pilau au ndizi nyama...
Hehehe ufafanuzi pilau la jukwa la Maria Roza au pilau la ubwabwa?
mbona nin tabia nyingine similar na hao w athe boss....!!!
nia yangu hapa ni kumwonesha kuwa it is not the size inayofanya mtu awe na tabia fulani....nah nah nah!!!!
Biggy umenionea Masanilo??
hebu describe tabia zako
labda wewe ni exceptional case.......
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.naomba msamaha nikikosa tu not otherwise
6.argumentative (logically though)
7.sideki wala kudekeza (sina muda )
8.watiifu.
9.naringa kidogo(kama mtoto wa kike).
10.kumbukumbu yangu iko poa sana so sisahau haraka kiivyo.....
mwaya huyo boss asikutishe mi wala sihangaiki JS
najua am not selfish
najali
sideki wala sidekezi (ni tabia yangu walal umbo langu halihusiani na hii)
najali sana tu....etc
shauri yako utajilazimisha kul ujiute unalia na sahani maana u cant eat more that your capacity
JS bonge wangu baki hiv hivo
Nipo hapa nakuchungulia maungoni Lol!
Tubaki hivi hivi mwaya BHT achana na Boss anataka kutuharibia tu wasifu wetu. Sie tunaroho nzuri kama za hao anaowasifia.
honestly.we unaonekana mgumu mno kusamehe....
Ametoroka kwenye rehabilitation. Gari la konyagi lilipita karibu mpango mzima ukaharibika. The guy is alcoholic!
huu mwili kuupata gharama atiii
ona watu wanavolipia gym huko....sie akhaaa!!!
kwa raha zetu bibie eeeeh!!!
sasa unaona.
wenzio wanene wanasamehe tu,regardless ya kosa.......
nimvaa hijabu masanilo sasa unafaidi nini?
Yani BHT hapo kwenye bluu ndo haswaaa umenena watu wanahangaika gym kila siku sie tukienda gym ni kujikeep fit tu na sio kupunguza unene.
The Boss upo hapo??????
Naangalia tiGo kwa pozi na miwani yangu yapenya kwa hijab
sasa naanza kuamini umetoroka rehab!!Naangalia tiGo kwa pozi na miwani yangu yapenya kwa hijab