ligangaluma
Member
- Jun 11, 2013
- 76
- 6
very good prof. maana kunawatu wanaombaa usiku namchana ujiuzuru.
Ndo kazi mlobaki nayo vibaraka!!!!!Chochea kuni...
Mkuu Molemo, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwa upande wa kichwa, JJ.Mbyika ni kichwa kuliko ZZK na kikubwa alichomzidi sana ZZK ni busara!. Kamwe huwezi kumsikia JJ Mnyika akicomment mambo yoyote ya kipuuzi!, yuko makini sana!, nahisi ndio maana amewagomea kulisoma yeye hili tamko la Kamati Kuu, mkamuachia huyo "kimbembele wenu" akijidhania ni "mmoja wao!". JJ Mnyika hawezi kuvaa viatu vya ZZK smply because hata JJ ni "Akili Kubwa!". Chadema itaimarika tuu pale ambapo wana Chadema Makini, mtakubali "kuna matatizo kule juu!". Hili JJ Mnyika naamini analijua, ila kwa ajili ya "collective resiponsibilities" analazimika kujinyamazia!.Ahsante kwa shukrani mkuu Pasco.
Vipi kwa maoni yako unashauri sasa Mnyika awe Naibu Katibu Mkuu na Prof.Baregu awe Makamu Mkiti nafasi zilizo wazi kwa sasa?
Mimi nimechoka jamani.
pole kaka polisiMimi nimechoka jamani.
CCM wanahaha lakini wapi,CDM ndo kila kitu mazee wao magamba yameishia viunoni lakini huku kwetu unafanya upuuzi tunainama kwenye katiba tunaona inasemaje tunachukua hatua ...CDM haina mtu fulani bali ina viongozi na wanachama na wote ni sawa
Can ccm be frustrated with the dead?
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Prof. Mwesiga Baregu amekanusha vikali taarifa za kujiuzulu nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA zilizozagaa kwenye mitandao, asema hana mpango wa kufanya hivyo.
Professa Baregu amesema uvumi huo unaenezwa na CCM na vibaraka wake na kuendelea kusisitiza kwamba Chadema itaendelea kuwa moja na Imara zaidi.
Source:Mwananchi Breaking News
Mkuu Molemo, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwa upande wa kichwa, JJ.Mbyika ni kichwa kuliko ZZK na kikubwa alichomzidi sana ZZK ni busara!. Kamwe huwezi kumsikia JJ Mnyika akicomment mambo yoyote ya kipuuzi!, yuko makini sana!, nahisi ndio maana amewagomea kulisoma yeye hili tamko la Kamati Kuu, mkamuachia huyo "kimbembele wenu" akijidhania ni "mmoja wao!". JJ Mnyika hawezi kuvaa viatu vya ZZK smply because hata JJ ni "Akili Kubwa!". Chadema itaimarika tuu pale ambapo wana Chadema Makini, mtakubali "kuna matatizo kule juu!". Hili JJ Mnyika naamini analijua, ila kwa ajili ya "collective resiponsibilities" analazimika kujinyamazia!.
Prof. Beregu yeye ni "spent force!" with everthing to gain and nothing to loose!, ataendelea kuyafumbia macho hayo "matatizo huko juu!".
Japo sio mmoja wenu, anayefaa kupanda hapo juu kwa sasa ni Prof. Safari, ili pia awawezeshe kulivua "lile koti!".
Taarifa zilipovuja, nilidhani ni uthibitisho wa "ule uchunguzi!", nilipokuja kulisoma tamko, nikakuta "hamna kitu!", "nothing!", "nil!". Hoja zilizowekwa kwenye tamko zote ni valid!, zile hoja za Mngamba nazo pia "they are all valid!", "Chadema haiwezi kufika mbali kwa kukimbia kivuli chake!, au kwa "kufunika kombe" "mwanaharamu apite!", huko ndani kwa ndani kuna uozo!. Dawa ya jipu ni kulitumbua!, sio kulifunika lisionekane kwa kuwatimua "wanaosema kuna jipu!".
Pasco.
Mkuu Molemo, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwa upande wa kichwa, JJ.Mbyika ni kichwa kuliko ZZK na kikubwa alichomzidi sana ZZK ni busara!. Kamwe huwezi kumsikia JJ Mnyika akicomment mambo yoyote ya kipuuzi!, yuko makini sana!, nahisi ndio maana amewagomea kulisoma yeye hili tamko la Kamati Kuu, mkamuachia huyo "kimbembele wenu" akijidhania ni "mmoja wao!". JJ Mnyika hawezi kuvaa viatu vya ZZK smply because hata JJ ni "Akili Kubwa!". Chadema itaimarika tuu pale ambapo wana Chadema Makini, mtakubali "kuna matatizo kule juu!". Hili JJ Mnyika naamini analijua, ila kwa ajili ya "collective resiponsibilities" analazimika kujinyamazia!.
Prof. Beregu yeye ni "spent force!" with everthing to gain and nothing to loose!, ataendelea kuyafumbia macho hayo "matatizo huko juu!".
Japo sio mmoja wenu, anayefaa kupanda hapo juu kwa sasa ni Prof. Safari, ili pia awawezeshe kulivua "lile koti!".
Taarifa zilipovuja, nilidhani ni uthibitisho wa "ule uchunguzi!", nilipokuja kulisoma tamko, nikakuta "hamna kitu!", "nothing!", "nil!". Hoja zilizowekwa kwenye tamko zote ni valid!, zile hoja za Mngamba nazo pia "they are all valid!", "Chadema haiwezi kufika mbali kwa kukimbia kivuli chake!, au kwa "kufunika kombe" "mwanaharamu apite!", huko ndani kwa ndani kuna uozo!. Dawa ya jipu ni kulitumbua!, sio kulifunika lisionekane kwa kuwatimua "wanaosema kuna jipu!".
