Sijapata kuona chama hovyo kama CHADEMA

Sijapata kuona chama hovyo kama CHADEMA

Mie sikuwahi kumuona mtu wa hovyo kama baba aliyekulea japo sio baba yako mzazi! Mitoto amebambikiwa na mama yako bado tu kakaa kimya! Hovyo mno baba mlezi wako! Angalia wewe ulivyofanana na yule mzee mrina asali aliyekuwa jirani yenu na yeye alijua bali kimyaaaa!
 
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini

1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision

Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.

Na mimi sijaona mtu hovyo kama wewe, ona sasa unavyolalamika sijui unashida gani
 
unawakana viongozi wako wa sacos

assadsyria,hivi wajua kuwa kumfahamu mtu na kumjuamtu ni vitu viwili tofauti?Nimekujibu kwa haki kabisa kuwa ninawafahamu siwajui.Je wewe wamjua Mwenyekiti wako?Au unamfahamu?

Waweza mjua nduguyo,mumeo,mkeo na wazazi wako if possible.Kumjua mtu ni kumfahamu mtu kwa undani wake,ambacho siyo rahisi kama ufikiriavyo.
 
Wafuasi wale wamejaa matusi tu hawana hoja ukimuuliza hili anatoa mfano tofauti kabisa japo wapo baadhi wanaelewa .
 
Huwezi jua , kumbe inawezekana unajibizina na kichaa alie toroka Mirembe
 
mkuu adui yetu NO 1 ni CCM ao wengine kwa sasa hatuna shida nao kwani mpaka sasa hamna ubaya waliotufanyia watanzania!!! kama CHADEMA inatusaidia kumwondoa adui yetu NO1 (CCM) basi tutaiunga mkono kwa nguvu zote tuwe waaislamu au wakristo tuwe wakwere,wazaramo, wachaga, wamakonde tutaunga mkono yoyote atakayetusaidia kutuondolea huyu adui NO1.... baada ya hapo ndio tutaangalia kama wao nao ni wabaya au la,,, ila kwa sasa adui yetu NO1 ni CCM...

CHADEMA, NCCR, CUF OYEEEEEEEEEEEEE
 
Ulie toa mada, naona una KIHINDI HINDI, kwani nikisema kizunguzungu naona Hutonielewa, jifunze, rudi shule,acha UFISADI wako, chadema ndio maendeleo yako pumb...........f
 
Hapo umeipaisha CDM.Mapungufu machache hivo!Sasa ulinganishe na CCM uone maajabu,53 years of independence nchi inategemea zaidi ya 40% ya matumizi kwa wafadhili.Unadhubutu kuongea mbele ya wanaume!"Shame on you".safari hii,haki ya mama Escrow inawatafuna mzima assadsyria3
 
Last edited by a moderator:
60% ya tanzania ni wasukuma na wahaya lakin mnapt order toka kibosho. bora shibuda kajitambua

Kwani hao wa Kibosho sio watz? Siasa za kichovu za kibaguzi zilishabuma kitambo! Ulitaka tuwasikilize mafisadi kama chenge kwa vile ni msukuma? Mmeshafilisika sera nyie na awamu hii tunadelete ccm hapa rock city
 
Back
Top Bottom