Sijawahi kupanda Ndege, nisaidieni

Sijawahi kupanda Ndege, nisaidieni

Nikuambie ukweli hakuna mwanaume atakaye kugharamikia kwa chochote kusiwe na return labda baba yako mzazi, hata naye utamlipa fadhila za kukutunza,

Umesema unaweza ku afford bus, dunduliza gharama ya usafiri wa ndege japo nauli hubadilika, hata wakati wa kurudi utatumia bus au treni,



Utaishia kuliwa na wengine wakubamize kama DIVISHENI FOO alivyo bamizwa na secretarybird
 
Nikuambie ukweli hakuna mwanaume atakaye kugharamikia kwa chochote kusiwe na return labda baba yako mzazi, hata naye utamlipa fadhila za kukutunza,

Umesema unaweza ku afford bus, dunduliza gharama ya usafiri wa ndege japo nauli hubadilika, hata wakati wa kurudi utatumia bus au treni,



Utaishia kuliwa na wengine wakubamize kama DIVISHENI FOO alivyo bamizwa na secretarybird
Hakuna cha bure kwa Dunia.
 
Wenzako tunapitapita humu kuomba japo buku mbili ya kununua wali maharagwe we unakuja kuomba msaada wa kukwea pipa tena kwa ajili ya pleasure?

Fikiria maisha ya wengine pia.


Cc Bantu Lady
Kiben 10 una shida wewe, sasa mwenzako hayo yote kayapita. Anatafuta raha sasa hivi 😅😅😅😅 hebu kale kwanza ushibe, ndiyo urudi.
 
Ameomba tu jamani. Tena amemalizia na Mungu awabariki. Wale wenye moyo wa kutoa bila masharti tujiunge pamoja tumkatie return ticket eg Dar Mwanza or Dar - Arusha kutegemea na mahali anapoishi.
 
Nimewaomba wadau mbalimbali wa maendeleo wanisaidie kufikia lengo langu, hao wataonitaka nikalale nao sina makubaliano nao kwa hiyo ni BIG NO, ukiwa muungwana utatoa msaada bila kuhitaji malipo ukiwa baradhuli ndio kama hivyo
Ni sawa lakini kwa mitazamo hasi ya wanaume wa sasa wanataka return kama uivyosoma huko
 
Habari za muda huu watanzania,
Mimi ni mwanamke tena mtanzania mwenzenu naishi Dar es salaam, lakini katika maisha yangu sijawahi kutumia usafiri wa ndege, natamani sana na mimi siku moja nifika pale uwanja wa ndege nihudumiwe kisha nikapande ndege, natamani nikijiona nimo ndani ya ndege naangalia uso wa dunia yetu kupitia dirishani, naingia ndani ya mawingu kwa kweli litakua tukio kubwa sana la kihistoria kuwahi kutokea katika maisha yangu,
Sina uwezo wa kupanda ndege kwenda popote pale, uwezo wangu ni bus, treni ama boti,

Humu jamii forum kuna wadau mbalimbali wa kimaendeleo, kuna wafanyabiashara, Wafanyakazi, Wanasiasa kwa umoja wenu nawaomba kwa unyenyekevu mnisaidie nipande ndege, sitajali nitakua naenda wapi kikubwa ni mie kupanda ndege walau nitoe hii kiu yangu,

Ahsanteni sana na Mungu awabariki sana.
Tafadhali njoo Pm binti yangu .
Nitakupandisha ndege kutoka Dar es salaam kuja Songwe _mbeya na pia nitakurudisha kw gharama zangu ila mimi hatutaonana kwasasa niko songea ila nisehemu ya kukufanya ufurahi mwanangu .

Note :Jichangnye nikunyonyoe kama kuku
 
Ameomba tu jamani. Tena amemalizia na Mungu awabariki. Wale wenye moyo wa kutoa bila masharti tujiunge pamoja tumkatie return ticket eg Dar Mwanza or Dar - Arusha kutegemea na mahali anapoishi.
Kabisa 🙏, nipo Dar es salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom