Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
your of point what ur commenting its contrally with ma view
utambiwa masalia au umetumwa na nape, sijui kwann cdm hawapendi kukosolewa...
Padri mwenye watoto.Utamwamini kweli!huyu kiumbe,hafai hata kuishi
Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.
Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.
Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.
Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.
Gesi inaondoka mtwara ishachukuliwa na mafisadi. Tembo zaidi ya 60 wanakufa kila saa, madawa hakuna hospital, umeme siobwa uhakika. Vipi kijana unajadili masuala yasio na manufaa kwa nchi yako na kuacha hayo hayana jibu? Dai haki yako vinginevyo na wewe ni walewale mafisadi so hutuambii kitu.
Na bado mwaka huu kila kitu hadharani,TUNTEMEKE anafanya final touch aje na B52 a.k.a bunker busterHujajibu hoja bali umeteta pumba kwa kutoa mawazo mfu.
Finished! Hopeless kabisa. Utakuwa wapi sasa huo utawala bora? Kumbe wanaopigania M4C wanataka kujinufaisha wao binafsi kwanza?
Ndugu yangu joe5, kipi bora kati ya kujikopesha na KUIBA/KUFISADI? Mimi nadhani kama amejikpesha hilo ni jambo jema kwani atarudisha kuliko angeiba au kufisadi.Nimeona katika habari kwamba katibu mkuu wa CHADEMA daktari Slaa amejitetea kwamba hakuchukua mkopo wa milion 140 badala yake alikopa milion 20.
Lakin niseme kweli sijamwamini kwa kuwa ametumia muda mrefu sana kujibu tuhuma hii tofauti na kawaida yake ya kutoa matamko ya mambo kwa haraka na mara nyingine kukurupuka.
Nimeambiwa kwamba mpango ulikuwa akatae hakukopa ila bdae wakastuka kuna watu wanajua kwa uhakika alikopa wakaona wapunguze kiasi japo bado mkopo wake haukufuata taratibu na uwezo wa chama hauruhusu kujikopesha hata milion5.
Napata wasiwasi na credibility yake kwakweli na katika hili amekwama na kwakuwa amewahi kuwa mtumishi wa Mungu na aoneshe mfano kwa kujitokeza mbele ya umma na kukiri udhaifu ktk hilo.
Leo wanachota hela za Ruzuku, hela ambayo kazi yake ni kukijenga chama na sio kujenga viongozi.
Niliishasema sana hapa toka mwanzo chadema ni kikundi cha wapiga deals
CHAma cha DEals na MAgumashi = CHADEMA au kwa tafsiri nyingine ni CHAGA DEAL MAKERS
Hapo watu wanapiga deals tu kwa kutumia matatizo ya wananchi kama cover. si muda mrefu wataanza kuumbuka
Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnaanza kutokwa mapovu na kutoa mitusi, hiki chama kwa kweli ni janga la taifawewe mbeba box unajua nini kuhusu CHADEMA kama sio njaa tu zinakusumbua huko ukimbizini.
we masalia acha upimbi wa kuropoka, toka Ben awapige na kitu chenye ncha kali mmebakia mkirandaranda kama chokoraa.
Kwani hata kama amekopa milioni 140 ni kosa? Kosa ni kuiba siyo kukopa ndugu!
utambiwa masalia au umetumwa na nape, sijui kwann cdm hawapendi kukosolewa...
Na bado mwaka huu kila kitu hadharani,TUNTEMEKE anafanya final touch aje na B52 a.k.a bunker buster
Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnaanza kutokwa mapovu na kutoa mitusi, hiki chama kwa kweli ni janga la taifa
Bro jimulike kwanza kabla ya kusema. Ni ushauri tu ambao nafikiri mtu mzima kama wewe unaweza kuufanyia kazi.
Tanzania haitajengwa na watu wenye mawazo mgando. Tunahitaji mtazamo uliopevuka wa kusema ukweli bila kujali ni nani atakayeumia kwa ukweli huo. Hakuna checks and balances ndani ya CHADEMA.
Padri mwenye watoto.Utamwamini kweli!huyu kiumbe,hafai hata kuishi