Sijajiuzulu uongozi CHADEMA-Prof.Baregu

Sijajiuzulu uongozi CHADEMA-Prof.Baregu

Mkuu Pasco kusema ukweli kwa sasa Chadema ni lazima iongozwe na Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa.Nikutoe tu hofu kwamba angalau kwa miaka mitano ijayo wanachama kamwe hawatakubali kuongozwa na mtu mwingine...


Yap! Heri unawaambia ukweli Molemo
 
Last edited by a moderator:
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Prof. Mwesiga Baregu amekanusha vikali taarifa za kujiuzulu nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA zilizozagaa kwenye mitandao, asema hana mpango wa kufanya hivyo.

Professa Baregu amesema uvumi huo unaenezwa na CCM na vibaraka wake na kuendelea kusisitiza kwamba Chadema itaendelea kuwa moja na Imara zaidi.

Source:Mwananchi Breaking News

Hivi Mwampamba ni kibaraka naye hawa buku 7 ni janga kuu
 
Mkuu Molemo, sina tatizo na hili, tatizo langu dogo ni tofauti za uoni vs ukweli halisi!.
Kuna wakati nyumba ikipata mitikisiko, ikapata ufa, dawa ya kuuimarisha ni ama kuziba ufa ili usijenge ukuta, au sometimes ni kuibomoa na kuijenga upya, hivyo in that sense, kuziba na kubomoa zote zikawa ni kujenga!.

Uoni (point of view) ya Wanachadema wengi ni blured vision!, hawaoni kama huko juu kuna matatizo!. Kwa kutoyaina matatizo hayo, mnajiaminisha "manahodha wanaliendesha vizuri jahazi", na watawafikisha salama kwenye "destination 2015!". Sisi ambao hatumo humo ndani ya jahazi, ndio tunauona mwelekeo wa jahazi lenu!, linakwenda mrama, kama hamtakubali sio lazima kubadili manahodha, bali kubadili mwelekeo, ili kufika destination 2015 salama!. Kwa vile kosa ni la manahodha, ambao nao wako ndani ya jahazi, hawaoni kama wanakwenda mrama!, abiria nao hawajui kuwa wanapelekwa mrama!, atakayejitolea kuwa na kadira binafsi, anapotoa tahadhari kuwa "tunakwenda mrama!", "nahodha anatoa amri, atoswe baharini!" na abiria mnashangilia!.

Determinant ya usahihi wa manahodha wenu ni "the end justify the means", sisi wa pembeni tunaona kuwa hamfiki!, mnang'ang'ania mtafika!, tusiendelee kuandikia mate, 2015 itafika, kuna watakao lia na watakao cheka!, atakae lia mwisho ndio atalia sana, na atakae cheka mwisho ndio atakaye cheka sana, japo "kulia na kucheka zote ni kelele!".

Muda huo utakapofika, nitawakumbusha humu humu, tuliwaambia nini!.

Uwezo wa binadamu kufanya mambo pia ni limited kama uwezo wa uongozi!, solution ikiishafikia the point of saturation, inakuwa ni saturated solution, and it can take more than what it can!. Hao uliowataja, wamefanya kazi nzuri, ila wamefikia optimum point ya uwezo wao!, they can do no more than what they did!. Yule daktari wa Mwembe Yanga, tuyliyemtumainia siku zile, siye huyu aliye bize na "honeymoon" isiyoisha, huku aki baby sit kile kichanga kinachomuita "baba babu", kwa ngoma ya 2015 hawezi tena!, labda Kamanda kijana!.

All and all, tunasubiria, tukishuhudia, huku tukiwaeleza wazi!.
Pasco.

Maneno mengiiiiiiii, yote pumba tu. sasa CDM ikienda mrama si ndo vema ili ifie mbali ninyi mabaka uchumi mzidi kututawala! Kwa hiyo unawafundisha CDM namna ya kutokwenda mrama ili iimarike na iwashinde CCM au?! hivi ma-ccm kinachowauma hasa ni nini? kama ni huyo zito si mumchukue akaungane na profesa maji marefu kuuwa hadi panya wa NYUMBANI KWA cdm? vinginevyo wee kenge kweli arifu, unajipiga dole la mkun.uni mwenyewe?!
 
Mwananchi breaking news??? kama ni kweli kibaraka wa CCM anayemsema ni nani kama siyo yeye aliyeteuliwa na MWENYEKITI WA CCM kuingia tume ya Katiba?

ulipotea sana mkuu hapa jamvini. Vipi Malaria rugu na rejeo wako wapi?

