nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
haa haa kama ccm chama cha wafuga wezi watupu!chagadema ni chama cha kilaghai
haa haa kama ccm chama cha wafuga wezi watupu!chagadema ni chama cha kilaghai
Mimi Nakuunga Mkono Mkuu kuwa vyama vya upinzani ni muhimu katika kukuza Demokrasia ila swala la Chadema kuitwa chama kinachoweza kutwaa madaraka ni swala Nitakalolipinga siku zote.
Post of the Year, inatakiwa iwepo kwenye Tuzo za Thread bora mwakani, nawe mleta uzi utakuwa mleta hoja nzito chipukizi wa mwaka, kalaghabaho!
Kutwaa madaraka wanaweza ila sio Leo na sio kwa viongoz Hawa waliopo mimi Kwa dhati cjaona mtu anayeweza kuwa rias chadema Kwa sasa labda nzito Kwa baadaye urais hautaki jazba kama za lissu
cuf wanaserkali ya umoja wa kitaifa
nccr mageuzi mh mbatia ni msomi anaweledi adi rais kumteua kua mbunge
CHADEMA wanakuamsha saa kumi usiku kupost huu upuuzi? Wenzio wamelala wewe uko JF unapost -----! Pole sana, ukitulia itakuingia vizuri tena yote
Sijapata kuona mtu wa hovyo kama wewe, kulalamika kwa chama ambacho wala hapipo ulimwenguni CHADEA ndio chama cha wapi?
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini
1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision
Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.
Chadema si chama chenye uwezo wa kubeba dhamana kiuongozi. Viongozi wake wa juu ni wanafiki, wabinafsi, wenye tamaa, wabaguzi walio na ndoto za kushika madaraka huku wakiwakandamiza walio chini.
Kimekaa kikanda na kitabaka, pamoja na kuvunga sana kwa kujaribu kukifanya kionekane cha Kitaifa. Chunguza hata majina yanayovuma sana Chadema, utagundua ni ya kanda fulani, tabaka la aina fulani na kwa mmoja mmoja ndio utasikia majina kutoka kwingine. Ni bora Nichague CUF kuliko chama hiki cha ajabu.
Slaa kila kukicha anauota urais, ina maana hakuna mwingine Chadema alie na uwezo na haki ya kuuota Urais huko Chadema kuliko huyo Mzee? Waweke Muislamu, Mkwere, Mmakonde, Mluguru, Mzaramo agombee Urais basi tuwaone wa maana. Jinsi wanavyoendesha mambo, it does'nt make sense kukiamini kuwa chama cha maana.
Chadema bado sana.
Technically, Chadema ilikuwa Kampuni iiyokuja kuongezewa twist ya kisiasa ili iendelee kuthrive na kuwaongezea airtime wamiliki ili waendelee kuexist huku wakitumbua na kukuza kipato chao.
Hvi chelsea jana kapiga ngapi
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini
1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision
Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.
mkuu chama chako CAG ALIKIPA HATI YENYE UTATA
WATU WANAKOPESHA CHAMA KISHA RUZUKU INAHAMIA KWENYE ACCOUNT ZAO KWAN TASISI ZA FEDHA SI ZIPO
WATU WAMEJIKOOESHA MIL160 ZA RUZUKU WAKATI BENKI ZIPO
WATU WANAMAJUMBA SOUTH AFRICA DUBAI BILA HELA HILO NOT POSSIBLE
WEWE HUONI HUO NI UFISADI UNABWATA TU KAMA............
dalili za kushindwa, ukiona mambo kama haya ujue ccm inaanza kufutika katika midani ya siasa.Chadema ni genge la wahuni pale hakuna kiongozi hata mmoja ni genge fulani la watu walioanzisha mfumo wa maisha yao kwa mgongo wa siasa.
Chadema ni genge la wahuni pale hakuna kiongozi hata mmoja ni genge fulani la watu walioanzisha mfumo wa maisha yao kwa mgongo wa siasa.
Hivi kila MTU lazima ajibiwr