T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,930
- 990
Can ccm be frustrated with the dead?CCM is completely frustrated......... wanatafuta gogo la kufa nalo.....!
Can ccm be frustrated with the dead?CCM is completely frustrated......... wanatafuta gogo la kufa nalo.....!
Mods ikithibitika aliyeleta uzi amesema uongo, apewe LIFE BAN pamoja na kwamba ana ID nyingine atakayoendelea kuitumia
Nani? Kaskazini?
Chadema ni ma mafia sana! Wamempiga mkwara kwamba watamchachawangwe, kanywea! Bora zito alivyojiondokea, akina Ben saanane walikuwa wanazunguka na sumu mfukoni!
Can ccm be frustrated with the dead?
Asijiuzulu lakini ataongozwa na akili ndogo
Jambo la kushangaza.....zamani vyama vya upinzani vilidoea wanaojitoa CCM lakini naona formula imebadilika....
Nilichosoma toka kwa wanaCCM toka jana ni kwamba wao ndo wanatamani wapinzani hawa wajiunge kwao......
Je kuna watu wanajiandaa kuwa wapinzani baada ya 2015?
Magamba at work...
Chadema imekufa
Mwisho mtakuja na thread inayosema ZITTO kajinyonga baada ya kuvuliwa nyazifa ndani ya CHADEMA maana kwa uongo mnaongoza.
Ningewaon wa maana kama wangemtimua na LEMA. walichozidi kudhihirisha ni u-KASKAZINI tu.
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Prof. Mwesiga Baregu amekanusha vikali taarifa za kujiuzulu nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA zilizozagaa kwenye mitandao, asema hana mpango wa kufanya hivyo.
Professa Baregu amesema uvumi huo unaenezwa na CCM na vibaraka wake na kuendelea kusisitiza kwamba Chadema itaendelea kuwa moja na Imara zaidi.
Source:Mwananchi Breaking News
Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Prof. Mwesiga Baregu amekanusha vikali taarifa za kujiuzulu nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA zilizozagaa kwenye mitandao, asema hana mpango wa kufanya hivyo.
Professa Baregu amesema uvumi huo unaenezwa na CCM na vibaraka wake na kuendelea kusisitiza kwamba Chadema itaendelea kuwa moja na Imara zaidi.
Source:Mwananchi Breaking News