Kuna jambo hulitambui Baregu na akina Mvungi waliteuliwa kwa mujibu wa sheria and not otherwise
 
ulipotea sana mkuu hapa jamvini. Vipi Malaria rugu na rejeo wako wapi?

Kuna jambo hulitambui Baregu na akina Mvungi waliteuliwa kwa mujibu wa sheria and not otherwise

KAKA Duble Chris wasamehe tu bure hawa, baDO WAPO KWENYE NDOTO ZA CHAMA KUSHIKA HATAMU
 
Pasco, ushauri wako unahitajika zaidi CCM kuliko CHADEMA. Hivi dont you get a feeling that hayo ni matumzi mabovu ya busara? kushauri pasipohitaji ushauri wakati unaacha wanaouhitaji huo ushauri? Get some sense tafadhali, wewe upo huko na uliisha liweka wazi hili, kwa nini usitumie muda wako kujenga huko? CHADEMA wakiharibikiwa wewe inakuuma nini? Hauoni kuwa ni wakati wenu muafaka wa gonga mvinyo kwa kazi 'nzuri'.
 
Last edited by a moderator:
Pasco, ushauri wako unahitajika zaidi CCM kuliko CHADEMA. Hivi dont you get a feeling that hayo ni matumzi mabovu ya busara? kushauri pasipohitaji ushauri wakati unaacha wanaouhitaji huo ushauri? Get some sense tafadhali, wewe upo huko na uliisha liweka wazi hili, kwa nini usitumie muda wako kujenga huko? CHADEMA wakiharibikiwa wewe inakuuma nini? Hauoni kuwa ni wakati wenu muafaka wa gonga mvinyo kwa kazi 'nzuri'.

Thumb up!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Hii move ya CDM, imewachanganya sana CCM. Lazima kutakuwa na kikao cha faragha Ikulu
 
Kimbelembele cha aliyesoma Tamko ni kama kile cha Petro ulipojengwa Mwamba.Yuda historia yake ni kwenye Kitanzi

Hata hivyo,Mafarisayo kama ulivyo umekua sehemu ya historia katika andiko lako hili

Hapo kwa Prof.Safari sijui umepewa ushauri na nani au ulisoma mahali.Mko sahihi hapo

Sijui kwanini jamani...wew jamaa sikupendi hata kidogo.Ninapoona andiki lako,nakeleka at maximum.Ningepewa hata sekunde moja ya kuwa malaika mtoa roho, basi ungekuwa mtu wa kwanza kukutoa roho.
Sikupendi sikupendi,Mungu jalia huyu mtu afe hata usiku wa leo.
 
Hii move ya CDM, imewachanganya sana CCM. Lazima kutakuwa na kikao cha faragha Ikulu

Nakwambia hivi hii ni sawa na kimbunga kilichowakumba Waphilipino juzi.watu 10000 walipoteza maisha.ccm kwishey hawaamini na muda wa kujipanga tena hawana 2014 uchaguzi serikali za mitaa watajamba uharo.
 
Kwa maneno yako haya almost nakufananisha na shetani, manake huyo ndio anapenda kutoa watu roho.......Na kama mtu anachukiwa na shetani kwa kiwango hicho inaonyesha huyo mtu ni mzuri sana manake kati ya wanaomkera shetani nadhani yule mzuri zaidi ndio anayechukiwa na shetani zaidi !..... Umenithibitishia kwamba huyu jamaa unayetamani kumuua ni mmoja kati ya watu wazuri sana !

Sijui kwanini jamani...wew jamaa sikupendi hata kidogo.Ninapoona andiki lako,nakeleka at maximum.Ningepewa hata sekunde moja ya kuwa malaika mtoa roho, basi ungekuwa mtu wa kwanza kukutoa roho.
Sikupendi sikupendi,Mungu jalia huyu mtu afe hata usiku wa leo.
 
Mkuu Molemo, sina tatizo na hili, tatizo langu dogo ni tofauti za uoni vs ukweli halisi!.
Kuna wakati nyumba ikipata mitikisiko, ikapata ufa, dawa ya kuuimarisha ni ama kuziba ufa ili usijenge ukuta, au sometimes ni kuibomoa na kuijenga upya, hivyo in that sense, kuziba na kubomoa zote zikawa ni kujenga!.

