Sijapata kuona chama hovyo kama CHADEMA

Sijapata kuona chama hovyo kama CHADEMA

chagga development manifesto

Mmebakiza ukaburu tu,sera zimewaishia na mbaya zaidi wazee wenye sera waliobaki kama Warioba na Bujiku mnawapiga! Mna laana sana nyie vibaraka wa mafisadi!
 
Huwa najiuliza "Hivi ikitokea watafiti wa IQ wakaja Tanzania na bahati mbaya utafiti wao wakaufanyia Lumumba na Ikulu na kuchukulia hiyo ndiyo IQ ya taifa zima je, tunaweza kuipata hata 30 kweli!

Nadhani hata wale waliofanya utafiti na kuja na matokeo ya kuwa TANZANIA NI MIONGONI MWA NCHI ZINAZOONGOZA KWA KUWA NA WATU WENYE IQ NDOGO DUNIANI,utafiti huo waliufanyia lumumba na magogoni!
 
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini

1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision

Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.
Sijawahi kusoma article ya hovyo iliyoandikwa na mtu wa hovyo kama wewe mpenda chama cha majambazi.
 
Chadema ni genge la wahuni pale hakuna kiongozi hata mmoja ni genge fulani la watu walioanzisha mfumo wa maisha yao kwa mgongo wa siasa.
mbona mna mangwa na chama ovyo?chama ovyo kina chukua vijiji bila kupingwa?ajabu!Naijua hali yenu kwa sasa,mnahali mbaya ambayo haija wahi kushuhudiwa tangu Uhuru.mlizoea zidumu fikra.mambo yamegeuka ghafula
 
Wewe nyamaza huna chakutuambia wananchi na chama chetu chadema wewe endelea na ccm yako
 
CCM na wizi wote huo bado unasema chadema? sasa ccm na chadema ktk mizani ni chama gani hovyo?
 
acha kujifajiri
Sio kujifariji, iweje sifa ziende kwa wasio washindani (cuf na nccr) wako na kwa mshindani ni dharau na kejeli? Hakuna ubishi upinzani umeanza kuonekana tanzania na ndio maana mwenye kuleta huo upinzani ni adui namba moja.
 
utakuwa mgeni kwenye ulingo wa siasa,yaani tokea uzaliwe ujaona cham hovyo zaidi ya chadema!!!!!!!duh aiseee jf imevamiwa na watoto ,leo nimeamini
 
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini

1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision

Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.

If beauty is in the eyes of the beholder by the same logic, Ugliness is in the mind of the beholder, kwa hiyo Uhovyo wa CDM uko kwenye ubongo Wako wa HOVYOHOVYO wala sio CHADEMA.bs
 
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini

1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision

Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.

Umemaliza nyaku? Nyaku tena then ukalale to hell...
 
Sio kujifariji, iweje sifa ziende kwa wasio washindani (cuf na nccr) wako na kwa mshindani ni dharau na kejeli? Hakuna ubishi upinzani umeanza kuonekana tanzania na ndio maana mwenye kuleta huo upinzani ni adui namba moja.

unamaanisha cuf na nccr vimefutwa
 
Back
Top Bottom