Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA Prof. Mwesiga Baregu amekanusha vikali taarifa za kujiuzulu nafasi za uongozi ndani ya CHADEMA zilizozagaa kwenye mitandao, asema hana mpango wa kufanya hivyo.
Professa Baregu amesema uvumi huo unaenezwa na CCM na vibaraka wake na kuendelea kusisitiza kwamba Chadema itaendelea kuwa moja na Imara zaidi.
Source:Mwananchi Breaking News
Mkuu Molemo, asante kwa taarifa. Prof. Beregu, kwa maoni yangu, ndio the only wise ndani ya CC ya Chadema akifuatiwa na JJ.Mnyika!. Ni mtu mwenye msimamo usioyumba na asiyekubali kupelekwa pelekwa kwa kutanguliza maslahi ya taidfa mbele ndipo nyuma chama kifuate, pale alipolazimishwa kujitoa kwenye Tume ya Katiba!, akawagomea kata kata hao "vichwa panzi" ambao kiukweli, mwanzo walikuwa na "uwezo" na "tuliwatumainia sana", ila sijui ni nini kimewapata!, uwezo wao unashuka kuelekea sifuri, zero, ila bado "watu" wanawatumainia", na ndio "wanawategemea" kwa 2015!.
Lets wait and see!.
Pasco.
Nani? Kaskazini?
Chochea kuni...
STELA MWAMPAMBA ale life ban maana ametoa umbea soloon kauleta jf.
katishiwa tofali lazima
Ww mpuuzi wengine tumesikia BBc mwanzo mwisho na hatukusikia popote alipozungumza tena si kuhusu cdm, hakuhojiwa kabisa bbc, acheni kuwa pre judgemental
Umechoshwa na nini tena ndugu?
Mimi nimechoka jamani.
moto uwakeChochea kuni...
Chochea kuni...
Molemo, naona roho inakwenda mbio...