Uoni (point of view) ya Wanachadema wengi ni blured vision!, hawaoni kama huko juu kuna matatizo!. Kwa kutoyaina matatizo hayo, mnajiaminisha "manahodha wanaliendesha vizuri jahazi", na watawafikisha salama kwenye "destination 2015!". Sisi ambao hatumo humo ndani ya jahazi, ndio tunauona mwelekeo wa jahazi lenu!, linakwenda mrama, kama hamtakubali sio lazima kubadili manahodha, bali kubadili mwelekeo, ili kufika destination 2015 salama!. Kwa vile kosa ni la manahodha, ambao nao wako ndani ya jahazi, hawaoni kama wanakwenda mrama!, abiria nao hawajui kuwa wanapelekwa mrama!, atakayejitolea kuwa na kadira binafsi, anapotoa tahadhari kuwa "tunakwenda mrama!", "nahodha anatoa amri, atoswe baharini!" na abiria mnashangilia!.

Determinant ya usahihi wa manahodha wenu ni "the end justify the means", sisi wa pembeni tunaona kuwa hamfiki!, mnang'ang'ania mtafika!, tusiendelee kuandikia mate, 2015 itafika, kuna watakao lia na watakao cheka!, atakae lia mwisho ndio atalia sana, na atakae cheka mwisho ndio atakaye cheka sana, japo "kulia na kucheka zote ni kelele!".

Muda huo utakapofika, nitawakumbusha humu humu, tuliwaambia nini!.

Uwezo wa binadamu kufanya mambo pia ni limited kama uwezo wa uongozi!, solution ikiishafikia the point of saturation, inakuwa ni saturated solution, and it can take more than what it can!. Hao uliowataja, wamefanya kazi nzuri, ila wamefikia optimum point ya uwezo wao!, they can do no more than what they did!. Yule daktari wa Mwembe Yanga, tuyliyemtumainia siku zile, siye huyu aliye bize na "honeymoon" isiyoisha, huku aki baby sit kile kichanga kinachomuita "baba babu", kwa ngoma ya 2015 hawezi tena!, labda Kamanda kijana!.

All and all, tunasubiria, tukishuhudia, huku tukiwaeleza wazi!.
Pasco.

Mkuu Pasco Wanachama wameamua kuliko kuongozwa na vibaraka wa CCM ni bora tukawa wapinzani milele.

Pasco kama gharama ya kuongozwa na Mbowe na Dr Slaa ni kukosa Urais basi tuko tayari.

Unaweza kuona statement zangu mbili hapo ni namna gani Chadema walivyokuwa na msimamo mkali!
 
Last edited by a moderator:
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Prof. Mwesiga Baregu amekanusha vikali taarifa za kujiuzulu nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA zilizozagaa kwenye mitandao, asema hana mpango wa kufanya hivyo.

Professa Baregu amesema uvumi huo unaenezwa na CCM na vibaraka wake na kuendelea kusisitiza kwamba Chadema itaendelea kuwa moja na Imara zaidi.
Source:Mwananchi Breaking News
Hiyo ndio akili kubwa, it thinks great and logical and makes right decision at the right time! Mwigulu Nchemba akili yake ndogo sana!
 
Mkuu Pasco Wanachama wameamua kuliko kuongozwa na vibaraka wa CCM ni bora tukawa wapinzani milele. Pasco kama gharama ya kuongozwa na Mbowe na Dr Slaa ni kukosa Urais basi tuko tayari.
That being the case, I rest my case!.Pasco.
 
Last edited by a moderator:
Kwa maneno yako haya almost nakufananisha na shetani, manake huyo ndio anapenda kutoa watu roho.......Na kama mtu anachukiwa na shetani kwa kiwango hicho inaonyesha huyo mtu ni mzuri sana manake kati ya wanaomkera shetani nadhani yule mzuri zaidi ndio anayechukiwa na shetani zaidi !..... Umenithibitishia kwamba huyu jamaa unayetamani kumuua ni mmoja kati ya watu wazuri sana !

Kwa jinsi ninavyomchukia huyo mtu ni bora hata kupewa sifa ya shetani lakini niendelee kumchukia huyu mtu. Mtu ambae ni mnafki, mzandiki, mlafi, mbea, mlisha watu sumu n.k wanini kumuombea heri hapa duniani???
Huyu ni mtu wakufa na maiti yake ipigwe viboko na kutupwa mbembezoni mwabahari ili iliwe na ndege. Nasisitiza tena, huyu jamaa anayeitwa Ben saanane simpendi wa maana yeyote ile.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom