Sijazibwa Mdomo - Dr Ulimboka

Sijazibwa Mdomo - Dr Ulimboka

ukisoma haya maoni yanayotolewa na watanzania ... ndo utajua kweli wa tanzania wengi bado sana kujikwamua kiakili... akili zao hazina tofauti na za mbuzi.... tunasafari ndefu......... mind civilization almost zero..... nchi ya laana hii sijui

duh akili za mbuzi??
 
Dah nilimchangia sh 50,000 za matibabu...ila nasikia sehemu kubwa ya fedha alitoa R. Mengi

Tafadhali Dr Uli, usituangushe tunataka useme ukweli, haiwezekani upigwe namna ile alafu uishie kihivyo.

Tunataka m-restart mapambano. Si mmeona kenya jinai wanavyodai haki zao?
 
Mkuu usiwatutishe wapiganaji.Wenzio hatuogopi kwa sababu kwenda mbele ( kuendelea na mapambano) au kurudi nyuma (kuacha mapambano) hakun tofauti. Tukikaa kimya tutawahi kufa kutokana na matatizo ya huduma mbovu za serikali ikiwemo kulishwa madawa yaliyopitwa na wakati. Hatutishiki tena.

usilete ujasiri humu kwa Jf nje huko ujasiri wapi wewe? Hakuna kitu watanzania maneno ndiyo maana Kikwete ameshatusoma likizuka jambo anatuangalia tu kelele then kimya no action.
 
tunachohitaj kusikia kutoka kwake anakifaham ila hatakisema yaleyale ya mwakyembe, hawa wajomba zangu wananiangusha sana

Ciello,kama wanakuangusha anguka tu,kwa watu makini wanaojali na kuheshimu utu wa wengine,hatuwezi kumbeza Dr Ulimboka,kiukweli Dr Ulimboka alijaribu,to dare is to do...wengi wetu huku ni bla bla nyingi ila kwenye matendo sifuri,mwacheni Dr Ulimboka apumzike,historia itamkumbuka kama mpambanaji wa kweli
 
Dr ulimboka anajivunia kupandisha mishahara ya sekta ya afya kwa asilimia 100,pia amepandisha call allowance kwa asilimia mia moja na hamsini.
Amepandisha postmortem allowance kutoka 10000 mpaka 100000.
Amesababisha baraza la mawaziri kuvunjwa.amemuondoa mganga mkuu wa serikali.
Dr ulimboka ameshinda mauti pale mabwepande.
Wewe kikaragosi unayemnanga umefanya nini hapa tanzania?
Namuombea afya njema ili aendeleze mapambano katika sekta ya afya.
 
Jamani mwenye access na Mlimani TV amwangalie Dr Ulimboka sasa hivi anazungumza

Too late. Nadhani hata waliohaha kumtafuta ili kumfanyia interview wamekosa timing.Hawezi kuja na habari mpya. Hawakufanya hivyo muda mfupi baada ya yeye kurejea kutoka South Africa wanafanya leo?
 
huna uwezo wa great thinkers,wewe ni mtu wa kupotea tu!user name yako inajieleza!

Kabisa kama jinsi homa ya uti wa mgongo ilivyo ambayo huwa inaathiri kabisa mfumo wa akili. Lakini kwakuwa mie ni mtu wa kawaida, nimekuomba wewe Great Thinker utueleze walipo, badala yake unaanza kuporomosha matusi, kweli we GT
 
Sasa badala ya kutueleza alichozungumza Dr. Ulimboka naona watu mmeishia kutunishiana msuli. Tena kwa kujinasibu kwamba ninyi ndio maGT kuliko wengine.
Shame on you guyz!
 
Dr ulimboka anajivunia kupandisha mishahara ya sekta ya afya kwa asilimia 100,pia amepandisha call allowance kwa asilimia mia moja na hamsini.
Amepandisha postmortem allowance kutoka 10000 mpaka 100000.
Amesababisha baraza la mawaziri kuvunjwa.amemuondoa mganga mkuu wa serikali.
Dr ulimboka ameshinda mauti pale mabwepande.
Wewe kikaragosi unayemnanga umefanya nini hapa tanzania?
Namuombea afya njema ili aendeleze mapambano katika sekta ya afya.

Mkuu hii habari imetulia, je kweli allowances zimeshapanda siyo? na mishahara?
Na je wameahidi kuboresha hospitali? Na kwa haraka kiasi gani?
Hii inatia moyo.
 
jaribuni kama mtaweza!unajua waliomteka ulimboka wako wapi kwa sasa?


Hebu funguka mkuu ugonjwa wa uti wa mgongo a.k.a Meningitis! Jamaa wapo chini ya ulinzi nini? Ni wakina nani hivi walikuwa hao watu?
 
Usifanye mchezo na koleo wewe! Naskia jamaa sasa hivi akiona koleo tu anakimbia! Hata nyumbani anako ishi koleo ameipiga marufuku kuonekana! Ikitokea ameiona bahati mbaya halali nyumbani..

Ninaposema ndani ya JF kuna wanasiasa uchwara mmojawapo ni huyu Mohamed Mtoi hivi kwa akili yako unaweza kumdhihaki Dr. Ulimboka kwa sababu tu amakataa kutumika kisiasa? Aliyokutana nayo si haba kwenye maisha yake nina uhakika hakuna hata kiongozi mmoja wa Chadema aliyemjali zaidi ya kutaka kumtumia kisiasa, kauli yako dhihaka inaonyesha ni jinsi gani ulivyofilisika kimawazo, siungi mkono kitendo alichofanyiwa Dr. Ulimboka na pia siungi mkono wanasiasa uchwara waliokosa utu na ubinadamu kama wewe, jaribu kuwa mstaarabu na mwenye hekima, maneno yako yanakusuta ikiwa Ulimboka ameamua kukaa kimya hiyo ni kwa faida yake na familia yake. Kama kweli wewe una uchungu jitokeze uwe shujaa tuone kama ukiminywa pumbu utarudia tena.
Chama
Gongo la Mboto DSM
CC Ritz Mungi Matola
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu chama umejitahidi kuandika kwa hisia za uchungu lakini jambo la msingi la kuzingatia ni kwamba serikali dhaifu ya chama chako cha mabwepande ndiyo inayowaintimidate watanzania wazalendo.
Sikuwahi kukusoma ukiilani serikali ya chama chako kwa madudu na unyanyasaji inaoufanya kwa watanzania. Hii nguvu ya ghafla ya kumtetea Dr. Ulimboka umeipata wapi?
Btw, siku hizi huwezi kujenga hoja peke yako lazima uombe msaada kwa mshirika wako wa lumumba, kiwango kimeshuka sana ndugu yangu pamoja na kujibodoa kwamba uko state lakini hauko independent!
 
Last edited by a moderator:
Usifanye mchezo na koleo wewe! Naskia jamaa sasa hivi akiona koleo tu anakimbia! Hata nyumbani anako ishi koleo ameipiga marufuku kuonekana! Ikitokea ameiona bahati mbaya halali nyumbani..

mkuu umefanya nimecheka sana, ngoja nitafute usingizi sasa
 
Usifanye mchezo na koleo wewe! Naskia jamaa sasa hivi akiona koleo tu anakimbia! Hata nyumbani anako ishi koleo ameipiga marufuku kuonekana! Ikitokea ameiona bahati mbaya halali nyumbani..
Bangi unazovuta zinakupeleka pahala pabaya
 
Back
Top Bottom