Sijawahi kukutana na Maghalah R

Sijawahi kukutana na Maghalah R

Tukikutongoza pm unaleta ubabe af leo hii unataka watu walane kimasihara..how?,,charity starts at home.

Kidding.
Yeah!!seriously nimezingua kwenye hiko kipengele 🤣🤣
 
Hivi nyinyi wadada wenye uzoefu humu mnaruhusije wasichana waje kujianika humu? Hamuwafundi vizuri kabla ya kuwaruhusu waje humu?
Wew umewahi kukutana na nani humu kwamba sasa unamfaham?
 
Mbona dola 100 zangu umekula na hukuweza kuja??

Utafanya nikufate huko huko Mwanza
 
Back
Top Bottom