Sijawahi kukutana na Maghalah R

Sijawahi kukutana na Maghalah R

Mbona hukujibu tangu mwaka jana? Umeona kumepoa unataka utrend,,,sawa tushajua kua mtu akiwa na hela popote una mfuata.
 
IMG_3610.jpg

Sweta lako hili
 
Kuna Uzi mmoja humu unadai mimi ndiye nilikutana na maghalah R Dar baada ya kutumiwa nauli na huyo x ambaye hata hivyo aliogopa kupima vvu kabla ya kukutana kimwili

Huyo mwanaume ni sawa nilikutana naye humu Jf na kuanza mahusiano hadi akatuma nauli na nikafika Dar but papara zake zilisababisha tusisex lakini hakuwa Maghalar

Siku nafika Dar nilikuwa sijavaa sweta lolote na wala sina sweta lililoandikwa Tanzania,but ninalo jekundu lina maandishi sports

Mimi mrefu wastani,foot 5.6, kati,ni maji ya kunde na hips ,pia sio mnene sana nipo kati mimi sio mfupi kama mlivyodai

Mimi ni mnyambo mwenye asili ya kinyarwanda ,yaani bibi kizaa mama inasadikika ametokea kwa kagame huko

Mimi binti mrembo naamini hata Mr C niliyewahi kukutana naye humu mpaka Dar bila kumsahau Mr R niliyekutana naye mbeya ni mashahidi kuwa mimi ni mrembo tena cute kama jina langu sijawahi kuzaa wala kuabort

Jamani mimi si wa kupewa 7800 bali mimi nikupe 50000 matumizi kama nimekupenda seriously lakini ,kama umeshika moyo hata kama huna pesa nihakikisha nimempata mheshimiwa fulani ili awe ananipa hela tunatumia wote
Embu picha hata ya miguu yako na vidole vya miguuni tutafahamu yote unayosema kama ni kweli
 
Uzuri wako in nyama ya udongo,harafu tambua mzuri ngombe akifa analiwa,sasa wewe unajisifu nini?
 
Nimemiss nyuzi za hivi

Good old days JF ilikuwa haiishi matukio
Siku hizi kumepoa kinyama

Siku hizi sijui hamkutani kulana kimasihara
Pacha nimejikuta nakumbuka zile tags za wambea.

Yaani saa hii ungekuta tumejaa humu kupata ubuyu. Lol.

Ila Jf ile haiezi rudi Pacha. 😅😅
 
Member wa siku hizi kwenye JF wanapenda kuchezea wenzao akili.
Usikute ni mtu mmoja huyu, huku anajisema kule anajikanusha!!
Kaka huu mwandiko mi mwenyewe umenitia mashaka eti.

Ila wacha atuchangamshe mana kumepoa ndipo.
 
Niliamini wewe ni mwanamke ila mwandiko wa leo unanipa mashaka.
 
Kuna Uzi mmoja humu unadai mimi ndiye nilikutana na maghalah R Dar baada ya kutumiwa nauli na huyo x ambaye hata hivyo aliogopa kupima vvu kabla ya kukutana kimwili

Huyo mwanaume ni sawa nilikutana naye humu Jf na kuanza mahusiano hadi akatuma nauli na nikafika Dar but papara zake zilisababisha tusisex lakini hakuwa Maghalar

Siku nafika Dar nilikuwa sijavaa sweta lolote na wala sina sweta lililoandikwa Tanzania,but ninalo jekundu lina maandishi sports

Mimi mrefu wastani,foot 5.6, kati,ni maji ya kunde na hips ,pia sio mnene sana nipo kati mimi sio mfupi kama mlivyodai

Mimi ni mnyambo mwenye asili ya kinyarwanda ,yaani bibi kizaa mama inasadikika ametokea kwa kagame huko

Mimi binti mrembo naamini hata Mr C niliyewahi kukutana naye humu mpaka Dar bila kumsahau Mr R niliyekutana naye mbeya ni mashahidi kuwa mimi ni mrembo tena cute kama jina langu sijawahi kuzaa wala kuabort

Jamani mimi si wa kupewa 7800 bali mimi nikupe 50000 matumizi kama nimekupenda seriously lakini ,kama umeshika moyo hata kama huna pesa nihakikisha nimempata mheshimiwa fulani ili awe ananipa hela tunatumia wote
Inaonesha kama umechanganyikiwa, too much information na usisahau wewe ni mshabiki wa Tototundu. Aidha cutelove umewadhalilisha wanafunzi wa SAUT, wakaazi wa Mwanza na watu wa Karagwe. Hata mabinti wa Kagame
 
Back
Top Bottom