Sijawahi kukutana na Maghalah R

Sijawahi kukutana na Maghalah R

Uyu binti Yuko cheap Sana,

Binafs binti anaetumiwa nauli kwenda Kukutana na mwanaume hajawahi kumuona.

Iyo Ni ishara tosha kua Yuko DESPERATE Sana.






wanaume wanamfuata wenyewe anawachomolea.





Na wanawake warembo Sana ndo wanaongoza kwa kula nauli zetu wanaume.

UYU BINTI ASITAKE KUTUSHIKA KAMBA HAPA.

Inavyoonekana hata uko mtaani anakoishi hamna kabisa wanaume walio interested nae.

hii ya kuzurura ovyo kwenda Kukutana na wanaume afu

wanaume wenyewe Ndo Hawa wanaomuachia 7,800

kwakweli hii fedhea Sana na inaonyesha wamemdharau sana.

Kutokana na mwendelezo wa nyuzi zake humu, jinsi anavyozurura ovyo na kulalamika kutelekezwa.

Binafsi Naweza kubaliana na maghalah kuhusu mwonekano wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ana mawazo mafupi sana ashajitosa mwili wake kuwa mtaji
 
Huyu ni kidume! Ngoja aendelee kuchangamsha kijiwe...
 
Pacha nimejikuta nakumbuka zile tags za wambea.

Yaani saa hii ungekuta tumejaa humu kupata ubuyu. Lol.

Ila Jf ile haiezi rudi Pacha. 😅😅

Kulikuwa hakupoi
Siku hizi watu hawakutani tena ama wamejifunza kunyamaza?🤣
 
Kuna Uzi mmoja humu unadai mimi ndiye nilikutana na maghalah R Dar baada ya kutumiwa nauli na huyo x ambaye hata hivyo aliogopa kupima vvu kabla ya kukutana kimwili.

Huyo mwanaume ni sawa nilikutana naye humu Jf na kuanza mahusiano hadi akatuma nauli na nikafika Dar but papara zake zilisababisha tusisex lakini hakuwa Maghalar.

Siku nafika Dar nilikuwa sijavaa sweta lolote na wala sina sweta lililoandikwa Tanzania,but ninalo jekundu lina maandishi sports.

Mimi mrefu wastani,foot 5.6, kati,ni maji ya kunde na hips ,pia sio mnene sana nipo kati mimi sio mfupi kama mlivyodai.

Mimi ni mnyambo mwenye asili ya kinyarwanda ,yaani bibi kizaa mama inasadikika ametokea kwa kagame huko.

Mimi binti mrembo naamini hata Mr C niliyewahi kukutana naye humu mpaka Dar bila kumsahau Mr R niliyekutana naye mbeya ni mashahidi kuwa mimi ni mrembo tena cute kama jina langu sijawahi kuzaa wala kuabort.

Jamani mimi si wa kupewa 7800 bali mimi nikupe 50000 matumizi kama nimekupenda seriously lakini ,kama umeshika moyo hata kama huna pesa nihakikisha nimempata mheshimiwa fulani ili awe ananipa hela tunatumia wote.
Picha ndo kabisa linaanza, hujachelewa ndugu mtazamaji
 
Wacha wee, kumekucha sasa lol. [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom