BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
CCM pia walipata hati yenye utata. Wanaoingamiza nchi si CHADEMA bali ni Maintarahamwe. Elimu imeanguka siyo siri. Mikataba mmeitia kwapani hamtaki kuiweka hadharani ili Watanzania tuisome kwa kina, mnahofia kuona madudu ambayo hayana maslahi kwa Watanzania bali maslahi kwa wahuni na wezi wachache ndani ya Serikali hii dhalimu na chama chenu cha wahuni. Mahospitali hakuna dawa, hazina hakuna pesa, waliosababisha yote haya si CHADEMA. Wimbi la ufisadi wa kutisha kuanzia EPA, Rada, Escrow, Meremeta, Kagoda, Utoroshwaji wa wanyama nchini, kunyang'anya Watanzania ardhi yao, ukosefu wa maji na umeme wa uhakika, ukosefu wa ajira. Anayehusika na madudu yote haya si CHADEMA bali ni chama chenu cha wahuni. Hebu tia akili kichwani ili uanze kuyastaajabia yale ambayo yanawaathiri Watanzania zaidi ya milioni 40 miaka nenda miaka rudi kwa kuongozwa na wahuni na wezi.
mkuu chama chako CAG ALIKIPA HATI YENYE UTATA
WATU WANAKOPESHA CHAMA KISHA RUZUKU INAHAMIA KWENYE ACCOUNT ZAO KWAN TASISI ZA FEDHA SI ZIPO
WATU WAMEJIKOOESHA MIL160 ZA RUZUKU WAKATI BENKI ZIPO
WATU WANAMAJUMBA SOUTH AFRICA DUBAI BILA HELA HILO NOT POSSIBLE
WEWE HUONI HUO NI UFISADI UNABWATA TU KAMA............