Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
.......Wasiwasi wangu mkubwa ni pale atakapokuja kuongea mambo ambayo si matarajio ya wengi wetu humu....
well said mkuu..
.......Wasiwasi wangu mkubwa ni pale atakapokuja kuongea mambo ambayo si matarajio ya wengi wetu humu....
Kwa sasa anashughulikia zaidi afya yake kujua inakwendaje kisha atakuja kusema yote mbele ya safari yaliyomtokea
Usifanye mchezo na koleo wewe! Naskia jamaa sasa hivi akiona koleo tu anakimbia! Hata nyumbani anako ishi koleo ameipiga marufuku kuonekana! Ikitokea ameiona bahati mbaya halali nyumbani..
Mwisho wa siku utaskia na CHADEMA ndo wanahuska kuichafua CCM do u think hicho kimya ni cha hkeri kweli??? Jibu tumsubiri atasemaje...Mafisadi wamesharefusha mkono tayari
wewe hapo ni cho ko