ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
anajipalia makaa, bora angekaa kimya halafu akaja kulipuka siku moja tusiyojua. lakini kuwatangazia mafisadi kuelezea kitu kilichompata, ni kutaka kuwaumbua hivyo kabla hajatimiza, wao watatimiza wajibu wao wa kutetea vyao. tusubir.
NB. Mwakyembe alikuw na tabia ya kutishia kila mara kwamba atalipua bomu, walipokuja kulipua la kwao huyooo india akatoka hana nywele hadi leo amekuwa mzee wa upara
NB. Mwakyembe alikuw na tabia ya kutishia kila mara kwamba atalipua bomu, walipokuja kulipua la kwao huyooo india akatoka hana nywele hadi leo amekuwa mzee wa upara