Sijapata kuona chama hovyo kama CHADEMA

Sijapata kuona chama hovyo kama CHADEMA

Huna hoja,kwani uliowataja sio watz? Wana haki sawa na mimi msukuma katika taifa letu na ndiyo maana nawakubali.VIVA CHADEMA,TUMAINI LA WANYONGE NA WAPENDA HAKI.

60% ya tanzania ni wasukuma na wahaya lakin mnapt order toka kibosho. bora shibuda kajitambua
 
haaaa mleta mada bwana kama vile naniiiii yaani kwa akili yako mbovu unaweza ona benz ni gari la hovyo ..... haya bwana
 
Huwa najiuliza "Hivi ikitokea watafiti wa IQ wakaja Tanzania na bahati mbaya utafiti wao wakaufanyia Lumumba na Ikulu na kuchukulia hiyo ndiyo IQ ya taifa zima je, tunaweza kuipata hata 30 kweli!
 
Uharo kama huu hamna sababu ya kupoteza muda kuujadili
 
Chadema si chama chenye uwezo wa kubeba dhamana kiuongozi. Viongozi wake wa juu ni wanafiki, wabinafsi, wenye tamaa, wabaguzi walio na ndoto za kushika madaraka huku wakiwakandamiza walio chini.
Kimekaa kikanda na kitabaka, pamoja na kuvunga sana kwa kujaribu kukifanya kionekane cha Kitaifa. Chunguza hata majina yanayovuma sana Chadema, utagundua ni ya kanda fulani, tabaka la aina fulani na kwa mmoja mmoja ndio utasikia majina kutoka kwingine. Ni bora Nichague CUF kuliko chama hiki cha ajabu.
Slaa kila kukicha anauota urais, ina maana hakuna mwingine Chadema alie na uwezo na haki ya kuuota Urais huko Chadema kuliko huyo Mzee? Waweke Muislamu, Mkwere, Mmakonde, Mluguru, Mzaramo agombee Urais basi tuwaone wa maana. Jinsi wanavyoendesha mambo, it does'nt make sense kukiamini kuwa chama cha maana.
Chadema bado sana.
Hili jamvi limevamiwa siku hizi. Yaani mtu bila aibu unasema ili chadema waonekane wa maana wanatakiwa waweke Muislamu, Mkwere, Mmakonde, Mluguru au Mzaramo agombee Urais! Kwani hao uliowataja ndio watz zaidi ya wengine? Yaani toka ccm ianze kuwalipa watu kuja kuvuruga mijadala mitandaoni Jamiiforums imeingiliwa, kuna watu wana upeo mdogo sana wa kufikiri, mawazo yao hayana msaada ktk kujenga jamii inayotakiwa kuendelea.
 
CHADEMA ni chama chenye matunda kurushiwa mawe kama haya kawaida hakuna chama duniani chenye wizi na wahuni kama ccm rudisheni pesa za escrow wezi wakubwa nyie
 
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini

1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision

Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.

Hivi una akili wewe ................................ Jaribu kuchanganya na zako basi!!
 
Watu makini hawawezi kukubalika kwenye chama ovyo mfano kitilla,zitto,kafulila nk
 
Chadema ni genge la wahuni pale hakuna kiongozi hata mmoja ni genge fulani la watu walioanzisha mfumo wa maisha yao kwa mgongo wa siasa.

CHADEMA hatuna muda wa kushindana na mfu kama wewe ..Operesheni FUTA DELETE CCM NCHI NZIMA inaendelea vizuri watanzania hawana imani na chama cha wezi wa pesa za umma ccm
 
ASHAKUM SI MATUSI CJAPATA ONA CHAMA HOVYO KAMA HIKI.
UKIIANGALIA CUF AMA NCCR ni vyama upinzani makini

1. Hawalalamiki ovyo
2. Wanafahamu sheria za uchaguzi
3. Hawana press release za kila dakika
4. Havipendi fujo wala maandamano yasio na tija
5. Kuitambua serikli iliopo na kufanya nao kazi
6. Uwepo wa demokrasia ndani ya vyama
7. Matumizi mazuri ya ruzuku
8. Viongozi wake ni wasomi na wenye vision

Kwa uchache ukiwaangalia CHADEMA UTAONA NI CHA HOVYO KABISA.
Ukifanya biashara huwezi msifia mshindani wako ila unaweza kusifia wanaofanya vibaya.
 
Back
Top Bottom