Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
Baada ya kuzipitia post zako nyingine Nilikupuuza ila walau hapa umekiri kuwa Chadema ni wabaguzi na walioegemea kikanda hivyo Nimeona Nikuunge Mkono na Kukupongeza kwa kulitambua hilo.Anzisha chama chako basi
halafu na wewe uwaweke wa DINI yakona UKANDA wako.
MKWERE mwingine kwenye URAIS hivi watazania hatujitaki
au!!!!!!!!!!!!!!!!!