Pole Dr. Ulimboka endelea kupumzika.

Unaikumbuka video ya mwanakijiji? link Dr. Ulimboka akizungumza na MMM dakika chache baada ya kutekwa na mateso - YouTube

Hapa Dr. Ulimboka anataka kuongea akiwa mahututi. Leo amerudi matibabu anasema yuko fit, anasema nahitaji mapumziko. Link
http://www.youtube.com/watch?v=VeBht634TSU&feature=related

Ukishindwa kuamini, usiamini lakini hii ndio bongo!
 
mm had hamu nae cna tena,aongee acongee pw tu, cse atakachokuja kusema kitaundiwa tume na magamba,zen ndio itakuwa nitolee hyo.
 
Ashajitenga na wenzake Daaaa kweli Fedha Mwanaharamu........
Wala sio fedha wala nini ila Dr Ulimbuli kaonyeshwa mchezo full ulivyochezwa mwanzo-mwisho akawa mdogooo akajua kumbe alikuwa yeye alifanywa dawa ya penzi tu
 
Wala sio fedha wala nini ila Dr Ulimbuli kaonyeshwa mchezo full ulivyochezwa mwanzo-mwisho akawa mdogooo akajua kumbe alikuwa yeye alifanywa dawa ya penzi tu
Mi rahisi sana kusema hivyo kwa sababi inawajua hao wavaa vipekosi wana wa ahmedi Msuya waliyoyatenda yatawarudi kabla hawajafa enjoy your life to day one day you will repeal your sins
 
.......Wasiwasi wangu mkubwa ni pale atakapokuja kuongea mambo ambayo si matarajio ya wengi wetu humu....
 
Back
Top Bottom