The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,906
- Thread starter
- #101
kwani mimi ni instrument mpaka nifanyiwe majaribio
sifa yangu mojawapo ni kuwa najua kukomaa na misimamo yangu....hijalishi nani anaionaje as far as haivunji sheria za Muumba wetu....
shaka ondoa huyo Masa wee mwache tu.....!!!!
mwanamke mwenye misimamo
ni more sexy sometimes....