assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #81
Kama wewe ulivyo hovyo kabisa.
umeathiriwa na chagadema laga
Kama wewe ulivyo hovyo kabisa.
Konaweka ndio nini?,hapa ndio utajua kati yako na wao nani msomi...chama konaweka wagombea hawajui kusoma
chama kina wagombea hawsajui kujaza fomu za uchaguz
viongozi hawajui masharti na sheria za uchaguzi
kuchukua matapishi ya ccm na kuyala badala ya kujiandalia viongozi wake
kisha unawekea pingamizi halafu unamwandikia barua pm huku unalia
chama hovyo sn
Ulivyoanza na post yako nilifikiri utakuja na hoja nzito ila jinsi uzi unavyokwenda na unavyojibu inaonyesha huna hoja zaidi tantalila kibao na chuki tena za akili ya kimaskini...mwenyekiti mkibosho
wakurugenz wengi wakibosho
nashangaa mkwere unataka saccos isiokuhusu
utakuwa na maleria kamuone drmwenyekiti mkibosho
wakurugenz wengi wakibosho
nashangaa mkwere unataka saccos isiokuhusu
chagadema ni chama cha kilaghai
Baada ya kuzipitia post zako nyingine Nilikupuuza ila walau hapa umekiri kuwa Chadema ni wabaguzi na walioegemea kikanda hivyo Nimeona Nikuunge Mkono na Kukupongeza kwa kulitambua hilo.
Unapoona mwenzio mpuuzi basi jua wewe ni mpuuzi mara mia.Sijakiri CHADEMA ni wabaguzi ila wewe ndiyo mbaguzi.Mawazo yenu ni kama vile wachagga hawana haki kwenye nchi yao,wenye hakini makabila hayo uliyoyataja.
Hivyo ujue kwamba wabaguzi wa kwanza kabisa ni CCM ambayo imejitahidi kutugawa kwa UDINI,UKABILA na UKANDA ikidhani tutanunua ujinga wao tena.
Pole sana,na pia sikulazimishi siyo tu kusoma post zangu hata kujibu pia.
umeathiriwa na chagadema laga
umesahau na ccm.ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini
1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision
Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.
mkuu chama chako CAG ALIKIPA HATI YENYE UTATA
WATU WANAKOPESHA CHAMA KISHA RUZUKU INAHAMIA KWENYE ACCOUNT ZAO KWAN TASISI ZA FEDHA SI ZIPO
WATU WAMEJIKOOESHA MIL160 ZA RUZUKU WAKATI BENKI ZIPO
WATU WANAMAJUMBA SOUTH AFRICA DUBAI BILA HELA HILO NOT POSSIBLE
WEWE HUONI HUO NI UFISADI UNABWATA TU KAMA............
Chadema ni genge la wahuni pale hakuna kiongozi hata mmoja ni genge fulani la watu walioanzisha mfumo wa maisha yao kwa mgongo wa siasa.
umeathiriwa na chagadema laga
Dah kumbe ufisadi ni kosa? Na wale wanaojilimbikizia za umma? Wale wanaoficha hela kwny mabenki ya nje nao ni wana Chadema? Tuwe wakweli jamani tuache ushabiki wa kijinga
unamjua padri slaa na mchungaji msigwa?unamjua lymo lema mbowe ndesamburo mdee mnyika
Tatizo upeo wako ni mdogo sana ndio mana unaiwazia chadema kila mara.