Pasco.
Mwenyekiti wa CCM hachagui wajumbe wa Tume ya Katiba. Hawa wanateuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz. Hii ni ngumu kuielewa jamani?Mwananchi breaking news??? kama ni kweli kibaraka wa CCM anayemsema ni nani kama siyo yeye aliyeteuliwa na MWENYEKITI WA CCM kuingia tume ya Katiba?
Mkuu Molemo, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwa upande wa kichwa, JJ.Mbyika ni kichwa kuliko ZZK na kikubwa alichomzidi sana ZZK ni busara!. Kamwe huwezi kumsikia JJ Mnyika akicomment mambo yoyote ya kipuuzi!, yuko makini sana!, nahisi ndio maana amewagomea kulisoma yeye hili tamko la Kamati Kuu, mkamuachia huyo "kimbembele wenu" akijidhania ni "mmoja wao!". JJ Mnyika hawezi kuvaa viatu vya ZZK smply because hata JJ ni "Akili Kubwa!". Chadema itaimarika tuu pale ambapo wana Chadema Makini, mtakubali "kuna matatizo kule juu!". Hili JJ Mnyika naamini analijua, ila kwa ajili ya "collective resiponsibilities" analazimika kujinyamazia!.
Prof. Beregu yeye ni "spent force!" with everthing to gain and nothing to loose!, ataendelea kuyafumbia macho hayo "matatizo huko juu!".
Japo sio mmoja wenu, anayefaa kupanda hapo juu kwa sasa ni Prof. Safari, ili pia awawezeshe kulivua "lile koti!".
Taarifa zilipovuja, nilidhani ni uthibitisho wa "ule uchunguzi!", nilipokuja kulisoma tamko, nikakuta "hamna kitu!", "nothing!", "nil!". Hoja zilizowekwa kwenye tamko zote ni valid!, zile hoja za Mngamba nazo pia "they are all valid!", "Chadema haiwezi kufika mbali kwa kukimbia kivuli chake!, au kwa "kufunika kombe" "mwanaharamu apite!", huko ndani kwa ndani kuna uozo!. Dawa ya jipu ni kulitumbua!, sio kulifunika lisionekane kwa kuwatimua "wanaosema kuna jipu!".
Pasco.
Police huwa hachoki katu.Mimi nimechoka jamani.
Bahati mbaya sana Pasco huwa unadhani una akili nyingi kuliko unaowaandikia,Mkuu Molemo, msema kweli ni mpenzi wa Mungu, kwa upande wa kichwa, JJ.Mbyika ni kichwa kuliko ZZK na kikubwa alichomzidi sana ZZK ni busara!. Kamwe huwezi kumsikia JJ Mnyika akicomment mambo yoyote ya kipuuzi!, yuko makini sana!, nahisi ndio maana amewagomea kulisoma yeye hili tamko la Kamati Kuu, mkamuachia huyo "kimbembele wenu" akijidhania ni "mmoja wao!". JJ Mnyika hawezi kuvaa viatu vya ZZK smply because hata JJ ni "Akili Kubwa!". Chadema itaimarika tuu pale ambapo wana Chadema Makini, mtakubali "kuna matatizo kule juu!". Hili JJ Mnyika naamini analijua, ila kwa ajili ya "collective resiponsibilities" analazimika kujinyamazia!.
Prof. Beregu yeye ni "spent force!" with everthing to gain and nothing to loose!, ataendelea kuyafumbia macho hayo "matatizo huko juu!".
Japo sio mmoja wenu, anayefaa kupanda hapo juu kwa sasa ni Prof. Safari, ili pia awawezeshe kulivua "lile koti!".
Taarifa zilipovuja, nilidhani ni uthibitisho wa "ule uchunguzi!", nilipokuja kulisoma tamko, nikakuta "hamna kitu!", "nothing!", "nil!". Hoja zilizowekwa kwenye tamko zote ni valid!, zile hoja za Mngamba nazo pia "they are all valid!", "Chadema haiwezi kufika mbali kwa kukimbia kivuli chake!, au kwa "kufunika kombe" "mwanaharamu apite!", huko ndani kwa ndani kuna uozo!. Dawa ya jipu ni kulitumbua!, sio kulifunika lisionekane kwa kuwatimua "wanaosema kuna jipu!".
Pasco.
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Prof. Mwesiga Baregu amekanusha vikali taarifa za kujiuzulu nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA zilizozagaa kwenye mitandao, asema hana mpango wa kufanya hivyo.
Professa Baregu amesema uvumi huo unaenezwa na CCM na vibaraka wake na kuendelea kusisitiza kwamba Chadema itaendelea kuwa moja na Imara zaidi.
Source:Mwananchi Breaking News
Mkuu Molemo, sina tatizo na hili, tatizo langu dogo ni tofauti za uoni vs ukweli halisi!.Mkuu Pasco kusema ukweli kwa sasa Chadema ni lazima iongozwe na Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa.Nikutoe tu hofu kwamba angalau kwa miaka mitano ijayo wanachama kamwe hawatakubali kuongozwa na mtu mwingine...
Mwenyekiti wa CCM hachagui wajumbe wa Tume ya Katiba. Hawa wanateuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz. Hii ni ngumu kuielewa jamani?